Amini usiamini, hii ndio thamani ya kichoma taka inayodaiwa na mafundi wa Wizara ya Afya

unapoongelea incenerator unaongelea collection ya vitu,kunakuwa na kichomea taka,shimo la jivu(ash pit),sharps pit na shimo la kutupia makondo(placenta pit).

Gharama ya 1.3m kujenga incenerator ambayo ni acceptable ni uongo.

wizara ina mchanganuo wa ujenzi wa kila kitu katika vituo vya afya
 
Chifu hangaya yupo bize kufungua mabomba ya maji.

Watumishi wake wakizidi kujipimia kwa urefu wa kamba zao.
Kwani kipindi cha jiwe, upigaji ulikwisha?mala ngapi naye alikuwa akilalamika juu ya upigaji?!
 
Ni sawa kabisa maana teknolojia ya kutengeneza hicho wameuziwa na Elon Musk tena kawauzia kabla hata yeye mwenyewe hajaizindua
 
Wahandisi watusaidie labda kimejengwa kwenda chini ....!

Nchi hii ngumu Sana, hivi hakuna uwezekano wa kuuliwa nchi nzima halafu Mungu akaleta watu wapya hapa Tanzania.....!
 
Kiongozi hana mda na hayo mambo kutwa kucha anawaza uchaguzi wa 2025
 
Kiongozi hana mda na hayo mambo kutwa kucha anawaza uchaguzi wa 2025
Mkuu hayo mambo Mimi yalinishangaza Mwaka 2019 wilayani Rufiji mkoani Pwani kata ya Mkongo .

Niliona kichomea Taka na kucheki gharama zake ni Million 15 na point zake nikabaki najiuliza tu kwakua mimi sio fundi au cha ajabu Mkuu wa wilaya akapitisha Maisha yakaendelea
 
Hata lile banda langu la mbwa lina afadhali
 
Mimi swali langu tu wizara ina mafundi? Yani hiki kichanja si mafundi wa hapo kijijini wanajenga bila shida yoyote?

Swala la kula mimi sina tatizo nao wacha wale mzunguko wa ela urudi mtaani.

Magufuli alikuwa anakula peke yake na wateule wake wachache tu.
 
Kula kwa marefu ya kamba
 
Kama mafundi wa wizara inawezekana jamani,kuna posho zao wenyewe wanaita posho ya kazi maalumu......ukichanganya na jinsi vifaa vilivyopanda bei inawezekana lakini.....
 
Hahaahahahah.. daah! Kichomea taka million 16?? Kwahiyo DT, DMO, Afisa manunuzi, Mkurugenzi walipitisha muhtasari kiroho safi..

hebu tuzionee huruma fedha za nchi jaman
 
Chamsingi kimeshajengwa na kimekamilika [emoji817] ,na Kiko standard.hayo mengine achana nayo!!

watu tuna stress za namna gani tunaweza kununua mafuta ya russia kwa malipo ya rubble !!

halafu unatuchanganya na vitu vidogo2
 
Aya Ni Majungu Tu...Baada Ya Kutokuwepo katika mlologo,Hii ni national Cake,Wacha Watu Wapate kulingana Na Professional Zao.

Acha Majungu,Nenda Shule uwepo.

Medical attendat Hapa..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…