Amezaa na mume wa mtu, katelekezewa mwanaye

That's good young boy,she needs you right now Ili asijekuja mchukia huyo mtoto baadae
 
Ndo tulipofkia mkuu
 
Hata mimi hiyo ndo njia amabayo ningeipita kama mwanaume, siwezi iacha dam yangu
 
Nye nye mme wa mtu hata kuku naye ana mme wake jogoo,kama nchi tupo nyuma sana kwenye exposure wenzenu wananunua mbegu ili wazae na watoto wanaozaliwa baba zao ni unknown na wanaishi tu pasipo tatizo,Ebu wacha kumpea dada ako mawazo fanya kama huyo mme wa mtu ni sperm donor tu leeni huyo mtoto wacheni excuse za kijinga Alaah.
 
Sawa mkuu [emoji1666]
 
Apelekwe dawati kujambishwa hata atoe hata 50 kwa mwezi aitwe ajambishwe tu

Alfu mbna amaefamya makusud kubeba

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Nimemshauri ilo akasema ye anajiona ndio ana hatia na kumpeleka uko mwisho wa siku mkewe atajua atamuharbia ndoa yake
 
Majibu ya maswali yote yapo uzi wa kula tunda kimasihara
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…