Amini usiamini ila Airtel ndio Mtandao wenye kasi zaidi ya Internet kwa sasa kupita mitandao yote

Amini usiamini ila Airtel ndio Mtandao wenye kasi zaidi ya Internet kwa sasa kupita mitandao yote

Ambivert88

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2022
Posts
3,609
Reaction score
6,388
Na huu ni ukaguzi wangu binafsi kutokana na eneo nililopo. Hapa nitatoa kitu kinajulikana km customer feedback.

Awali ya yote mimi ninatumia mitandao yote ya simu yaan Airtel, Yas zamani Tigo/Zantel, Vodacom na Halotel.

Sasa kwa eneo nililopo nimejaribu kufanya tafiti zangu binafsi ili kubaini ni mtandao gani wenye kasi zaidi kupita mitandao mingine.

Niseme tu nimekua mtumiaji wa Airtel, Vodacom na Halotel kwa muda mrefu sana. Yas au Tigo/Zantel nilisimama kuitumia kidogo kwa muda.

Line niliyoipendelea zaidi kwenye Internet ni Airtel na Vodacom ila hapa katikati nikahamia Halotel kupata huduma ya Internet.

Sasa nimekaa nikaanza kukagua hapa nilipo Halotel Internet kuna muda ni majanga yaani mtandao hauna nguvu kabisa speed majanga kabisa yaani mpaka unataka kulia km tupo mwaka 1999.

Nikajaribu Vodacom ikawa ina nguvu ila inaizidi Halotel kwa kiwango fulani H+ 4G inapanda mpaka LTE inapanda 4G/LTE uzuri wa Vodacom speed ipo juu.

Nikatoa nikaweka Yas ni mseleleko yaan speed ni zaidi ya Vodacom na Halotel yaan ni fyaaaaa fyaaaa ukigusa fyaaaaa hakuna kusubiri nikasema hapa ndio penyewe.

Nikatoa Yas nikaweka Airtel yaan mpaka yale maeneo ambayo Halotel na Vodacom mtandao ulikua hausomi unasoma E ila Airtel wamo yaan ni fyaaa fyaaa faya nikibonyeza fyaaaa fyaaa faya speed ndio moto hakuna mfano yaan fayaaa shwaaa.

Kwa speed hii :

1] Airtel nimewapa 4.8/5

2] Yas nimewapa 4/5

3] Vodacom nimewapa 4/5

4] Halotel nimewapa 2.5/5

Halotel waboreshe huduma ya Internet kuna maeneo mtandao ni majanga kwa kweli mpaka line unatamani uiweke sub kabisa usiitumie.

Sasa leo nimenunua kifurushi cha Mwezi Halotel ila muda huu mtandao mpaka nilengeshe eneo yaan ni H+ tu ni ya kulenga kutafuta angle upate Internet na mnara haupandi kabisa 4G yaan ni majanga kabisa mwisho H+. Mpaka nasema ile hela bora ningeenda kununua Pepsi tu kwa Mangi ninywe nijue kimoja.

Airtel wamefunika kwenye kasi ya Internet nimekubari sio mchezo sisi tunaopemda speed km imefungwa turbo wametuweza yaan ukibonyeza shwaaaa shwaaa fayaaaa.

Halotel boresheni huduma ya Internet mnatupa tabu sana wateja wenu yaan kitu kina-load mpaka unajutia pesa zako ulizonunulia bando.

Sina mengine mengi ya kusema. Itoshe kusema nimemaliza kusema.
 
Hawa unaowasifia wewe mimi toka nilivyosajili line yao haikuwahi kusoma Internet pamoja na kwamba nilijiunga na kifurushi cha week,sikumbuki hata niliitupia wapi pumbavu sana nduguzako hao.
Lini ulivyosajiri? Simu yako uliingia upande wa Setting kuset Internet au ulikua hujui jinsi ya kuset hukutumiwa Setting za Internet?
 
Lini ulivyosajiri? Simu yako uliingia upande wa Setting kuset Internet au ulikua hujui jinsi ya kuset hukutumiwa Setting za Internet?
Yote hayo niliyafanya hata alienisajilia line nikamueleza tatizo akaingia kwenye settings lakini waaaap ila nae akaniambia ni wengi wanalalamika nikaona haina shida nikabadilisha mtandao mwingine
 
Yote hayo niliyafanya hata alienisajilia line nikamueleza tatizo akaingia kwenye settings lakini waaaap ila nae akaniambia ni wengi wanalalamika nikaona haina shida nikabadilisha mtandao mwingine
Aaha sasa wewe itakua simu yako labda mimi simu yangu nimefanikiwa
 
Na huu ni ukaguzi wangu binafsi kutokana na eneo nililopo. Hapa nitatoa kitu kinajulikana km customer feedback.

Awali ya yote mimi ninatumia mitandao yote ya simu yaan Airtel, Yas zamani Tigo/Zantel, Vodacom na Halotel.

Sasa kwa eneo nililopo nimejaribu kufanya tafiti zangu binafsi ili kubaini ni mtandao gani wenye kasi zaidi kupita mitandao mingine.

Niseme tu nimekua mtumiaji wa Airtel, Vodacom na Halotel kwa muda mrefu sana. Yas au Tigo/Zantel nilisimama kuitumia kidogo kwa muda.

Line niliyoipendelea zaidi kwenye Internet ni Airtel na Vodacom ila hapa katikati nikahamia Halotel kupata huduma ya Internet.

Sasa nimekaa nikaanza kukagua hapa nilipo Halotel Internet kuna muda ni majanga yaani mtandao hauna nguvu kabisa speed majanga kabisa yaani mpaka unataka kulia km tupo mwaka 1999.

Nikajaribu Vodacom ikawa ina nguvu ila inaizidi Halotel kwa kiwango fulani H+ 4G inapanda mpaka LTE inapanda 4G/LTE uzuri wa Vodacom speed ipo juu.

Nikatoa nikaweka Yas ni mseleleko yaan speed ni zaidi ya Vodacom na Halotel yaan ni fyaaaaa fyaaaa ukigusa fyaaaaa hakuna kusubiri nikasema hapa ndio penyewe.

Nikatoa Yas nikaweka Airtel yaan mpaka yale maeneo ambayo Halotel na Vodacom mtandao ulikua hausomi unasoma E ila Airtel wamo yaan ni fyaaa fyaaa faya nikibonyeza fyaaaa fyaaa faya speed ndio moto hakuna mfano yaan fayaaa shwaaa.

Kwa speed hii :

1] Airtel nimewapa 4.8/5

2] Yas nimewapa 4/5

3] Vodacom nimewapa 4/5

4] Halotel nimewapa 2.5/5

Halotel waboreshe huduma ya Internet kuna maeneo mtandao ni majanga kwa kweli mpaka line unatamani uiweke sub kabisa usiitumie.

Sasa leo nimenunua kifurushi cha Mwezi Halotel ila muda huu mtandao mpaka nilengeshe eneo yaan ni H+ tu ni ya kulenga kutafuta angle upate Internet na mnara haupandi kabisa 4G yaan ni majanga kabisa mwisho H+. Mpaka nasema ile hela bora ningeenda kununua Pepsi tu kwa Mangi ninywe nijue kimoja.

Airtel wamefunika kwenye kasi ya Internet nimekubari sio mchezo sisi tunaopemda speed km imefungwa turbo wametuweza yaan ukibonyeza shwaaaa shwaaa fayaaaa.

Halotel boresheni huduma ya Internet mnatupa tabu sana wateja wenu yaan kitu kina-load mpaka unajutia pesa zako ulizonunulia bando.

Sina mengine mengi ya kusema. Itoshe kusema nimemaliza kusema.
1736487284994.png

Yas inatisha sana mkuu. kuna muda inanipa hadi 120mbs. Hii ni speed yangu sasa hivi.
 
Back
Top Bottom