Amini usiamini kuanzia Bunge lijalo hapatatosha

Amini usiamini kuanzia Bunge lijalo hapatatosha

Wapo wapuuzi wanao mdharau Ndugai wakidhani ni mtu wa kawaida mno na kwamba hana madhala-wanajidanganya pakubwa!

Sasa mchezo unaanza rasmi...

...90% ya watendaji wote Serikali hasa wateule bado ni wa JPM. Hao ndiyo wavujisha siri zote kuelekea mjengoni.

...75% ya wabunge wa sasa ni zao na takwa la JPM.Ki vyovyote vile wanatambua uchaguzi ujao hawatakuwa chaguo la waliopo sasa kwa hiyo wataamua liwalo na liwe.

...Spika na Naibu wake ni takwa la JPM. Patamu hapo!

...PM.

Unajua nini,hii ngoma ni mbichi mno na ni vigumu sana kumtabiri mshindi.Binafsi naacha muda uongee.

NB: 2022 - 2025 lazima shoka liungue mpini ubaki!
We jamaw umeona kitu. Hao wote uliowataja wanaona mwisho wao ndiyo umefika. Hivyo wataamua wafe na mtu
 
Wapo wapuuzi wanao mdharau Ndugai wakidhani ni mtu wa kawaida mno na kwamba hana madhala-wanajidanganya pakubwa!

Sasa mchezo unaanza rasmi...

...90% ya watendaji wote Serikali hasa wateule bado ni wa JPM. Hao ndiyo wavujisha siri zote kuelekea mjengoni.

...75% ya wabunge wa sasa ni zao na takwa la JPM.Ki vyovyote vile wanatambua uchaguzi ujao hawatakuwa chaguo la waliopo sasa kwa hiyo wataamua liwalo na liwe.

...Spika na Naibu wake ni takwa la JPM. Patamu hapo!

...PM.

Unajua nini,hii ngoma ni mbichi mno na ni vigumu sana kumtabiri mshindi.Binafsi naacha muda uongee.

NB: 2022 - 2025 lazima shoka liungue mpini ubaki!
Siri gani ya kuvujisha wakati Samia kila kitu anaweka wazi? Mama hafichi chochote maana hana fungu la kulipa waunga juhudi wala wauza mahindi ya kuchoma, wala wagawaji wa jogoo, wala wafia kwenye viroba, wala wavamia studio, wala wapiga risasi. Ni siri gani hizo walizonazo hao wateule? Fanya kazi zako dogo Serikali ni dubwasha flani hivi lione kama lilivyo.
 
Wapo wapuuzi wanao mdharau Ndugai wakidhani ni mtu wa kawaida mno na kwamba hana madhala-wanajidanganya pakubwa!

Sasa mchezo unaanza rasmi...

...90% ya watendaji wote Serikali hasa wateule bado ni wa JPM. Hao ndiyo wavujisha siri zote kuelekea mjengoni.

...75% ya wabunge wa sasa ni zao na takwa la JPM.Ki vyovyote vile wanatambua uchaguzi ujao hawatakuwa chaguo la waliopo sasa kwa hiyo wataamua liwalo na liwe.

...Spika na Naibu wake ni takwa la JPM. Patamu hapo!

...PM.

Unajua nini,hii ngoma ni mbichi mno na ni vigumu sana kumtabiri mshindi.Binafsi naacha muda uongee.

NB: 2022 - 2025 lazima shoka liungue mpini ubaki!
Kwani Rais akitaka si anapangua tuu shida iko wapi?

Uache kupigania unapokula uje kupigania marehemu,una kichaa labda.
 
Hakuna mtu wa kutunishiana misuli na rais, tanzania bado hatujafikia huko, rais bado ana nguvu Sana akiamua kuwafanyia figisu viti vitakuwa vya moto
Ni Rais tuu hajaamua,ana mamlaka makubwa ya kumtoa na kumuweka yeyote kwa kutumia loopholes kibao.
 
Kitu ambacho hujui siku zote ccm hulinda maslahi yake kwa kukutaa na kuandaana na kumaliza tofauti zao kisha wakaingia jimboni kama kitu kimoja
USSR
Acha uongo maccm yanabebwa na dola hakuna cha kumaliza tofauti wala nini, na kama unabisha kamuulize JK 2010 maccm yalivyotaka kumtoa kafara usifikiri atujui.

Pia nafikiri ujui chanzo cha JK kuja na katiba mpya, kalagabao!!!.

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
 
Aina ya wabunge wa sasa sioni hilo likitokea.

Namna walivyochaguliwa kamwe hawawezi kusimamia wanachoamini kwasababu wanajua 75% hawakuchaguliwa na wananchi.
 
Unamjua binadamu anaitwa EL na king maker wao RA.... unaijua nguvu yao kufananisha na hii yakina JOB tena hata hela hawana....watashindwa kabla hawajaanza jamaa yangu, mwenzio ameshaanza kulialia oooh mimi Mgogo...
 
Wapo wapuuzi wanao mdharau Ndugai wakidhani ni mtu wa kawaida mno na kwamba hana madhala-wanajidanganya pakubwa!

Sasa mchezo unaanza rasmi...

...90% ya watendaji wote Serikali hasa wateule bado ni wa JPM. Hao ndiyo wavujisha siri zote kuelekea mjengoni.

...75% ya wabunge wa sasa ni zao na takwa la JPM.Ki vyovyote vile wanatambua uchaguzi ujao hawatakuwa chaguo la waliopo sasa kwa hiyo wataamua liwalo na liwe.

...Spika na Naibu wake ni takwa la JPM. Patamu hapo!

...PM.

Unajua nini,hii ngoma ni mbichi mno na ni vigumu sana kumtabiri mshindi.Binafsi naacha muda uongee.

NB: 2022 - 2025 lazima shoka liungue mpini ubaki!
Unajua humu siku hizi great thinkers wamevamiws, mtu anakuja kukutukana badala ya kujibu hoja!
Unachokisema mm nimeanza kukiona kimeanza kutokea tangu polepole,
JPM camp walipoona polepole kapigwa pin wakajibu kwa silaha nyingine, hii inayotrend sasa, kiufupi hawawezi kukubali kushindwa wakielewa kabisa walikuwa wanamalengo makubwa na JPM halafu vibaka fulani wanakuja kublock,l





 
Unajua humu siku hizi great thinkers wamevamiws, mtu anakuja kukutukana badala ya kujibu hoja!
Unachokisema mm nimeanza kukiona kimeanza kutokea tangu polepole,
JPM camp walipoona polepole kapigwa pin wakajibu kwa silaha nyingine, hii inayotrend sasa, kiufupi hawawezi kukubali kushindwa wakielewa kabisa walikuwa wanamalengo makubwa na JPM halafu vibaka fulani wanakuja kublock,l





Remember JK is a really soldier.
 
Wapo wapuuzi wanao mdharau Ndugai wakidhani ni mtu wa kawaida mno na kwamba hana madhala-wanajidanganya pakubwa!

Sasa mchezo unaanza rasmi...

...90% ya watendaji wote Serikali hasa wateule bado ni wa JPM. Hao ndiyo wavujisha siri zote kuelekea mjengoni.

...75% ya wabunge wa sasa ni zao na takwa la JPM.Ki vyovyote vile wanatambua uchaguzi ujao hawatakuwa chaguo la waliopo sasa kwa hiyo wataamua liwalo na liwe.

...Spika na Naibu wake ni takwa la JPM. Patamu hapo!

...PM.

Unajua nini,hii ngoma ni mbichi mno na ni vigumu sana kumtabiri mshindi.Binafsi naacha muda uongee.

NB: 2022 - 2025 lazima shoka liungue mpini ubaki!
Wapige kura ya kutokuwa na imani na raisi basi tuingie kwenye uchaguzi
 
Samia ni zao la Kikwete na ndio maana unaona anawavumilia hawa vitimbakwiri, angekuwa ni yule chizi mwendakuzimu Polepole na huyu Ndugainsaa hizi wameshafutwa uanachama.

Nieleze kosa kubwa la Membe ni nini? Mipango yake yote ya kutaka Urais aliisema hadharani hakuwa na vikao vya siri.
Unataka kujua kosa lake au sifa yake ? Huyo alikuwa apewe uongozi wa mikoba ya TEAM WAHUNI WOTE NDANI YA CHAMA
 
Wapo wapuuzi wanao mdharau Ndugai wakidhani ni mtu wa kawaida mno na kwamba hana madhala-wanajidanganya pakubwa!

Sasa mchezo unaanza rasmi...

...90% ya watendaji wote Serikali hasa wateule bado ni wa JPM. Hao ndiyo wavujisha siri zote kuelekea mjengoni.

...75% ya wabunge wa sasa ni zao na takwa la JPM.Ki vyovyote vile wanatambua uchaguzi ujao hawatakuwa chaguo la waliopo sasa kwa hiyo wataamua liwalo na liwe.

...Spika na Naibu wake ni takwa la JPM. Patamu hapo!

...PM.

Unajua nini,hii ngoma ni mbichi mno na ni vigumu sana kumtabiri mshindi.Binafsi naacha muda uongee.

NB: 2022 - 2025 lazima shoka liungue mpini ubaki!
Kacheze na mtu mwingine lakini siyo raia namba moja utakuwa hujitakii mema. Wabunge wengi walioko bungeni wageni na wengi hawakubali kuingizwa kwenye malumbano ya kitoto.

Ikibidi watasimama na raia namba moja na siyo waliomuona mke wa mtume katika mitaa ya Galilaya.
 
Siri gani ya kuvujisha wakati Samia kila kitu anaweka wazi? Mama hafichi chochote maana hana fungu la kulipa waunga juhudi wala wauza mahindi ya kuchoma, wala wagawaji wa jogoo, wala wafia kwenye viroba, wala wavamia studio, wala wapiga risasi. Ni siri gani hizo walizonazo hao wateule? Fanya kazi zako dogo Serikali ni dubwasha flani hivi lione kama lilivyo.
Usipende kuita dogo humu jf.
 
Kikubwa tukitaka kuiangusha CCM Ni kuwekeza migogoro ndani ya CCM ili wavurugane na wapoteane ,wasiwe wamoja,Ni ngumu mno kupambana na CCM iliyoshikamana pamoja Ni dude moja lenye nguvu zisizo za kawaida,kikubwa Kwanza Ni kuotesha migogoro humo,pia kushikia bango katiba na tume huru,bila hivyo kuimenya CCM vipande vipande yaani Ni Bora hata usipoteze raslimali zako kupambana nao .Kama walivyoanza kuparurana hivi hapo ndo POA Sasa chochea Moto uweke na petroli juu kutoka sources tofauti tofauti tu,Hadi 2025 CCM watakuwa wamelegea wanavuja damu,wako vipande vipande,hivyo uchaguzi ukifika watakuwa Ni wakusukuma Kama mlevi tuuu
 
Back
Top Bottom