"Amevunja kanuni na utaratibu wa chama,hatufai!kamati kuu imeridhia hatoteuliwa kuwa mtia Nia wa urais"!

"Amevunja kanuni na utaratibu wa chama,hatufai!kamati kuu imeridhia hatoteuliwa kuwa mtia Nia wa urais"!

Mkuu kuna baadhi ya nyuzi zako sio za kuchukuliwa poa. Hii tunaita ni tip tip tap tip of wat kinaenda kutokea.

Binafsi nakiaminia sana CCM kwenye maamuzi yasiyotarajiwa.

Huku ile kauli ya sikio halivuki kichwa huwa naona inatekelezwa ipasavyo. CCM ni lidude fulani kubwa, ukiona kama vile unaliendesha ujue umeachiwa tu, ila likiamua utaindoka kwa vyovyote vile.

Mifano ipo mingi, kuna wale wabishi wasioona mbali waendelee.
Mkuu sio kwa structure ya sasa ya uongozi wa CCM.
 
Wakuu

Nilipata wasaa wa kumtembelea kada mkongwe sana wa chama chetu Cha mapinduzi juzi huko isimani mkoani Iringa,tukapata wasaa wa kujadili mawili matatu juu ya mwenendo wa chama chetu kuelekea uchaguzi mkuu 2025!

"Kanuni tulizotumia mwaka 2015 wakati wa uteuzi wa hayati jpm ndizo tutazitumia 2025,uadilifu ndio msingi mkuu wa uteuzi was jina la mgombea wetu na SI vinginevyo!

Ugawaji wa Rushwa ya wazi na kuanza kampeni mapema plus ubadhirifu ndio kanuni pekee itakayotumika siku ya mkutano mkuu"

"Mtajwa ameshaonyesha dalili za kukiuka kanuni ameshagawa rushwa za pikipiki na bajaji zenye majina yake pia ameanza kampeni tangu mwaka 2021 Kwa kutamka hadharani atagombea na ushahidi wa wazi kabisa wa piki piki zenye picha yake ameshagawa hiyo ni rushwa ya uchaguzi na chama kimeamua kumuengua mapema kabisa,Mwambieni asijisumbue kwasababu amejiaharibia sifa zote za utia nia"

Nilipomuuliza kwamba desturi yetu inasema lazima ashike mara mbili na sio moja kwanini asiteuliwe!!?

"Ni Huwa anapewa mara mbili lakini amekiuka kanuni Kwa kutoa rushwa wazi wazi Tena bila kificho hiyo ni kuikosea CCM kama taasisi kongwe hapa nchini"

Bado natafakari Ndoto hii nilioiota usiku wa kuamkia leo!

Tusubiri tuone kitakachojiri 2025!
Hilo jimama halifai kabisa Wananchi eleweni hivyo na msikie vyema. Ni la hovyo na tapeli kweli kweli
 
Ninachokijua mpaka sasa kama Mwenyezi Mungu akimlinda mpaka 2025 , Madam President atapitidhwa kwa kishindo na CCM na atashinda kwa kishindo. Jukumu la CCM ni kulinda legacy ya ushindi ya 2020 na kuweka mpya chini ya Dkt.Samia asiyekubaliana na hilo alambe wembe
JIDANGANYE
 
Wakuu

Nilipata wasaa wa kumtembelea kada mkongwe sana wa chama chetu Cha mapinduzi juzi huko isimani mkoani Iringa,tukapata wasaa wa kujadili mawili matatu juu ya mwenendo wa chama chetu kuelekea uchaguzi mkuu 2025!

"Kanuni tulizotumia mwaka 2015 wakati wa uteuzi wa hayati jpm ndizo tutazitumia 2025,uadilifu ndio msingi mkuu wa uteuzi was jina la mgombea wetu na SI vinginevyo!

Ugawaji wa Rushwa ya wazi na kuanza kampeni mapema plus ubadhirifu ndio kanuni pekee itakayotumika siku ya mkutano mkuu"

"Mtajwa ameshaonyesha dalili za kukiuka kanuni ameshagawa rushwa za pikipiki na bajaji zenye majina yake pia ameanza kampeni tangu mwaka 2021 Kwa kutamka hadharani atagombea na ushahidi wa wazi kabisa wa piki piki zenye picha yake ameshagawa hiyo ni rushwa ya uchaguzi na chama kimeamua kumuengua mapema kabisa,Mwambieni asijisumbue kwasababu amejiaharibia sifa zote za utia nia"

Nilipomuuliza kwamba desturi yetu inasema lazima ashike mara mbili na sio moja kwanini asiteuliwe!!?

"Ni Huwa anapewa mara mbili lakini amekiuka kanuni Kwa kutoa rushwa wazi wazi Tena bila kificho hiyo ni kuikosea CCM kama taasisi kongwe hapa nchini"

Bado natafakari Ndoto hii nilioiota usiku wa kuamkia leo!

Tusubiri tuone kitakachojiri 2025!
Inawezekana si yeye ni waarabu wa pale Aljazira hotelini ndio waliotoa.
 
Mwenyekiti wa kamati kuu ndo yeye, na akiwa mkutanoni yeye ni amri jeshi mkuu - anaweza pia kuahirisha uchaguzi akiona mnataka kuleta chokochoko. Yule mjumbe kwa kwanza kutoa hoja kwamba HAFAI kwenye kikao yaani apae mbiguni baada tu ya kuiwasilisha

Tunawaambia kila siku katiba mpya kwa Tanzania mpya HAMTAKI.

Haya sasa, mwemyekiti wetu anaitaka 5.
 
Back
Top Bottom