Kwani kipindi cha jiwe, upigaji ulikwisha?mala ngapi naye alikuwa akilalamika juu ya upigaji?!Chifu hangaya yupo bize kufungua mabomba ya maji.
Watumishi wake wakizidi kujipimia kwa urefu wa kamba zao.
Wewe unataka afungue nini?Chifu hangaya yupo bize kufungua mabomba ya maji.
Watumishi wake wakizidi kujipimia kwa urefu wa kamba zao.
Mkuu hayo mambo Mimi yalinishangaza Mwaka 2019 wilayani Rufiji mkoani Pwani kata ya Mkongo .Kiongozi hana mda na hayo mambo kutwa kucha anawaza uchaguzi wa 2025
Hata lile banda langu la mbwa lina afadhaliMafundi wa Wizara ya Afya wanaidai kata ya Ipera kiasi cha Tsh. 16,900,000 baada ya kujenga kichoma taka yaani "Medical waste incinerator" Katika Kituo cha afya Ipera. Kituo hiki kipo Kata ya Ipera wilaya ya Mpwapwa mkoani Dodoma. Kwa mujibu wa maelezo ya Diwani wa kata ya Ipera Mh. Festo Myuguye ni kwamba mafundi wa wizara ya Afya ambao walipendekezwa na wizara kujenga kichoma taka hicho wamemueleza kuwa kichoma taka hiki kimegharimu kiasi cha TSh. 16,900,000/= (Milioni kumi na sita na laki tisa.
View attachment 2161663View attachment 2161664"Ndugu zangu hicho ndio kichomea taka kilichotokea kituo Cha afya Ipera. Kina sintofahamu kwani mafundi wametoka wizarani lakin gharama ya ujenzi ni milioni kumi na sita laki Tisa kwa mtazamo wa kawaida thamani ya fedha na mradi tunaona havilingani" Amesema Festo Myuguye, diwani wa kata ya Ipera.
Mwonekano wa kichoma taka (medical waste incinerator) kilichopo kata ya Ipera wilaya ya Mpwapwa mkoani Dodoma chenye thamani ya Tsh. 16,900,000/=
Maelezo ya diwani ni kwamba awali walitafutwa mafundi ambao wangeweza kujenga kwa Tsh. 1,300,000/= (Milioni moja na laki tatu tu. Lakini likatoka agizo kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa kuwa ujenzi huo utafanywa na mafundi wa Wizara na si vinginevyo.
Kama una maoni au utaalam kuhusu ujenzi wa miundombinu ya namna hii, maoni yako ni muhimu sana. Karibu.
Na waziri wa afya ataenda kukizinduaWanakula kwa urefu wa kamba
Mimi swali langu tu wizara ina mafundi? Yani hiki kichanja si mafundi wa hapo kijijini wanajenga bila shida yoyote?Mafundi wa Wizara ya Afya wanaidai kata ya Ipera kiasi cha Tsh. 16,900,000 baada ya kujenga kichoma taka yaani "Medical waste incinerator" Katika Kituo cha afya Ipera. Kituo hiki kipo Kata ya Ipera wilaya ya Mpwapwa mkoani Dodoma. Kwa mujibu wa maelezo ya Diwani wa kata ya Ipera Mh. Festo Myuguye ni kwamba mafundi wa wizara ya Afya ambao walipendekezwa na wizara kujenga kichoma taka hicho wamemueleza kuwa kichoma taka hiki kimegharimu kiasi cha TSh. 16,900,000/= (Milioni kumi na sita na laki tisa.
View attachment 2161663View attachment 2161664"Ndugu zangu hicho ndio kichomea taka kilichotokea kituo Cha afya Ipera. Kina sintofahamu kwani mafundi wametoka wizarani lakin gharama ya ujenzi ni milioni kumi na sita laki Tisa kwa mtazamo wa kawaida thamani ya fedha na mradi tunaona havilingani" Amesema Festo Myuguye, diwani wa kata ya Ipera.
Mwonekano wa kichoma taka (medical waste incinerator) kilichopo kata ya Ipera wilaya ya Mpwapwa mkoani Dodoma chenye thamani ya Tsh. 16,900,000/=
Maelezo ya diwani ni kwamba awali walitafutwa mafundi ambao wangeweza kujenga kwa Tsh. 1,300,000/= (Milioni moja na laki tatu tu. Lakini likatoka agizo kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa kuwa ujenzi huo utafanywa na mafundi wa Wizara na si vinginevyo.
Kama una maoni au utaalam kuhusu ujenzi wa miundombinu ya namna hii, maoni yako ni muhimu sana. Karibu.
Kula kwa marefu ya kambaMafundi wa Wizara ya Afya wanaidai kata ya Ipera kiasi cha Tsh. 16,900,000 baada ya kujenga kichoma taka yaani "Medical waste incinerator" Katika Kituo cha afya Ipera. Kituo hiki kipo Kata ya Ipera wilaya ya Mpwapwa mkoani Dodoma. Kwa mujibu wa maelezo ya Diwani wa kata ya Ipera Mh. Festo Myuguye ni kwamba mafundi wa wizara ya Afya ambao walipendekezwa na wizara kujenga kichoma taka hicho wamemueleza kuwa kichoma taka hiki kimegharimu kiasi cha TSh. 16,900,000/= (Milioni kumi na sita na laki tisa.
View attachment 2161663View attachment 2161664"Ndugu zangu hicho ndio kichomea taka kilichotokea kituo Cha afya Ipera. Kina sintofahamu kwani mafundi wametoka wizarani lakin gharama ya ujenzi ni milioni kumi na sita laki Tisa kwa mtazamo wa kawaida thamani ya fedha na mradi tunaona havilingani" Amesema Festo Myuguye, diwani wa kata ya Ipera.
Mwonekano wa kichoma taka (medical waste incinerator) kilichopo kata ya Ipera wilaya ya Mpwapwa mkoani Dodoma chenye thamani ya Tsh. 16,900,000/=
Maelezo ya diwani ni kwamba awali walitafutwa mafundi ambao wangeweza kujenga kwa Tsh. 1,300,000/= (Milioni moja na laki tatu tu. Lakini likatoka agizo kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa kuwa ujenzi huo utafanywa na mafundi wa Wizara na si vinginevyo.
Kama una maoni au utaalam kuhusu ujenzi wa miundombinu ya namna hii, maoni yako ni muhimu sana. Karibu.
Nakubaliana na wewe.1,600,000tsh inaweza kugharamia ujenzi wa hicho kichomatakaWameongeza '0' kwa bahati mbaya ni 1,600,000/=
. Hiyo huwa inapiteaga huko katikati, gharama za muhimu ndo hizo mbili, ya urefu wa kwamba ambayo ni mara 2 ya gharama halisi.Umesahau na laki 9 kodi