Amfumania rafiki yake akiwa na mkewe gesti

Amfumania rafiki yake akiwa na mkewe gesti

Duu! Hatari tupu! Jamani wanaume Mungu wetu atuhurumie! Haya mambo ya kugegeda gegeda yana shida sana! Omba Mungu lisikukute, huku mmoja kafumaniwa, kule mwingine kahukumiwa kifungo cha kubaka mwanafunzi! Duu yote ni majanga yetu sisi tu jamani!
 
Dah nipe mjukuu nipee nijue umekuwa mkubwa[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwenda huko, ntumie hiyo clip nawee lol. [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ni pepo la ngono tu si kingine, kwanza ni kuongeza uadui na kumharibia future huyo mwanamke mana hata kumuoa huyo mayombi hawezi
Na hyo ni tabia sugu Yani marafiki wa mumeo huwa busy kukutongoza sijui hutaka wajue nini.
Ona sasa dada kaachika
 
Ila jamaa (aliyefumania) ni matured enough. Inakuhitaji uwe na moyo aisee!

Umfumanie mkeo alafu usifanye chochote badala yake ukadai fidia?
Mil 5 hela nzuri tu maana hata ukiendelea kuishi na mkeo bado hutakuwa na imani naye heri pesa tu
 
Katika hali ya kustaajabisha, mfanyabiashara wa duka la simu mkoani Katavi Issa Kasili, amemfumania rafiki yake ambaye ni mfanyabiashara wa zao la mpunga katika Halmashauri ya Mpimbwe, Wilaya ya Mlele mkoani humo, Mayombi Mwela akiwa chumbani akichepuka na mke wake.

Katika video inayosambaa mitandaoni inamwonyesha Issa Kasili akimlaumu rafiki yake huyo kwa kuzini na mkewe....

"Umeni *****... mke wangu Mayombi? Umeni *****... mke wangu Mayombi? Mwishowe umetimiza ahadi yako?

Akimdhibiti mkewe, Kasili amesema amezaa naye mtoto mmoja hivyo kuanzia sasa hataki ndoa naye tena ambapo mara baada ya kumfumania alimpiga faini ya shilingi milioni 5 rafiki yake huyo.

Connection ya simba au?[emoji39][emoji3][emoji16]
 
...jamani si uliniahidi nkikununulia iphone 13 utanipa tundaaa.... uliniahidiii .... ahadi huwa zina taabu sanaa,
 
Back
Top Bottom