Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wala siyo story, yuko sahihi, kwa jinsi Ccm inavyowadharau Watanzania inaweza kufanya lolote lile.Ila we Jamaa hizi story zako unazitoaga wapi?
Ni NyamitakoHuwa nauliza mara zote Suzy Elias ni nani humu
TakatakaKabla ya majira kutimia 2024 Paul Makonda ndiye atakuwa KM wa CCM.
KM wa sasa, atakuwa Balozi wetu katika nchi mojawapo ya Zimbabwe, Namibia ama Zambia.
Alafu lawyer nakuheshimu Sana ila hilo. Andiko lako imenufanya ni jiulize kumbe na wewe ni kabila hivyo, eti anaepaswa kuongoza nchi ni wale walio wengi... Inamaana sisi wadigo hatustahili kisa nyie wa kolomije wengi... 🤔🤔Nafasi ya Mwenezi ndio the highest and the best befitting Konda Boy at the moment. CCM ina plenty able people for KM, my choice for the next KM ni Balozi Emmanuel Nchimbi.
Ila kwa mbele ya safari huko tuendako, hoja za bandiko hili Baada ya Magufuli, 2025 Makonda atatufaa sana, kwasababu ana uthubutu kuliko hata JPM!. Apunguze... bado ziko very valid.
P
Vipi kuhusu swala la form 4, iko shida hapaKabla ya majira kutimia 2024 Paul Makonda ndiye atakuwa KM wa CCM.
KM wa sasa, atakuwa Balozi wetu katika nchi mojawapo ya Zimbabwe, Namibia ama Zambia.