America is fast becoming a third World country

America is fast becoming a third World country

Mkuu nikuulize maswali machache :-
i, Unafahamu kuwa marekani anaimiliki millitary base ngapi duniani?
ii, Unafahamu hizo millitary base anazo miliki marekani anamiliki kwenye nchi ngapi ?na kiasi gani Cha fedha anazifadhiri hizo nchi kwa yeye kuweka millitary base?na namna gani anaweza kuzihakikishia usalama hizo nchi?
iii, Unafahamu kuwa marekani anatoa mchango wa asilimia ngapi kwenye mashirika ya Umoja wa mataifa mfano shirika la afya, chakula ,wakimbizi n.k?
iii, Unafahamu ni sifa zipi za kiuchumi nchi inatakiwa kuwa nazo ili iitwe dunia ya tatu ?
iv, Unafahamu ni sifa zipi za kiuchumi nchi inatakiwa kuwa nazo ili iwe dunia ya kwanza?
iv, Unafahamu budget ya fedha ya mwaka ya marekani ni ipi na nchi za dunia ya tatu budget zao ni zipi?
V, Unafahamu marekani yupo kwenye ushirikiano na muungano mingapi ya kiuchumi na kijeshi na anachangia kifedha kwa asilimia ngapi tofauti na wenzake?
Vi, Unafahamu ni mataifa mangapi marekani anayafadhiri kiuchumi duniani kupitia misaada na mikopo?
Vii, Unafahamu ni mabenki makubwa mangapi duniani marekani anaimiliki?
Vii, Unaifahamu GDP ya Marekani Ni ngapi?
Viii, Unafahamu ni mataifa mangapi yanamtegemea marekani kiulinzi pia na Kisayansi na teknolojia?
ix, Unafahamu budget ya ulinzi ya marekani ni kiasi cha fedha kumlinganisha na mataifa ya dunia ya tatu?
X, Unafahamu GDP ya china Ni ngapi na ni miaka mingapi ijayo China imepanga kumfikia marekani kiuchumi ?kwa sababu huyu pekee ndio anayemfukuzia marekani kwa ukaribu zaidi
Xi, Unafahamu marekani anaushawishi kiasi gani duniani?
Xii, Unafahamu marekani ameweka kiasi gani cha fedha na dhahabu?
Xiii, Unafahamu taasisi ngapi zinazo ongoza nchi ya marekani ? uimara wake ulivyo pia unafahamu?
Xiv, Unafahamu ni kwanini China licha ya kuwa na uchumi mkubwa na ushawishi sehemu mbalimbali dunia bado hajaweza kumwangusha marekani Ila bado anamtegemea marekani kiushirikiano mbalimbali wa kibiashara pamoja na Kisayansi na kiteknolojia?
Xv, Unafahamu ni mifumo mingapi ya kiuchumi dunia imeshikiliwa na marekani na washirika wake mfano kibiashara, kifedha, kiteknolojia n.k
Xv, Unafahamu ni viwanda vingapi marekani anamiliki ndani na nje ya nchi yake vinavyokuza uchumi wake?

Ni hayo tu maswali machache niliyonayo ninaweza kukuongezea mengine Kama kutakuwa na ulazima wa mimi kufanya hivyo
Wewe hujaelewa somo hoja ya msingi hapa ni kwamba USA inaporomoka kiuchumi na kama ilivyokuwa kwa dola kubwa tangulizi kwamba zilikuwa na kushuka bila kujali walifikia uchumi gani sasa wewe unakuja na compendium ilijaa mali na ushawishi wa USA.

Kwani wakianza kuandika mali na ushawishi walokuwa nao akina BRITISH EMPIRE, Ottoman, Roman empire etc unadhani patatosha? Hata tulipokuwa tunasoma African empires eg MALI empire utasoma reasons for rise and fall, utaambiwa strong leadership of so and so....
 
Sure US haters wameburudiika wenyewe huku wakiendelea kuperuz JF kwa tech ya US, amevaa mtumba wa nike, anakunywa coca cola bariiiidi, na ashadungwa covid vaccine ya msaada toka US.
Haya hayazuii empire kuporomoka mkuu,soma tena mada.US wametengeneza recipe ya kuporomoka wenyewe,lazima waile.
 
Your question does not make sense.Kwani the English empire ilipo Isha what became of us,Spanish Empire, Ottoman empire,Mongol Empire,Roman Empire?Lete facts kama mimi nilivyofanya tuziweke kwenye mzani,acha utoto.Wewe hata Marekani hukujui,acha sisi tulio na taarifa kamili,tena recent tuseme.Ushabiki wa Yanga na Simba hatuuhitaji hapa.
Kwahiyo hizo empire zote zilipoisha zilikua ni 3rd world countries?

Are you thinking through out your behind?

United Kingdom ni 3rd world country?

Roman Empire ambayo largely ni Italy,ni 3rd world country?

Na Africa ni Africa,na Asia ni Asia,na Latin America ni Latin America,hatufanyi good job of being well to do societies economically.

Tembo akiwa na njaa hawi mdogo kama sisimizi ndugu!
 
Hii habari inatupa furaha sana sie US haters, raha jipe mwenyewe buana. Ingawa tunajua kabisa sio kweli ila Wacha tujifurahishe kwanza.
Hakuna empire ambayo imedumu milele,never,na nimeeleza wazi kwenye comments zangu with examples.Yeyote ambaye anasema America haiporomoki,hajui History na niwakupuuzwa,because it is clear inaporomoka.Ipo kwenye suicide mode naweza kusema.
 
Wewe hujaelewa somo hoja ya msingi hapa ni kwamba USA inaporomoka kiuchumi na kama ilivyokuwa kwa dola kubwa tangulizi kwamba zilikuwa na kushuka bila kujali walifikia uchumi gani sasa wewe unakuja na compendium ilijaa mali na ushawishi wa USA.

Kwani wakianza kuandika mali na ushawishi walokuwa nao akina BRITISH EMPIRE, Ottoman, Roman empire etc unadhani patatosha? Hata tulipokuwa tunasoma African empires eg MALI empire utasoma reasons for rise and fall, utaambiwa strong leadership of so and so....
Kwanini usiseme inaporomoka unaweka kivumishi cha uwongo kabisa eti ni 3rd World Country?

Tangu lini tembo akipata njaa ya kufa anakua sisimizi?

Hizi nyege zenu na Russia zinawazidi aisee....yaani Russia yenye uchumi mdogo zaidi ya Texas ndio inawapa nyege zote hizi?

Hebu stop smoking these pipes and get down into reality!
 
Kwanini usiseme inaporomoka unaweka kivumishi cha uwongo kabisa eti ni 3rd World Country?

Tangu lini tembo akipata njaa ya kufa anakua sisimizi?

Hizi nyege zenu na Russia zinawazidi aisee....yaani Russia yenye uchumi mdogo zaidi ya Texas ndio inawapa nyege zote hizi?

Hebu stop smoking these pipes and get down into reality!
Third world country haitazamwi kwa maendeleo ya miundo mbinu,GDP n.k., bali hutazamwa kwa kiwango cha ustaarabu wa watu.Na hata hiyo miundo mbinu mnayoifikiria,mbona Ina decay fast.Afterall hcriteria za zamani za ku-define countries zilikuwa fake na zilikuwa na nia ovu ya ku_look down upon other nations.The new definition ni ya kuangalia ustaarabu and the general well being of people.Definitions mlizozizoea za GDP nk.mlizodanganyiwa ni outdated.

-USA kuna vibaka kama wa manzese.

-USA bado kuna wizi wa fatuma ( home invasion)
Ona wizi huu wa kutumia nguvu!



-USA mtu anauliwa kwa kuonewa wivu kwa sababu amepata kazi nzuri inayo mlipa.

-Hakuna security kabisa US.
Hiyo ni developed country kweli?Upuuzi kama huu huwezi kuukuta katika nchi kama Finland, Denmark, Norway, Sweden.So you call the US a developed country?Msidanganywe,it is fast becoming a third world country.
 
Akili zako za ajabu sana.Hivi aliyekuambia third World country Ni

Third world country haitazamwi kwa maendeleo ya miundo mbinu,GDP n.k., bali hutazamwa kwa kiwango cha ustaarabu wa watu.Na hata hiyo miundo mbinu mnayoifikiria,mbona Ina decay fast.Afterall hcriteria za zamani za ku-define countries zilikuwa fake na zilikuwa na nia ovu ya ku_look down upon other nations.The new definition ni ya kuangalia ustaarabu and the general well being of people.Definitions mlizozizoea za GDP nk.mlizodanganyiwa ni outdated.

-USA kuna vibaka kama wa manzese.

-USA bado kuna wizi wa fatuma ( home invasion)

-USA mtu anauliwa kwa kuonewa wivu kwa sababu amepata kazi nzuri inayo mlipa.

-Hakuna security kabisa US.
Hiyo ni developed country kweli?Upuuzi kama huu huwezi kuukuta katika nchi kama Finland, Denmark, Norway, Sweden.So you call the US a developed country?Msidanganywe,it is fast becoming a third world country.
Civics ulisomea chooni?

Naomba uchukue tokeo lako la Civics O'Level upaste hapa tuone mavi..

Wewe definition ya 3rd World Country ndio hii uliyotoa wewe hapa?No wonder ulifeli Form Four...yaani hadi Civics ulifeli?

Bure kabisa..wewe ni ghaseer kabisa!

Yaani ile topic ya MDCs na LDCs,Cold War na World's Geopolitics,hizi topics ulisomea kwenye tundu lako la kujisaidia haja kubwa?

Toa proper definition ya LDCs na Third World Countries Block hapa,marks ni 20%....kama hutapata 0% still pamoja na Ku-Google utafeli!
 
North America, which was once a First World region, is fast becoming a Third World wasteland, thanks to government corruption, Wall Street greed and private central banking.

Increasingly more people both in the United States and Canada are unable to afford food because of explosive inflationary pressure and food shortages, which are only compounding that inflation. In Canada, government benefits are now decreasing because of this, which will leave some people with access to barely one meal per day from now on.

“Sometimes, by the end of the month, before we’re getting to the due date for the money, I’m down to maybe just a very small meal once per day,” said 56-year-old Stephen Jones to the Globe and Mail, a Toronto-based newspaper.

“I am almost on the verge of having to skip meals altogether in a day,” he added, further revealing that his shopping habits have changed dramatically in recent months.

Right now, Jones is living on disability benefits that amount to $1,200 Canadian per month, or about $940 per month in United States currency. This amount has sustained him for the past 15 years after he had to give up his career in finance due to debilitating depression – that is, until now.

While Canada’s inflation rate slightly trails that of the United States at 6.8 percent, this is still a 31-year high for the country. The Globe and Mail reported that gas prices also rose 10 percent year over year, which is the highest spike since 1981.

Toronto’s Daily Bread Food Bank also saw a record high of 160,000 visits in March, which represents a 134 percent increase compared to pre-plandemic levels.

Brighteon.TV


“People have gotten to the end of their life savings,” said Neil Hetherington, chief executive officer at Daily Bread. “They’re going into debt, and so they’re going to be turning to food banks even more.”

A very dark winter is coming​

Jones is managing to get by for now, but he knows his day is coming. Things are becoming increasingly more difficult, and there does not appear to be any relief coming any time soon.

“I know that these places are very accommodating and non-judgmental, but there’s an element of shame in doing that,” he said. “But at some point, yes, I am definitely going to have to go to a food bank.”

James is hardly alone. According to Canadian agriculture expert Kim McDonnell, many Canadians are suddenly finding themselves in a tough situation requiring outside help.

“There’s going to be a lot of hungry people,” she said.

As the situation worsens, food banks all across Canada and the United States are going to be flooded with hungry, needy people. But will there be enough to go around?

Valerie Tarasuk, a professor of nutritional sciences at University of Toronto, said steepening inflation rates are likely to increase the prevalence and severity of food insecurity in Canada. That could mean financial concerns will prompt people to reduce meal sizes, skip meals or even go a day or more without eating.

What makes the current economic situation uniquely precarious is the fact that not only is inflation off the charts but there are also widespread food shortages. Hetherington calls it “a crisis on a crisis.”

“These [inflation] numbers are meals that people will be going without,” he said to The Globe and Mail, projecting that visits to the food bank could soon reach 225,000 per month.

“I’m an incredibly optimistic guy, but I am very concerned about the next couple of years,” he added ominously.

The latest news about inflation, food shortages, and the ongoing global economic implosion can be found at Collapse.news.
Nonesense ,Marekani ikiwa third country hizo nchi mnazoishi zitadegenerate into fifth world , baada ya kudeal na matatizo ya nchi yako umekaa kama fwala kuanzisha thread za kiboya hapa , nyie kwenu hamuoni inflation na increasingly life hardship ?
 
Civics ulisomea chooni?

Naomba uchukue tokeo lako la Civics O'Level upaste hapa tuone mavi..

Wewe definition ya 3rd World Country ndio hii uliyotoa wewe hapa?No wonder ulifeli Form Four...yaani hadi Civics ulifeli?

Bure kabisa..wewe ni ghaseer kabisa!

Yaani ile topic ya MDCs na LDCs,Cold War na World's Geopolitics,hizi topics ulisomea kwenye tundu lako la kujisaidia haja kubwa?

Toa proper definition ya LDCs na Third World Countries Block hapa,marks ni 20%....kama hutapata 0% still pamoja na Ku-Google utafeli!
Usinikumbushe ushenzi huo niliofundishwa shuleni,Mimi Sasa nime erevuka sio yule.Kama wewe umebaki kwenye ujinga ule ule, sio mimi.Zile tunaziita "enslavement protocols."
 
Nonesense ,Marekani ikiwa third country hizo nchi mnazoishi zitadegerate into fifth world , baada ya kudeal na matatizo ya nchi yako umekaa kama fwala kuanzisha thread za kiboya hapa , nyie kwenu hamuoni inflation na increasingly life hardship ?
A slave indeed,pole sana.Kale ka-degree walikokupa kameku-cage hufurukuti kabisa.Very sad.
 
Usinikumbushe ushenzi huo niliofundishwa shuleni,Mimi Sasa nime erevuka sio yule.Kama wewe umebaki kwenye ujinga ule ule, sio mimi.Zile tunaziita "enslavement protocols."
Acha kutafuta quotes to justify your forgetfulness!

Ulisoma kitu umesahau sema nimesahau sio unatafuta vimaneno kujustify your stupidity ya kusahau vitu
 
A slave indeed,pole sana.Kale ka-degree walikokupa kameku-cage hufurukuti kabisa.Very sad.
Wasahaulifu bwana

Yaani utatafuta vimaneno hadi vya Bob Marley kujustify usahaulifu wako

Anaekumbuka unamuita eslaved,wewe uliesahau unajiita hero...like really?

Daktari kasoma procedures za operation darasani,unataka akitoka darasani asahu aachane nazo halafu akija kukufanyia operation akuchane ufe ndio sahihi?

Be a man and own it,sema nimesahau sio unatafuta vijimaneno kuhalalisha upumbavu
 
Mkuu nikuulize maswali machache :-
i, Unafahamu kuwa marekani anaimiliki millitary base ngapi duniani?
ii, Unafahamu hizo millitary base anazo miliki marekani anamiliki kwenye nchi ngapi ?na kiasi gani Cha fedha anazifadhiri hizo nchi kwa yeye kuweka millitary base?na namna gani anaweza kuzihakikishia usalama hizo nchi?
iii, Unafahamu kuwa marekani anatoa mchango wa asilimia ngapi kwenye mashirika ya Umoja wa mataifa mfano shirika la afya, chakula ,wakimbizi n.k?
iii, Unafahamu ni sifa zipi za kiuchumi nchi inatakiwa kuwa nazo ili iitwe dunia ya tatu ?
iv, Unafahamu ni sifa zipi za kiuchumi nchi inatakiwa kuwa nazo ili iwe dunia ya kwanza?
iv, Unafahamu budget ya fedha ya mwaka ya marekani ni ipi na nchi za dunia ya tatu budget zao ni zipi?
V, Unafahamu marekani yupo kwenye ushirikiano na muungano mingapi ya kiuchumi na kijeshi na anachangia kifedha kwa asilimia ngapi tofauti na wenzake?
Vi, Unafahamu ni mataifa mangapi marekani anayafadhiri kiuchumi duniani kupitia misaada na mikopo?
Vii, Unafahamu ni mabenki makubwa mangapi duniani marekani anaimiliki?
Vii, Unaifahamu GDP ya Marekani Ni ngapi?
Viii, Unafahamu ni mataifa mangapi yanamtegemea marekani kiulinzi pia na Kisayansi na teknolojia?
ix, Unafahamu budget ya ulinzi ya marekani ni kiasi cha fedha kumlinganisha na mataifa ya dunia ya tatu?
X, Unafahamu GDP ya china Ni ngapi na ni miaka mingapi ijayo China imepanga kumfikia marekani kiuchumi ?kwa sababu huyu pekee ndio anayemfukuzia marekani kwa ukaribu zaidi
Xi, Unafahamu marekani anaushawishi kiasi gani duniani?
Xii, Unafahamu marekani ameweka kiasi gani cha fedha na dhahabu?
Xiii, Unafahamu taasisi ngapi zinazo ongoza nchi ya marekani ? uimara wake ulivyo pia unafahamu?
Xiv, Unafahamu ni kwanini China licha ya kuwa na uchumi mkubwa na ushawishi sehemu mbalimbali dunia bado hajaweza kumwangusha marekani Ila bado anamtegemea marekani kiushirikiano mbalimbali wa kibiashara pamoja na Kisayansi na kiteknolojia?
Xv, Unafahamu ni mifumo mingapi ya kiuchumi dunia imeshikiliwa na marekani na washirika wake mfano kibiashara, kifedha, kiteknolojia n.k
Xv, Unafahamu ni viwanda vingapi marekani anamiliki ndani na nje ya nchi yake vinavyokuza uchumi wake?

Ni hayo tu maswali machache niliyonayo ninaweza kukuongezea mengine Kama kutakuwa na ulazima wa mimi kufanya hivyo
Usichoke kuondoa ujinga akili mwake, endelea kumpa darasa huyo mbweha.
 
Sure US haters wameburudiika wenyewe huku wakiendelea kuperuz JF kwa tech ya US, amevaa mtumba wa nike, anakunywa coca cola bariiiidi, na ashadungwa covid vaccine ya msaada toka US.
Asipokunywa coca atakunywa pepsi. Budget ya nchi yake inategemea msaada wa US, barabara anazopita kuwahi kazini ni msaada wa haohao US, mikopo ya nchi yake kutoka Bank ya dunia na taasisi mbalimbali fedha zinatoka hukohuko kwa haohao US.

Nyerere alikosea mno kufungana na ujamaa wa urusi na china, alikosea mno, hawa walifanya leo tuwe masikini zadi. Angefungamana na UK na US walau leo kuna mahali tungekuwepo.
 
Wewe hujaelewa somo hoja ya msingi hapa ni kwamba USA inaporomoka kiuchumi na kama ilivyokuwa kwa dola kubwa tangulizi kwamba zilikuwa na kushuka bila kujali walifikia uchumi gani sasa wewe unakuja na compendium ilijaa mali na ushawishi wa USA.

Kwani wakianza kuandika mali na ushawishi walokuwa nao akina BRITISH EMPIRE, Ottoman, Roman empire etc unadhani patatosha? Hata tulipokuwa tunasoma African empires eg MALI empire utasoma reasons for rise and fall, utaambiwa strong leadership of so and so....
Umekurupuka kumjibu jamaa.

Hoja ya jamaa ni kwamba, US hata akishuka uchumi wake, hawezi kushuka kiasi umfananishe na dunia ya tatu.

Ni mwendawazimu wa mwisho, na tahira kiwango cha juu kabisa atakayedhania US inaweza ikaporomoka kiuchumi kuwa sawa na TZ.
 
Back
Top Bottom