Amini usiamini ila Airtel ndio Mtandao wenye kasi zaidi ya Internet kwa sasa kupita mitandao yote

Possibly upo chini ya mnara
 
Kama unatumia kifaa cha zamani sawa ila kwa sasa 1 gigabit 5G ya Tigo, then 5G voda then wengine, hata kwa 4G wenye 4G lte Advance kama Tigo wapo vizuri, hapa Tigo hata naogopa ku speedtest lte advance yao, maana ni 100-200Mbps speed.
Kuna Raia wapo kama 10 wanataka kununua kifaa washee internet, Location Ni kijijini ambako voda, Yas na Airtel zinafanya Vizuri. Reccomendations wakimbilie wapi na Kwa price ipi??
 
Kuna Raia wapo kama 10 wanataka kununua kifaa washee internet, Location Ni kijijini ambako voda, Yas na Airtel zinafanya Vizuri. Reccomendations wakimbilie wapi na Kwa price ipi??
Sina uhakika mkuu kati ya Voda na Yas, kwa Airtel tuna data humu ina cap 500GB-1TB speed inashuka. Wa test mtandao wa YAS NA voda ama hata hao Airtel upi wanapata Signal nzuri na speed ya uhakika? Wa prioritize huo, 1TB ukijibana hata kama mpo 10 mna survive kila mtu 3GB kwa siku.

Alternative ni TTCL kwa mikoani kama ipo, huwa mikoani customer care ni nzuri compare na dar.
 
Aksante
Aksante, Hapo kwa Cap 500GB-1TB umeniacha gizani, Naomba mwanga kidogo mkuu.
 
N
Mfano speed ni 10mbps kwa sekunde, ukitumia gb 500 unakuwa umemaliza cap yako, wanadrop speed chini ya 1mbps, unakuwa connected ila kwa speed ndogo.
Na hio umesema ni kwa siku Post ya juu?? Yaani GB 500 per day??
 
Airtel ipo kasi sana Aise, πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹. Shida ni moja ukiwa unaongea na simu mtandao unataka
Hio inaondoka soon mzee saivi wapo Kwenye Phase test ya Kujaribu VolTE na Inaonakana iko well Operational, Mwezi wa Nne probably wata Go Live so kama simu yako ina Volte mambo yatakuwa poa.
 
Hio inaondoka soon mzee saivi wapo Kwenye Phase test ya Kujaribu VolTE na Inaonakana iko well Operational, Mwezi wa Nne probably wata Go Live so kama simu yako ina Volte mambo yatakuwa poa.
Itakuwa unyama sana mkuu, maana imekuwa changamoto sugu sana kwa sisi ambao kazi kubwa tunafanya online huku mawasiliano yakiendelea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…