Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Demu naye kalambwa makofi makali na magumi mazito lakini hata tone la chozi au kuonesha uchungu na maumivu...[emoji848][emoji848]Ndio maana hata hajamrushia ngumi aisee. Ila haya mambo yasikie tuu huku huku usiombe yakukute.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dea vipi mbna umestaajabu lolAstaghfilluh
Kwenda huko, ntumie hiyo clip nawee lol. [emoji23][emoji23][emoji23]Dah nipe mjukuu nipee nijue umekuwa mkubwa[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nmeshindwa mie babuuuh, [emoji23][emoji23][emoji23]Marangapi tena..angalia tayari loh
Ngoja nijaribu bas.Tumia browser
Daa! Huyu mkewe ndiye aliyebetuliwa!?
Asante, nimeona. Kumbe kwa app kuna vingine huwa vinatupita.Ninyi watumiaji wa app matatizo yenu ni mengi. Fungua na browser
Mnapitwa na mengi. App imekaa kizembe sana 😀Asante, nimeona. Kumbe kwa app kuna vingine huwa vinatupita.
Na hyo ni tabia sugu Yani marafiki wa mumeo huwa busy kukutongoza sijui hutaka wajue nini.Ni pepo la ngono tu si kingine, kwanza ni kuongeza uadui na kumharibia future huyo mwanamke mana hata kumuoa huyo mayombi hawezi
Hyo mara nyingi huwa ni utani wa mechi ila Hawa simply walikuwa wanachepuka mda mrefuHao kuna mikataba waliwekeana
Mil 5 hela nzuri tu maana hata ukiendelea kuishi na mkeo bado hutakuwa na imani naye heri pesa tuIla jamaa (aliyefumania) ni matured enough. Inakuhitaji uwe na moyo aisee!
Umfumanie mkeo alafu usifanye chochote badala yake ukadai fidia?
Basi hata angemkumbushia tu ajue wanafanyaje,wao wakaenda kumalizana kimya kimya[emoji1787][emoji1787]Hao kuna mikataba waliwekeana
Connection ya simba au?[emoji39][emoji3][emoji16]Katika hali ya kustaajabisha, mfanyabiashara wa duka la simu mkoani Katavi Issa Kasili, amemfumania rafiki yake ambaye ni mfanyabiashara wa zao la mpunga katika Halmashauri ya Mpimbwe, Wilaya ya Mlele mkoani humo, Mayombi Mwela akiwa chumbani akichepuka na mke wake.
Katika video inayosambaa mitandaoni inamwonyesha Issa Kasili akimlaumu rafiki yake huyo kwa kuzini na mkewe....
"Umeni *****... mke wangu Mayombi? Umeni *****... mke wangu Mayombi? Mwishowe umetimiza ahadi yako?
Akimdhibiti mkewe, Kasili amesema amezaa naye mtoto mmoja hivyo kuanzia sasa hataki ndoa naye tena ambapo mara baada ya kumfumania alimpiga faini ya shilingi milioni 5 rafiki yake huyo.