Amini usiamini kuanzia Bunge lijalo hapatatosha

Amini usiamini kuanzia Bunge lijalo hapatatosha

Suzy Elias

JF-Expert Member
Joined
Nov 9, 2021
Posts
1,067
Reaction score
6,200
Wapo wapuuzi wanao mdharau Ndugai wakidhani ni mtu wa kawaida mno na kwamba hana madhala-wanajidanganya pakubwa!

Sasa mchezo unaanza rasmi...

...90% ya watendaji wote Serikali hasa wateule bado ni wa JPM. Hao ndiyo wavujisha siri zote kuelekea mjengoni.

...75% ya wabunge wa sasa ni zao na takwa la JPM.Ki vyovyote vile wanatambua uchaguzi ujao hawatakuwa chaguo la waliopo sasa kwa hiyo wataamua liwalo na liwe.

...Spika na Naibu wake ni takwa la JPM. Patamu hapo!

...PM.

Unajua nini,hii ngoma ni mbichi mno na ni vigumu sana kumtabiri mshindi.Binafsi naacha muda uongee.

NB: 2022 - 2025 lazima shoka liungue mpini ubaki!
 
Wapo wapuuzi wanao mdharau Ndugai wakidhani ni mtu wa kawaida mno na kwamba hana madhala-wanajidanganya pakubwa!

Sasa mchezo unaanza rasmi...

...90% ya watendaji wote Serikali hasa wateule bado ni wa JPM. Hao ndiyo wavujisha siri zote kuelekea mjengoni.

...75% ya wabunge wa sasa ni zao na takwa la JPM.Ki vyovyote vile wanatambua uchaguzi ujao hawatakuwa chaguo la waliopo sasa kwa hiyo wataamua liwalo na liwe.

...Spika na Naibu wake ni takwa la JPM. Patamu hapo!

...PM.

Unajua nini,hii ngoma ni mbichi mno na ni vigumu sana kumtabiri mshindi.Binafsi naacha muda uongee.

NB: 2022 - 2025 lazima shoka liungue mpini ubaki!
Kitu ambacho hujui siku zote ccm hulinda maslahi yake kwa kukutaa na kuandaana na kumaliza tofauti zao kisha wakaingia jimboni kama kitu kimoja
USSR
 
Wapo wapuuzi wanao mdharau Ndugai wakidhani ni mtu wa kawaida mno na kwamba hana madhala-wanajidanganya pakubwa!

Sasa mchezo unaanza rasmi...

...90% ya watendaji wote Serikali hasa wateule bado ni wa JPM. Hao ndiyo wavujisha siri zote kuelekea mjengoni.

...75% ya wabunge wa sasa ni zao na takwa la JPM.Ki vyovyote vile wanatambua uchaguzi ujao hawatakuwa chaguo la waliopo sasa kwa hiyo wataamua liwalo na liwe.

...Spika na Naibu wake ni takwa la JPM. Patamu hapo!

...PM.

Unajua nini,hii ngoma ni mbichi mno na ni vigumu sana kumtabiri mshindi.Binafsi naacha muda uongee.

NB: 2022 - 2025 lazima shoka liungue mpini ubaki!
Wabunge wa CCM ni wepesi kusahau/kujisahaulisha kwa ajili ya matumbo yao.Wote waliopo sasa hivi ni zao la kokoro,wakitishwa kidogo tu wanarejea kwenye mstari wa chama.
Usitegemee miujiza,ni wale wale!
 
Ipo hivi ccm isipoanguka itaponea tundu.
.wabunge wa upinzani watakuwa wengi sana bungeni zifuatazo sababu.
1.Hakuna mtu mwenye nguvu ya kuwalazimisha police na wakurugenzi waibe kura kwa hofu ya kufukuzwa Kazi
2.Kupita bila kupingwa hakipo tena
3.wanachama wa ccm ambao wengi ni wazee idadi yao inapungua KILA siku,kumkuta kijana anashabikia ccm bila kuwa na maslai nao ni ngumu.
4.Watz wameona madhara ya ukosefu wa upinzani bungeni kupitia tozo,nk
5.ccm hawana mtu anaeuzika nchini kwa sasa
6.Tozo, ugumu wa maisha, ukosefu wa ajira,vitu bei juu watz wanakwenda iadhibu vibaya ccm.
Njia nyeupe ya kuingia bungeni ni kupitia upinzani.
Ccm haina tena uwezo wa kusimama yenyewe bila police.
Wote waliobungeni ni asante magufuli wakiwa ni chaguo la magufuli Ili kumsaidia kubadili katiba atawale milele na sio chaguo la watz na wote Hakuna atakaerudi tena bungeni so wanajua hili thus wameamua bora tukose wote thus wameanza vurugu mapema.
 
Kitu ambacho hujui siku zote ccm hulinda maslahi yake kwa kukutaa na kuandaana na kumaliza tofauti zao kisha wakaingia jimboni kama kitu kimoja
USSR

Mnakuwaje kitu kimoja wakati kila siku unamchafua mtu aliyekuweka Madarakani,Sera zake unaziendeleza.
 
Wapo wapuuzi wanao mdharau Ndugai wakidhani ni mtu wa kawaida mno na kwamba hana madhala-wanajidanganya pakubwa!

Sasa mchezo unaanza rasmi...

...90% ya watendaji wote Serikali hasa wateule bado ni wa JPM. Hao ndiyo wavujisha siri zote kuelekea mjengoni.

...75% ya wabunge wa sasa ni zao na takwa la JPM.Ki vyovyote vile wanatambua uchaguzi ujao hawatakuwa chaguo la waliopo sasa kwa hiyo wataamua liwalo na liwe.

...Spika na Naibu wake ni takwa la JPM. Patamu hapo!

...PM.

Unajua nini,hii ngoma ni mbichi mno na ni vigumu sana kumtabiri mshindi.Binafsi naacha muda uongee.

NB: 2022 - 2025 lazima shoka liungue mpini ubaki!
Kwa nini sasa Dkt.Ndugae anadharaliwa sana?
 
Nawakumbusha tena na tena vijana au watu walioanza kufuatilia au kusahahu

Rais wa Tanzania ana nguvu sana sana

Rais wa Tanzania anaweza kubabaishwa na jeshi sio Spika wala Bunge lenyewe

Ulipoanza mjadala wa JPM aliwapiga marufuku wabunge 'kudemka' …uliwaskia tena wakidemka?

Kosa kubwa wanalofanya wana mitandao ya sasa ni kuanzisha mtandao wa kupambana na Rais

Lowassa alichemka hapo na sasa wanachemkia hapo hapo

Mtandao wa Jakaya wa 1995-2005 katika makosa waliyojiweka nayo mbali sana ni kuonekana wanapambana na Rais…wao mapambano yao yaliishia kwa Fredrick Sumaye hawakuthubutu kwenda juu zaid na sana sana wakibatiza wao ni Vipenzi na watetezi wa Mzee Mkapa dhidi ya utendaji mbovu wa Sumaye

Kupambana na Rais wa Tanzania ukiwa ndani ya chama chake unahitaji akili kubwa ambayo kwa sasa ndani ya Bunge na ndani ya Chama haipo…
 
Ipo hivi ccm isipoanguka itaponea tundu.
.wabunge wa upinzani watakuwa wengi sana bungeni zifuatazo sababu.
1.Hakuna mtu mwenye nguvu ya kuwalazimisha police na wakurugenzi waibe kura kwa hofu ya kufukuzwa Kazi
2.Kupita bila kupingwa hakipo tena
3.wanachama wa ccm ambao wengi ni wazee idadi yao inapungua KILA siku,kumkuta kijana anashabikia ccm bila kuwa na maslai nao ni ngumu.
4.Watz wameona madhara ya ukosefu wa upinzani bungeni kupitia tozo,nk
5.ccm hawana mtu anaeuzika nchini kwa sasa
6.Tozo, ugumu wa maisha, ukosefu wa ajira,vitu bei juu watz wanakwenda iadhibu vibaya ccm.
Njia nyeupe ya kuingia bungeni ni kupitia upinzani.
Ccm haina tena uwezo wa kusimama yenyewe bila police.
Wote waliobungeni ni asante magufuli wakiwa ni chaguo la magufuli Ili kumsaidia kubadili katiba atawale milele na sio chaguo la watz na wote Hakuna atakaerudi tena bungeni so wanajua hili thus wameamua bora tukose wote thus wameanza vurugu mapema.
7.Rais Samia anaonekana ni mwana Demokrasia kuliko mtangulizi wake
 
Unachotabiri kinaweza kuwa,hasa ukizingatia kiongozi katokea usultanini kule,jinsia yake,imani yake na waliomzunguka.
 
Wapo wapuuzi wanao mdharau Ndugai wakidhani ni mtu wa kawaida mno na kwamba hana madhala-wanajidanganya pakubwa!

Sasa mchezo unaanza rasmi...

...90% ya watendaji wote Serikali hasa wateule bado ni wa JPM. Hao ndiyo wavujisha siri zote kuelekea mjengoni.

...75% ya wabunge wa sasa ni zao na takwa la JPM.Ki vyovyote vile wanatambua uchaguzi ujao hawatakuwa chaguo la waliopo sasa kwa hiyo wataamua liwalo na liwe.

...Spika na Naibu wake ni takwa la JPM. Patamu hapo!

...PM.

Unajua nini,hii ngoma ni mbichi mno na ni vigumu sana kumtabiri mshindi.Binafsi naacha muda uongee.

NB: 2022 - 2025 lazima shoka liungue mpini ubaki!
Hakuna mtu wa kutunishiana misuli na rais, tanzania bado hatujafikia huko, rais bado ana nguvu Sana akiamua kuwafanyia figisu viti vitakuwa vya moto
 
7.Rais Samia anaonekana ni mwana Demokrasia kuliko mtangulizi wake
Samia ni zao la Kikwete na ndio maana unaona anawavumilia hawa vitimbakwiri, angekuwa ni yule chizi mwendakuzimu Polepole na huyu Ndugainsaa hizi wameshafutwa uanachama.

Nieleze kosa kubwa la Membe ni nini? Mipango yake yote ya kutaka Urais aliisema hadharani hakuwa na vikao vya siri.
 
Wapo wapuuzi wanao mdharau Ndugai wakidhani ni mtu wa kawaida mno na kwamba hana madhala-wanajidanganya pakubwa!

Sasa mchezo unaanza rasmi...

...90% ya watendaji wote Serikali hasa wateule bado ni wa JPM. Hao ndiyo wavujisha siri zote kuelekea mjengoni.

...75% ya wabunge wa sasa ni zao na takwa la JPM.Ki vyovyote vile wanatambua uchaguzi ujao hawatakuwa chaguo la waliopo sasa kwa hiyo wataamua liwalo na liwe.

...Spika na Naibu wake ni takwa la JPM. Patamu hapo!

...PM.

Unajua nini,hii ngoma ni mbichi mno na ni vigumu sana kumtabiri mshindi.Binafsi naacha muda uongee.

NB: 2022 - 2025 lazima shoka liungue mpini ubaki!
Wewe huwajui wabongo,, hasa walioko madarakani , wakishagundua huna lengo la kuwatoa wanakua very loyal,, na wanafanya kazi bila stress,, hawawezi kamwe kukusaliti, simply because, hawajui zimwi lisilokujua litakuja na agenda zipi,, wanakuwa na hofu, pengine akaja mtu wa tumbua tumbua, au mtu wa kusweka watu kwenye mifuko ya sulphate, etc...


Anyway, kujipa matumaini, hata kama fake, hupunguza stress
 
Mkumbuke tu kumlinda Rais ni jukumu la kila raia maana ndiyo kulilinda Taifa...Tanzania imefanikiwa sana kwenye kutunza amani kwakua Rais analindwa; tukivurunda hapo tutapata majuto...Yes Rais kama individual anaweza kuwa na weakness yake lakini tuheshimu nafasi yake yenye utaasisi...Ni kukosa akili kuanza kuivuruga taasisi ya u Rais...
 
Back
Top Bottom