Ambivert88
JF-Expert Member
- Aug 16, 2022
- 3,609
- 6,388
Na huu ni ukaguzi wangu binafsi kutokana na eneo nililopo. Hapa nitatoa kitu kinajulikana km customer feedback.
Awali ya yote mimi ninatumia mitandao yote ya simu yaan Airtel, Yas zamani Tigo/Zantel, Vodacom na Halotel.
Sasa kwa eneo nililopo nimejaribu kufanya tafiti zangu binafsi ili kubaini ni mtandao gani wenye kasi zaidi kupita mitandao mingine.
Niseme tu nimekua mtumiaji wa Airtel, Vodacom na Halotel kwa muda mrefu sana. Yas au Tigo/Zantel nilisimama kuitumia kidogo kwa muda.
Line niliyoipendelea zaidi kwenye Internet ni Airtel na Vodacom ila hapa katikati nikahamia Halotel kupata huduma ya Internet.
Sasa nimekaa nikaanza kukagua hapa nilipo Halotel Internet kuna muda ni majanga yaani mtandao hauna nguvu kabisa speed majanga kabisa yaani mpaka unataka kulia km tupo mwaka 1999.
Nikajaribu Vodacom ikawa ina nguvu ila inaizidi Halotel kwa kiwango fulani H+ 4G inapanda mpaka LTE inapanda 4G/LTE uzuri wa Vodacom speed ipo juu.
Nikatoa nikaweka Yas ni mseleleko yaan speed ni zaidi ya Vodacom na Halotel yaan ni fyaaaaa fyaaaa ukigusa fyaaaaa hakuna kusubiri nikasema hapa ndio penyewe.
Nikatoa Yas nikaweka Airtel yaan mpaka yale maeneo ambayo Halotel na Vodacom mtandao ulikua hausomi unasoma E ila Airtel wamo yaan ni fyaaa fyaaa faya nikibonyeza fyaaaa fyaaa faya speed ndio moto hakuna mfano yaan fayaaa shwaaa.
Kwa speed hii :
1] Airtel nimewapa 4.8/5
2] Yas nimewapa 4/5
3] Vodacom nimewapa 4/5
4] Halotel nimewapa 2.5/5
Halotel waboreshe huduma ya Internet kuna maeneo mtandao ni majanga kwa kweli mpaka line unatamani uiweke sub kabisa usiitumie.
Sasa leo nimenunua kifurushi cha Mwezi Halotel ila muda huu mtandao mpaka nilengeshe eneo yaan ni H+ tu ni ya kulenga kutafuta angle upate Internet na mnara haupandi kabisa 4G yaan ni majanga kabisa mwisho H+. Mpaka nasema ile hela bora ningeenda kununua Pepsi tu kwa Mangi ninywe nijue kimoja.
Airtel wamefunika kwenye kasi ya Internet nimekubari sio mchezo sisi tunaopemda speed km imefungwa turbo wametuweza yaan ukibonyeza shwaaaa shwaaa fayaaaa.
Halotel boresheni huduma ya Internet mnatupa tabu sana wateja wenu yaan kitu kina-load mpaka unajutia pesa zako ulizonunulia bando.
Sina mengine mengi ya kusema. Itoshe kusema nimemaliza kusema.
Awali ya yote mimi ninatumia mitandao yote ya simu yaan Airtel, Yas zamani Tigo/Zantel, Vodacom na Halotel.
Sasa kwa eneo nililopo nimejaribu kufanya tafiti zangu binafsi ili kubaini ni mtandao gani wenye kasi zaidi kupita mitandao mingine.
Niseme tu nimekua mtumiaji wa Airtel, Vodacom na Halotel kwa muda mrefu sana. Yas au Tigo/Zantel nilisimama kuitumia kidogo kwa muda.
Line niliyoipendelea zaidi kwenye Internet ni Airtel na Vodacom ila hapa katikati nikahamia Halotel kupata huduma ya Internet.
Sasa nimekaa nikaanza kukagua hapa nilipo Halotel Internet kuna muda ni majanga yaani mtandao hauna nguvu kabisa speed majanga kabisa yaani mpaka unataka kulia km tupo mwaka 1999.
Nikajaribu Vodacom ikawa ina nguvu ila inaizidi Halotel kwa kiwango fulani H+ 4G inapanda mpaka LTE inapanda 4G/LTE uzuri wa Vodacom speed ipo juu.
Nikatoa nikaweka Yas ni mseleleko yaan speed ni zaidi ya Vodacom na Halotel yaan ni fyaaaaa fyaaaa ukigusa fyaaaaa hakuna kusubiri nikasema hapa ndio penyewe.
Nikatoa Yas nikaweka Airtel yaan mpaka yale maeneo ambayo Halotel na Vodacom mtandao ulikua hausomi unasoma E ila Airtel wamo yaan ni fyaaa fyaaa faya nikibonyeza fyaaaa fyaaa faya speed ndio moto hakuna mfano yaan fayaaa shwaaa.
Kwa speed hii :
1] Airtel nimewapa 4.8/5
2] Yas nimewapa 4/5
3] Vodacom nimewapa 4/5
4] Halotel nimewapa 2.5/5
Halotel waboreshe huduma ya Internet kuna maeneo mtandao ni majanga kwa kweli mpaka line unatamani uiweke sub kabisa usiitumie.
Sasa leo nimenunua kifurushi cha Mwezi Halotel ila muda huu mtandao mpaka nilengeshe eneo yaan ni H+ tu ni ya kulenga kutafuta angle upate Internet na mnara haupandi kabisa 4G yaan ni majanga kabisa mwisho H+. Mpaka nasema ile hela bora ningeenda kununua Pepsi tu kwa Mangi ninywe nijue kimoja.
Airtel wamefunika kwenye kasi ya Internet nimekubari sio mchezo sisi tunaopemda speed km imefungwa turbo wametuweza yaan ukibonyeza shwaaaa shwaaa fayaaaa.
Halotel boresheni huduma ya Internet mnatupa tabu sana wateja wenu yaan kitu kina-load mpaka unajutia pesa zako ulizonunulia bando.
Sina mengine mengi ya kusema. Itoshe kusema nimemaliza kusema.