America is fast becoming a third World country

America is fast becoming a third World country

Kama ana mafuta madini na rasilimali hatashuka, tatizo lipo hapa yeye ana makaratasi wenzake wana Mali, Facebook, WhatsApp Instagram na Google no mfano wa mali hewa ambazo mwisho wake unatoa harufu. Popote ukizungumzia utajiri lazma usikie waarabu wanatajwa kuwa majeruhi, lakini Forbes huwataja wamiliki wa Facebook kuwa matajiri kuliko wa mafuta, ukiwaza swala LA technology unaona lipo anguko lake, na ndio mwisho wa kuibia watu akili, Naamini USA ataanguka tu.
Tatizo mnawaza kimasikn sana. Nan kakwambia kua na rasilimali kama mafuta hushuki. Japan Hana hizo rasilimali lkn mwarabu na mwafrika mwenye rasilimali hamsogerei hata kidogo. Nikuambie tu kitu Biashara ya huduma ndo inaongoza kwa utajiri duniani. Mapato ya USA 80% yanatokana na Biashara ya huduma. Rusia na utajiri wake wa rasilimali. Bado ni maskn tu..

Sent from my TECNO KG6 using JamiiForums mobile app
 
I believe you do not have the right answers to your questions.Narudia most of what you have been taught, and hearing is an illusion,lies,mimicry or con.The World of information is controlled by the CIA,Mossad and MI6.Here a CIA officer tell it all!

We uchwara Yoda njoo uone huku majasusi wenzio wanaungama dhambi zao za kuudanganya ulimwengu.
 
USA is a third world country without a doubt.

Third world country haitazamwi kwa maendeleo ya miundo mbinu n.k, bali hutazamwa kwa kiwango cha ustaarabu wa watu.

USA kuna vibaka kama wa manzese.

USA bado kuna wizi wa fatuma ( home invasion)

USA mtu anauliwa kwa kuonewa wivu kwa sababu amepata kazi nzuri inayo mlipa.

Upuuzi kama huu huwezi kuukuta katika nchi kama Denmark, Norway, Sweden, Finland n.k.


USA hakuna security.

I feel more safe in Kigali than in Los Angeles
What about Tanzania, we're anxiously awaiting for the fall of ccm empire, this is what will fascinate us than the wrongly presumption of the fall of the American empire whose impact won't affect us automatically.
 
Mkuu nikuulize maswali machache :-
i, Unafahamu kuwa marekani anaimiliki millitary base ngapi duniani?
ii, Unafahamu hizo millitary base anazo miliki marekani anamiliki kwenye nchi ngapi ?na kiasi gani Cha fedha anazifadhiri hizo nchi kwa yeye kuweka millitary base?na namna gani anaweza kuzihakikishia usalama hizo nchi?
iii, Unafahamu kuwa marekani anatoa mchango wa asilimia ngapi kwenye mashirika ya Umoja wa mataifa mfano shirika la afya, chakula ,wakimbizi n.k?
iii, Unafahamu ni sifa zipi za kiuchumi nchi inatakiwa kuwa nazo ili iitwe dunia ya tatu ?
iv, Unafahamu ni sifa zipi za kiuchumi nchi inatakiwa kuwa nazo ili iwe dunia ya kwanza?
iv, Unafahamu budget ya fedha ya mwaka ya marekani ni ipi na nchi za dunia ya tatu budget zao ni zipi?
V, Unafahamu marekani yupo kwenye ushirikiano na muungano mingapi ya kiuchumi na kijeshi na anachangia kifedha kwa asilimia ngapi tofauti na wenzake?
Vi, Unafahamu ni mataifa mangapi marekani anayafadhiri kiuchumi duniani kupitia misaada na mikopo?
Vii, Unafahamu ni mabenki makubwa mangapi duniani marekani anaimiliki?
Vii, Unaifahamu GDP ya Marekani Ni ngapi?
Viii, Unafahamu ni mataifa mangapi yanamtegemea marekani kiulinzi pia na Kisayansi na teknolojia?
ix, Unafahamu budget ya ulinzi ya marekani ni kiasi cha fedha kumlinganisha na mataifa ya dunia ya tatu?
X, Unafahamu GDP ya china Ni ngapi na ni miaka mingapi ijayo China imepanga kumfikia marekani kiuchumi ?kwa sababu huyu pekee ndio anayemfukuzia marekani kwa ukaribu zaidi
Xi, Unafahamu marekani anaushawishi kiasi gani duniani?
Xii, Unafahamu marekani ameweka kiasi gani cha fedha na dhahabu?
Xiii, Unafahamu taasisi ngapi zinazo ongoza nchi ya marekani ? uimara wake ulivyo pia unafahamu?
Xiv, Unafahamu ni kwanini China licha ya kuwa na uchumi mkubwa na ushawishi sehemu mbalimbali dunia bado hajaweza kumwangusha marekani Ila bado anamtegemea marekani kiushirikiano mbalimbali wa kibiashara pamoja na Kisayansi na kiteknolojia?
Xv, Unafahamu ni mifumo mingapi ya kiuchumi dunia imeshikiliwa na marekani na washirika wake mfano kibiashara, kifedha, kiteknolojia n.k
Xv, Unafahamu ni viwanda vingapi marekani anamiliki ndani na nje ya nchi yake vinavyokuza uchumi wake?

Ni hayo tu maswali machache niliyonayo ninaweza kukuongezea mengine Kama kutakuwa na ulazima wa mimi kufanya hivyo
Hivi unajua once upon a time Africayako hii ilikuwa super power for Long time?? lkn mmefichwa msijue na wengi hamjui? tokana na kupewa Elimu mfu?

Wazungu wababe woote Duniani, na wagunduzi wote Duniani kabla ya Yesu walio pelekea Mabadiriko Makubwa makubwa Ulaya walisoma na kutokea upande huu wa kanda ya Africa!! lkn wapi?! kazi hiyo nakupa.

Ukirudi nyuma kidogo umewahi kujiuliza kwa nini Alexander the Great alipigana vita kuelekea Kusini mwa nchi hiyo?? Na kwa nini asipigane kuelekea Mashariki au Magaharibi ya nchi hiyo penye Maendeleo leo makubwa??...

Kwa nini alikabiliana na pingamizi kubwaa ktk ukanda huu! wkt Magaharibi hakukuwa na pingamizi walikuwa ni wavuvi tu Miafrica mmepigwa kitu kizito sana!!.....

Je unajua Trend ya u super power Duniani ulianzia wapi na uka enda vipi na Mpaka kufika hapo ulipo Leo kwa USA ??

Je unajua na kuamini u-super power upo kwa aina ya Mzunguko Duniani?? kama ni ndiyo hizo zoote super powers countries ziliangushwa mbaya, na mpaka leo hazina ubavu kabisaaa! jiulize kwa nini isiwe USA??

Je unajua kwa nini ilikuwa USA km super power country? when where, en why? km ni ivo kwa nini isianguke??...zingine zilizo anguka zilikuwa Imara zaidi ya USA! Hata hawakuwahi kuota ku-drop out!

Je Unajua kuwa Vita zooote Duniani ni vita ya Financiers? World Bankers? kwa nini?.... toa sababu!! km ni ivo kwa nini USA asishindwe??

Sababu zilizo ifanya German kushindwa ktk kiini macho cha vita ya pili ya Dunia, ndo kitaifanya USA kushindwa leo hii Green card Lottery ni kiini Macho ambacho ni wachache sana tunakijua undani wake!

Hata hiyo BOT si mali yenu km nyie wabongo!! msijidanganye! bali hiyo ni Mali ya mwenyewe Mdhamini MKubwa wa vita Duniani haguswi, akitaka lake linakuwa lake!......

hao hao wadogo zake huyo Bwana ndo wanaleta shida Somalia, Nigeria, S.Sudan, na sasa Msumbiji, nk hawaguswi na hwaulizwi kitu, wakiamua wameamua!

na hii vita ya kigaidi ktk Bara la Africa ukitizama vizuri kwa jicho la tatu imegawanywa kikanda kulingana na ukubwa wa Bara la Africa lilivyo! na hamchomoki!

jiulize tu hao Magaidi woote wa bara Africa woote wanapata wapi siraha, logistics za kijeshi!! mafunzo ni waafrica weusi wanapata wapi mbinu za kushindana na sirikali za kiafrica zilizo washinda wakoloni kwa mtutu wa Bunduki??

Hakuna tajiri yeyote Mwafrica wala nchi yeyote Africa hii inayo weza dhamini magaidi kwa hela zipi?? eti sijui vita ya wenyewe kwa wenyewe ktk Africans' soil!. hakuna tjiri wa hivo Africa na asifilisike dakika sifuri........

Labda nikuulize ivi Unajua Konyi alipo sasa?? je ali kwenda wapi ewe mgalatia?....Prince JOHNSON mbishi .Rolaa Nkunda nk unawasikia wako wapi wewe??

Kama mkongwe Savimbi alikamatwa na kuuawa mara moja, tena faster tuuu!! je hao vijana wadogo ni akina nani wamshinde Mkongwe wa vita!.....

USA inaweza geukwa na Financiers/Bankers wa Dunia dakika sifuri tu, na mambo yakaenda na mlioko huko USA mkatamani kurudi huku! hawapangiwi wale!

kwa taarifa yako Sangreal international , La Medici, Marquiz de Libex nk! ndo wanaendesha Dunia yote hii, ni Familia 13 tuuuuu!! wako juu ya sheria!


Na hata km haita kuwa leo wala kesho lkn USA (NATO In general} haiko mbali na huo ukweli....hiyo ni sheria ya Historia ya Dunia hapana, siyo sheria ya Smaki!...ni Dunia ndo ilivyo! usijidanganye kijana!
 
Ujinga mtupu umeandika
Hivi unajua once upon a time Africayako hii ilikuwa super power for Long time?? lkn mmefichwa msijue na wengi hamjui? tokana na kupewa Elimu mfu?

Wazungu wababe woote Duniani, na wagunduzi wote Duniani kabla ya Yesu walio pelekea Mabadiriko Makubwa makubwa Ulaya walisoma na kutokea upande huu wa kanda ya Africa!! lkn wapi?! kazi hiyo nakupa.

Ukirudi nyuma kidogo umewahi kujiuliza kwa nini Alexander the Great alipigana vita kuelekea Kusini mwa nchi hiyo?? Na kwa nini asipigane kuelekea Mashariki au Magaharibi ya nchi hiyo penye Maendeleo leo makubwa??...

Kwa nini alikabiliana na pingamizi kubwaa ktk ukanda huu! wkt Magaharibi hakukuwa na pingamizi walikuwa ni wavuvi tu Miafrica mmepigwa kitu kizito sana!!.....

Je unajua Trend ya u super power Duniani ulianzia wapi na uka enda vipi na Mpaka kufika hapo ulipo Leo kwa USA ??

Je unajua na kuamini u-super power upo kwa aina ya Mzunguko Duniani?? kama ni ndiyo hizo zoote super powers countries ziliangushwa mbaya, na mpaka leo hazina ubavu kabisaaa! jiulize kwa nini isiwe USA??

Je unajua kwa nini ilikuwa USA km super power country? when where, en why? km ni ivo kwa nini isianguke??...zingine zilizo anguka zilikuwa Imara zaidi ya USA! Hata hawakuwahi kuota ku-drop out!

Je Unajua kuwa Vita zooote Duniani ni vita ya Financiers? World Bankers? kwa nini?.... toa sababu!! km ni ivo kwa nini USA asishindwe??

Sababu zilizo ifanya German kushindwa ktk kiini macho cha vita ya pili ya Dunia, ndo kitaifanya USA kushindwa leo hii Green card Lottery ni kiini Macho ambacho ni wachache sana tunakijua undani wake!

Hata hiyo BOT si mali yenu km nyie wabongo!! msijidanganye! bali hiyo ni Mali ya mwenyewe Mdhamini MKubwa wa vita Duniani haguswi, akitaka lake linakuwa lake!......

hao hao wadogo zake huyo Bwana ndo wanaleta shida Somalia, Nigeria, S.Sudan, na sasa Msumbiji, nk hawaguswi na hwaulizwi kitu, wakiamua wameamua!

na hii vita ya kigaidi ktk Bara la Africa ukitizama vizuri kwa jicho la tatu imegawanywa kikanda kulingana na ukubwa wa Bara la Africa lilivyo! na hamchomoki!

jiulize tu hao Magaidi woote wa bara Africa woote wanapata wapi siraha, logistics za kijeshi!! mafunzo ni waafrica weusi wanapata wapi mbinu za kushindana na sirikali za kiafrica zilizo washinda wakoloni kwa mtutu wa Bunduki??

Hakuna tajiri yeyote Mwafrica wala nchi yeyote Africa hii inayo weza dhamini magaidi kwa hela zipi?? eti sijui vita ya wenyewe kwa wenyewe ktk Africans' soil!. hakuna tjiri wa hivo Africa na asifilisike dakika sifuri........

Labda nikuulize ivi Unajua Konyi alipo sasa?? je ali kwenda wapi ewe mgalatia?....Prince JOHNSON mbishi .Rolaa Nkunda nk unawasikia wako wapi wewe??

Kama mkongwe Savimbi alikamatwa na kuuawa mara moja, tena faster tuuu!! je hao vijana wadogo ni akina nani wamshinde Mkongwe wa vita!.....

USA inaweza geukwa na Financiers/Bankers wa Dunia dakika sifuri tu, na mambo yakaenda na mlioko huko USA mkatamani kurudi huku! hawapangiwi wale!

kwa taarifa yako Sangreal international , La Medici, Marquiz de Libex nk! ndo wanaendesha Dunia yote hii, ni Familia 13 tuuuuu!! wako juu ya sheria!


Na hata km haita kuwa leo wala kesho lkn USA (NATO In general} haiko mbali na huo ukweli....hiyo ni sheria ya Historia ya Dunia hapana, siyo sheria ya Smaki!...ni Dunia ndo ilivyo! usijidanganye kijana!
 
Hivi unajua once upon a time Africayako hii ilikuwa super power for Long time?? lkn mmefichwa msijue na wengi hamjui? tokana na kupewa Elimu mfu?

Wazungu wababe woote Duniani, na wagunduzi wote Duniani kabla ya Yesu walio pelekea Mabadiriko Makubwa makubwa Ulaya walisoma na kutokea upande huu wa kanda ya Africa!! lkn wapi?! kazi hiyo nakupa.

Ukirudi nyuma kidogo umewahi kujiuliza kwa nini Alexander the Great alipigana vita kuelekea Kusini mwa nchi hiyo?? Na kwa nini asipigane kuelekea Mashariki au Magaharibi ya nchi hiyo penye Maendeleo leo makubwa??...

Kwa nini alikabiliana na pingamizi kubwaa ktk ukanda huu! wkt Magaharibi hakukuwa na pingamizi walikuwa ni wavuvi tu Miafrica mmepigwa kitu kizito sana!!.....

Je unajua Trend ya u super power Duniani ulianzia wapi na uka enda vipi na Mpaka kufika hapo ulipo Leo kwa USA ??

Je unajua na kuamini u-super power upo kwa aina ya Mzunguko Duniani?? kama ni ndiyo hizo zoote super powers countries ziliangushwa mbaya, na mpaka leo hazina ubavu kabisaaa! jiulize kwa nini isiwe USA??

Je unajua kwa nini ilikuwa USA km super power country? when where, en why? km ni ivo kwa nini isianguke??...zingine zilizo anguka zilikuwa Imara zaidi ya USA! Hata hawakuwahi kuota ku-drop out!

Je Unajua kuwa Vita zooote Duniani ni vita ya Financiers? World Bankers? kwa nini?.... toa sababu!! km ni ivo kwa nini USA asishindwe??

Sababu zilizo ifanya German kushindwa ktk kiini macho cha vita ya pili ya Dunia, ndo kitaifanya USA kushindwa leo hii Green card Lottery ni kiini Macho ambacho ni wachache sana tunakijua undani wake!

Hata hiyo BOT si mali yenu km nyie wabongo!! msijidanganye! bali hiyo ni Mali ya mwenyewe Mdhamini MKubwa wa vita Duniani haguswi, akitaka lake linakuwa lake!......

hao hao wadogo zake huyo Bwana ndo wanaleta shida Somalia, Nigeria, S.Sudan, na sasa Msumbiji, nk hawaguswi na hwaulizwi kitu, wakiamua wameamua!

na hii vita ya kigaidi ktk Bara la Africa ukitizama vizuri kwa jicho la tatu imegawanywa kikanda kulingana na ukubwa wa Bara la Africa lilivyo! na hamchomoki!

jiulize tu hao Magaidi woote wa bara Africa woote wanapata wapi siraha, logistics za kijeshi!! mafunzo ni waafrica weusi wanapata wapi mbinu za kushindana na sirikali za kiafrica zilizo washinda wakoloni kwa mtutu wa Bunduki??

Hakuna tajiri yeyote Mwafrica wala nchi yeyote Africa hii inayo weza dhamini magaidi kwa hela zipi?? eti sijui vita ya wenyewe kwa wenyewe ktk Africans' soil!. hakuna tjiri wa hivo Africa na asifilisike dakika sifuri........

Labda nikuulize ivi Unajua Konyi alipo sasa?? je ali kwenda wapi ewe mgalatia?....Prince JOHNSON mbishi .Rolaa Nkunda nk unawasikia wako wapi wewe??

Kama mkongwe Savimbi alikamatwa na kuuawa mara moja, tena faster tuuu!! je hao vijana wadogo ni akina nani wamshinde Mkongwe wa vita!.....

USA inaweza geukwa na Financiers/Bankers wa Dunia dakika sifuri tu, na mambo yakaenda na mlioko huko USA mkatamani kurudi huku! hawapangiwi wale!

kwa taarifa yako Sangreal international , La Medici, Marquiz de Libex nk! ndo wanaendesha Dunia yote hii, ni Familia 13 tuuuuu!! wako juu ya sheria!


Na hata km haita kuwa leo wala kesho lkn USA (NATO In general} haiko mbali na huo ukweli....hiyo ni sheria ya Historia ya Dunia hapana, siyo sheria ya Smaki!...ni Dunia ndo ilivyo! usijidanganye kijana!
Watu wanafanya kazi kwa bidii na kuwa na serikali imara na watu wenye akili Kisha wanakuwa Super power wewe unakuja kuzungumzia conspiracy theory za kuzungumzia maswala sijui ya familia 13 kamwe usuper power hauji kwa kuweka makalio Chini bali ni kwa serikali imara na kufanya kazi kwa bidii sijui siku China akiwa super power utasema familia gani imeifanya china kuwa super power wakati wote tunafahamu bila China ya Mao Zedong [ CPC ] na kufanya kazi kwa bidii leo china isingekuwa hapa.
 
What about Tanzania, we're anxiously awaiting for the fall of ccm empire, this is what will fascinate us than the wrongly presumption of the fall of the American empire whose impact won't affect us automatically.
By this comment it shows that your History teacher did an extremely poor job,if you know History atall.👉wrongly presumption of the fall of the American Empire👈So it means you was never taught that these African Empires exisisted and that they are no more?


And how about these once big World Empires👇

RankEmpireMaximum land area (in million km2)
1British Empire35.5
2Mongol Empire24
3Russian Empire22.8
4Qing dynasty14.7
5Spanish Empire13.7

Do I really assume that you have never heard of them?If they are no more they have collapsed,why shouldn't the American Empire collapse as well.Well, the truth is,Empires rise and fall,and there are specific reasons for that,unfortunately that is not today's subject.

So if the aforementioned Empires did exist and have fallen,it means the American Empire will fall as well,and is indeed already falling,and signs show that.

As to what you call a CCM Empire,which is not an empire afterall, it will fall as well.
 
Watu wanafanya kazi kwa bidii na kuwa na serikali imara na watu wenye akili Kisha wanakuwa Super power wewe unakuja kuzungumzia conspiracy theory za kuzungumzia maswala sijui ya familia 13 kamwe usuper power hauji kwa kuweka makalio Chini bali ni kwa serikali imara na kufanya kazi kwa bidii sijui siku China akiwa super power utasema familia gani imeifanya china kuwa super power wakati wote tunafahamu bila China ya Mao Zedong [ CPC ] na kufanya kazi kwa bidii leo china isingekuwa hapa.
Kazi kwa bidii!!! Thubutu kwani conspiracy siyo bidii? au hujui bidii?? km isinge kuwa bidii leo bongo tungekuwa hapa??...Mao alikuwa halimi ni mfumo wa kidunia uko ivo na itakuwa super power!

USA itakufa fwiiii subiri uone!
 
Endeleeni kubishana mi ndo najifunza hivyo kesho namimi naenda kuanzisha mada kijiweni kwangu kuwashika watu

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Tatizo mnawaza kimasikn sana. Nan kakwambia kua na rasilimali kama mafuta hushuki. Japan Hana hizo rasilimali lkn mwarabu na mwafrika mwenye rasilimali hamsogerei hata kidogo. Nikuambie tu kitu Biashara ya huduma ndo inaongoza kwa utajiri duniani. Mapato ya USA 80% yanatokana na Biashara ya huduma. Rusia na utajiri wake wa rasilimali. Bado ni maskn tu..

Sent from my TECNO KG6 using JamiiForums mobile app
Waarabu na waafrika umeenda mbali mno. Rudi hapo hapo kwa Russia. Karibia kila aina ya maliasili tena zile muhimu kwa maisha ya sasa zipo Russia, bila kusahau ardhi. Lakini ukiktazama Russia na Japan ndo unajua kuwa rasilimali sio kitu mbele ya watu wenye akili. Japan kampita mbali huyo mrusi mwenye kila kitu.

Kufeli kwa US hapo hatuizungumzii US, tunazungumzia dunia nzima.
 

NATO BASE EQUIPPED WITH U.S. NUKES RAIDED BY POLICE - CRYSTAL METHAMPHETAMINE LAB IN THE BASE BUSTED!​



Belgium Police officials conducted a raid of Kleine-Brogel Air base, a NATO Joint base where U.S. nuclear bombs are stored, and busted a drug lab making Crystal Methamphetamine. It couldn't get worse,busted in Ukraine and now in Belgium,America can't be more evil.At least two individuals have been arrested had to be let go because of "Diplomatic Immunity."
Kleine Brogel Air Base (ICAO: EBBL) is a Belgian Air Component military airfield located 0.8 nautical miles (1.5 km; 0.92 mi) east of Kleine-Brogel, in the municipality Peer, Belgium. It is home to the Belgian 10th Tactical Wing, operating F-16 Fighting Falcons, which are capable, among other capabilities, of delivering B61 nuclear bombs.
The base has been subject to much political controversy, because of American nuclear weapons allegedly being stored in the facility by the United States Air Force (USAF), but never recognized officially by the Belgian government.
Under the NATO nuclear sharing arrangement, these nuclear bombs would require an actual dual key system, which would imply the simultaneous authorizations of Belgium and the United States, before any action is taken. Should that be the case, Kleine Brogel Air Base would be the only location in Belgium with nuclear weapons.
According to the press, Eastern European Member States of NATO resisted the withdrawal of the shared nuclear bombs in Europe, fearing that it would show a weakening of the American commitment to defend the European Union against Russian aggression.
None of the five NATO member states, whose air forces allegedly might share its premises, have ever provided an official confirmation of the bombs existence. However, former Italian President Francesco Cossiga declared that the Aeronautica Militare hosted or shared American nuclear bombs, just as other NATO member states do. In an interview he talked about French weapons. In the same way, on 10 June 2013, former Dutch prime minister Ruud Lubbers confirmed the existence of 22 shared nuclear bombs at Volkel Air Base.
Kleine Brogel Air Base is also the home of the United States Air Force's 701st Munitions Support Squadron which allegedly is the unit in charge of looking after the shared nuclear bombs.
Belgium police raided the base just hours ago. Several persons were taken under arrest, but there's a massive twist; at least two persons arrested had to be let go because they have "Diplomatic immunity."
The Source who provided this information to the Hal Turner Radio Show was quite explicit with this detail. The source pointed out that had U.S. military been arrested, they would have remained under arrest and, if nothing else, would have been transferred to the custody of the US military and treated in accordance with the Status of Forces agreements that exist between countries. But that is NOT "Diplomatic Immunity" which only applies to credentialed Diplomats and their staffers.
The source repeated this several times -- those let go had "Diplomatic Immunity."
It is not known yet if they were American diplomats / staff or were from some other country . . . and right now a lid is being clamped down on information.
I expect more information soon.
The big takeaway for the time being is: What was a drug lab doing on a military base where US nuclear weapons are stored, and; who were the Diplomats invoilved?
 
Watu wanafanya kazi kwa bidii na kuwa na serikali imara na watu wenye akili Kisha wanakuwa Super power wewe unakuja kuzungumzia conspiracy theory za kuzungumzia maswala sijui ya familia 13 kamwe usuper power hauji kwa kuweka makalio Chini bali ni kwa serikali imara na kufanya kazi kwa bidii sijui siku China akiwa super power utasema familia gani imeifanya china kuwa super power wakati wote tunafahamu bila China ya Mao Zedong [ CPC ] na kufanya kazi kwa bidii leo china isingekuwa hapa.
Na ndio hapo Africa inafeli kila siku na itaendelea kufeli , haya mambo ya kukaa na kulaumu wageni na upuuzi upuuz sijui ukoloni , almost kila nchi ilitawaliwa kikoloni , lakini mbona nchi kibao zilikuwa Chini ya mkoloni na Leo ni heavens on earth na tumepata nao Uhuru hawa watu , take an example of South Korea,Malaysia ,Indonesia , Brunei ,Singapore etc
 
Na ndio hapo Africa inafeli kila siku na itaendelea kufeli , haya mambo ya kukaa na kulaumu wageni na upuuzi upuuz sijui ukoloni , almost kila nchi ilitawaliwa kikoloni , lakini mbona nchi kibao zilikuwa Chini ya mkoloni na Leo ni heavens on earth na tumepata nao Uhuru hawa watu , take an example of South Korea,Malaysia ,Indonesia , Brunei ,Singapore etc
Sahihi kabisa👍
 
Na ndio hapo Africa inafeli kila siku na itaendelea kufeli , haya mambo ya kukaa na kulaumu wageni na upuuzi upuuz sijui ukoloni , almost kila nchi ilitawaliwa kikoloni , lakini mbona nchi kibao zilikuwa Chini ya mkoloni na Leo ni heavens on earth na tumepata nao Uhuru hawa watu , take an example of South Korea,Malaysia ,Indonesia , Brunei ,Singapore etc
Nadhani wewe hujasoma,hata kama umesoma angalau ukapata "ka-degree" ka kwanza,you need to go back to school,you are so ignorant.
 
Nadhani wewe hujasoma,hata kama umesoma angalau ukapata "ka-degree" ka kwanza,you need to go back to school,you are so ignorant.
We huna akili mjinga wewe nimekupiga marufuku kuniquote.

Mwendawazimu mmoja wewe ,
Astaghafilula
 
Wamejidai kumkomoa Russia kumbe wanajikomoa wenyewe.
 
Back
Top Bottom