Amini usiamini, hii ndio thamani ya kichoma taka inayodaiwa na mafundi wa Wizara ya Afya

Nakushauri hili bandiko lako ulipeleke Twitter watakusaidia kum tag Waziri Ummy Mwalimu, kiukweli hii haikubaliki kabisa
 
Kula Ni Kula Ubaya Ni Kukomba Mboga Ama
Kupasua Chungu!!!


Kichoma Taka Hoyee!!
 
Nashauri bageti ijayo watenge kama 2tr za kuiba tu ili tuwe tunajua za kuiba nazo zimo kwenye bajeti
Na wasione aibu kuitangaza maana hawaoni aibu kuiba

Sasa hiyo Incinerator wangeagiza toka china wangepata mpaka kama mashine 3 tofauti kwa hela hiyo
Ila maadamu wameruhusiwa kula kidogo sawa
Yaani kidogo 80%
 
Kwanza hakuna Kichoma Taka kinachojengwa kwa kutumia Matofari ya Cement.....!!!
 
Mbona jaman gharama zinalingana, fanya mahesabu kama ifuatavyo:
  • Gharama ya ujenzi mpaka kukamilika 4m.
  • Ulaji wa urefu wa kamba 10m
  • Gharama nyingineno 2m
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Aiseew
 
Kosa kubwa sana walilolifanya ni kutumia matofali ya saruji badala ya matofali ya kuchoma, matofali ya saruji hayahimili moto.
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…