Amini ama usiamini Makonda kabla ya 2024 ndiye atakuwa Katibu Mkuu wa CCM

Alafu lawyer nakuheshimu Sana ila hilo. Andiko lako imenufanya ni jiulize kumbe na wewe ni kabila hivyo, eti anaepaswa kuongoza nchi ni wale walio wengi... Inamaana sisi wadigo hatustahili kisa nyie wa kolomije wengi... 🤔🤔
 
Kabla ya majira kutimia 2024 Paul Makonda ndiye atakuwa KM wa CCM.

KM wa sasa, atakuwa Balozi wetu katika nchi mojawapo ya Zimbabwe, Namibia ama Zambia.
Vipi kuhusu swala la form 4, iko shida hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…