Wapo wapuuzi wanao mdharau Ndugai wakidhani ni mtu wa kawaida mno na kwamba hana madhala-wanajidanganya pakubwa!
Sasa mchezo unaanza rasmi...
...90% ya watendaji wote Serikali hasa wateule bado ni wa JPM. Hao ndiyo wavujisha siri zote kuelekea mjengoni.
...75% ya wabunge wa sasa ni zao na takwa la JPM.Ki vyovyote vile wanatambua uchaguzi ujao hawatakuwa chaguo la waliopo sasa kwa hiyo wataamua liwalo na liwe.
...Spika na Naibu wake ni takwa la JPM. Patamu hapo!
...PM.
Unajua nini,hii ngoma ni mbichi mno na ni vigumu sana kumtabiri mshindi.Binafsi naacha muda uongee.
Wapo wapuuzi wanao mdharau Ndugai wakidhani ni mtu wa kawaida mno na kwamba hana madhala-wanajidanganya pakubwa!
Sasa mchezo unaanza rasmi...
...90% ya watendaji wote Serikali hasa wateule bado ni wa JPM. Hao ndiyo wavujisha siri zote kuelekea mjengoni.
...75% ya wabunge wa sasa ni zao na takwa la JPM.Ki vyovyote vile wanatambua uchaguzi ujao hawatakuwa chaguo la waliopo sasa kwa hiyo wataamua liwalo na liwe.
...Spika na Naibu wake ni takwa la JPM. Patamu hapo!
...PM.
Unajua nini,hii ngoma ni mbichi mno na ni vigumu sana kumtabiri mshindi.Binafsi naacha muda uongee.
Siri gani ya kuvujisha wakati Samia kila kitu anaweka wazi? Mama hafichi chochote maana hana fungu la kulipa waunga juhudi wala wauza mahindi ya kuchoma, wala wagawaji wa jogoo, wala wafia kwenye viroba, wala wavamia studio, wala wapiga risasi. Ni siri gani hizo walizonazo hao wateule? Fanya kazi zako dogo Serikali ni dubwasha flani hivi lione kama lilivyo.
Wapo wapuuzi wanao mdharau Ndugai wakidhani ni mtu wa kawaida mno na kwamba hana madhala-wanajidanganya pakubwa!
Sasa mchezo unaanza rasmi...
...90% ya watendaji wote Serikali hasa wateule bado ni wa JPM. Hao ndiyo wavujisha siri zote kuelekea mjengoni.
...75% ya wabunge wa sasa ni zao na takwa la JPM.Ki vyovyote vile wanatambua uchaguzi ujao hawatakuwa chaguo la waliopo sasa kwa hiyo wataamua liwalo na liwe.
...Spika na Naibu wake ni takwa la JPM. Patamu hapo!
...PM.
Unajua nini,hii ngoma ni mbichi mno na ni vigumu sana kumtabiri mshindi.Binafsi naacha muda uongee.
Acha uongo maccm yanabebwa na dola hakuna cha kumaliza tofauti wala nini, na kama unabisha kamuulize JK 2010 maccm yalivyotaka kumtoa kafara usifikiri atujui.
Pia nafikiri ujui chanzo cha JK kuja na katiba mpya, kalagabao!!!.
Unamjua binadamu anaitwa EL na king maker wao RA.... unaijua nguvu yao kufananisha na hii yakina JOB tena hata hela hawana....watashindwa kabla hawajaanza jamaa yangu, mwenzio ameshaanza kulialia oooh mimi Mgogo...
Wapo wapuuzi wanao mdharau Ndugai wakidhani ni mtu wa kawaida mno na kwamba hana madhala-wanajidanganya pakubwa!
Sasa mchezo unaanza rasmi...
...90% ya watendaji wote Serikali hasa wateule bado ni wa JPM. Hao ndiyo wavujisha siri zote kuelekea mjengoni.
...75% ya wabunge wa sasa ni zao na takwa la JPM.Ki vyovyote vile wanatambua uchaguzi ujao hawatakuwa chaguo la waliopo sasa kwa hiyo wataamua liwalo na liwe.
...Spika na Naibu wake ni takwa la JPM. Patamu hapo!
...PM.
Unajua nini,hii ngoma ni mbichi mno na ni vigumu sana kumtabiri mshindi.Binafsi naacha muda uongee.
Unajua humu siku hizi great thinkers wamevamiws, mtu anakuja kukutukana badala ya kujibu hoja!
Unachokisema mm nimeanza kukiona kimeanza kutokea tangu polepole,
JPM camp walipoona polepole kapigwa pin wakajibu kwa silaha nyingine, hii inayotrend sasa, kiufupi hawawezi kukubali kushindwa wakielewa kabisa walikuwa wanamalengo makubwa na JPM halafu vibaka fulani wanakuja kublock,l
Nawasalimu wadau wote wa jukwaa hili; ninaomba tushirikiane kwa pamoja kuangalia jambo hili kutoka pande mbalimbali na kuona kama linaweza kuwa ni uamuzi sahihi kwa majira haya ambayo taifa letu limefikia sasa. Wote tunakubaliana kuwa kila jambo huwa na mwisho wake na historia inajengwa na...
Chama kimeshatekwa na wahuni hakuna atakae kikomboa tena kwa sasa kwani wale wazee waliokuwa na nguvu hizo wamejichokea kwa sasa na wengine tayari wameenda zao. Wahuni wakiongozwa na boys 2 men ni very organized walijua kuwa wanaowabana ni wazee ila watakuja kuphase out tu siku moja; wao...
Wasalam, Kuna msemo maarufu usemao, " asiejua aendako hawezi potea njia". Msemo huu sasa unasadifu vema siasa za nchi yetu Tanzania; kuna kizazi kilichozaliwa hasa baada na wakati vyama vingi vinaruhusiwa nchini, hawa mpaka wanapata akili wamekuta vuruga na marumbano ya kisiasa na imewanyima...
Unajua humu siku hizi great thinkers wamevamiws, mtu anakuja kukutukana badala ya kujibu hoja!
Unachokisema mm nimeanza kukiona kimeanza kutokea tangu polepole,
JPM camp walipoona polepole kapigwa pin wakajibu kwa silaha nyingine, hii inayotrend sasa, kiufupi hawawezi kukubali kushindwa wakielewa kabisa walikuwa wanamalengo makubwa na JPM halafu vibaka fulani wanakuja kublock,l
Nawasalimu wadau wote wa jukwaa hili; ninaomba tushirikiane kwa pamoja kuangalia jambo hili kutoka pande mbalimbali na kuona kama linaweza kuwa ni uamuzi sahihi kwa majira haya ambayo taifa letu limefikia sasa. Wote tunakubaliana kuwa kila jambo huwa na mwisho wake na historia inajengwa na...
Chama kimeshatekwa na wahuni hakuna atakae kikomboa tena kwa sasa kwani wale wazee waliokuwa na nguvu hizo wamejichokea kwa sasa na wengine tayari wameenda zao. Wahuni wakiongozwa na boys 2 men ni very organized walijua kuwa wanaowabana ni wazee ila watakuja kuphase out tu siku moja; wao...
Wasalam, Kuna msemo maarufu usemao, " asiejua aendako hawezi potea njia". Msemo huu sasa unasadifu vema siasa za nchi yetu Tanzania; kuna kizazi kilichozaliwa hasa baada na wakati vyama vingi vinaruhusiwa nchini, hawa mpaka wanapata akili wamekuta vuruga na marumbano ya kisiasa na imewanyima...
Wapo wapuuzi wanao mdharau Ndugai wakidhani ni mtu wa kawaida mno na kwamba hana madhala-wanajidanganya pakubwa!
Sasa mchezo unaanza rasmi...
...90% ya watendaji wote Serikali hasa wateule bado ni wa JPM. Hao ndiyo wavujisha siri zote kuelekea mjengoni.
...75% ya wabunge wa sasa ni zao na takwa la JPM.Ki vyovyote vile wanatambua uchaguzi ujao hawatakuwa chaguo la waliopo sasa kwa hiyo wataamua liwalo na liwe.
...Spika na Naibu wake ni takwa la JPM. Patamu hapo!
...PM.
Unajua nini,hii ngoma ni mbichi mno na ni vigumu sana kumtabiri mshindi.Binafsi naacha muda uongee.
Samia ni zao la Kikwete na ndio maana unaona anawavumilia hawa vitimbakwiri, angekuwa ni yule chizi mwendakuzimu Polepole na huyu Ndugainsaa hizi wameshafutwa uanachama.
Nieleze kosa kubwa la Membe ni nini? Mipango yake yote ya kutaka Urais aliisema hadharani hakuwa na vikao vya siri.
Wapo wapuuzi wanao mdharau Ndugai wakidhani ni mtu wa kawaida mno na kwamba hana madhala-wanajidanganya pakubwa!
Sasa mchezo unaanza rasmi...
...90% ya watendaji wote Serikali hasa wateule bado ni wa JPM. Hao ndiyo wavujisha siri zote kuelekea mjengoni.
...75% ya wabunge wa sasa ni zao na takwa la JPM.Ki vyovyote vile wanatambua uchaguzi ujao hawatakuwa chaguo la waliopo sasa kwa hiyo wataamua liwalo na liwe.
...Spika na Naibu wake ni takwa la JPM. Patamu hapo!
...PM.
Unajua nini,hii ngoma ni mbichi mno na ni vigumu sana kumtabiri mshindi.Binafsi naacha muda uongee.
Kacheze na mtu mwingine lakini siyo raia namba moja utakuwa hujitakii mema. Wabunge wengi walioko bungeni wageni na wengi hawakubali kuingizwa kwenye malumbano ya kitoto.
Ikibidi watasimama na raia namba moja na siyo waliomuona mke wa mtume katika mitaa ya Galilaya.
Siri gani ya kuvujisha wakati Samia kila kitu anaweka wazi? Mama hafichi chochote maana hana fungu la kulipa waunga juhudi wala wauza mahindi ya kuchoma, wala wagawaji wa jogoo, wala wafia kwenye viroba, wala wavamia studio, wala wapiga risasi. Ni siri gani hizo walizonazo hao wateule? Fanya kazi zako dogo Serikali ni dubwasha flani hivi lione kama lilivyo.
Kikubwa tukitaka kuiangusha CCM Ni kuwekeza migogoro ndani ya CCM ili wavurugane na wapoteane ,wasiwe wamoja,Ni ngumu mno kupambana na CCM iliyoshikamana pamoja Ni dude moja lenye nguvu zisizo za kawaida,kikubwa Kwanza Ni kuotesha migogoro humo,pia kushikia bango katiba na tume huru,bila hivyo kuimenya CCM vipande vipande yaani Ni Bora hata usipoteze raslimali zako kupambana nao .Kama walivyoanza kuparurana hivi hapo ndo POA Sasa chochea Moto uweke na petroli juu kutoka sources tofauti tofauti tu,Hadi 2025 CCM watakuwa wamelegea wanavuja damu,wako vipande vipande,hivyo uchaguzi ukifika watakuwa Ni wakusukuma Kama mlevi tuuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.