Amini usiamini kuanzia Bunge lijalo hapatatosha

Amini usiamini kuanzia Bunge lijalo hapatatosha

Wapo wapuuzi wanao mdharau Ndugai wakidhani ni mtu wa kawaida mno na kwamba hana madhala-wanajidanganya pakubwa!

Sasa mchezo unaanza rasmi...

...90% ya watendaji wote Serikali hasa wateule bado ni wa JPM. Hao ndiyo wavujisha siri zote kuelekea mjengoni.

...75% ya wabunge wa sasa ni zao na takwa la JPM.Ki vyovyote vile wanatambua uchaguzi ujao hawatakuwa chaguo la waliopo sasa kwa hiyo wataamua liwalo na liwe.

...Spika na Naibu wake ni takwa la JPM. Patamu hapo!

...PM.

Unajua nini,hii ngoma ni mbichi mno na ni vigumu sana kumtabiri mshindi.Binafsi naacha muda uongee.

NB: 2022 - 2025 lazima shoka liungue mpini ubaki!
Kuhusu Naibu wa spika huyu wala usimjadili sana kwani anachojua yeye ni kubadilika kulingana na upepo ulivyo kwani hana msimamo naye ni kama ndugai tu ,sema ndugai akichanganya tu akishauriwa atabadilisha kauli kwani Wagogo hawajui tabia zao za usaliti
 
Wapo wapuuzi wanao mdharau Ndugai wakidhani ni mtu wa kawaida mno na kwamba hana madhala-wanajidanganya pakubwa!

Sasa mchezo unaanza rasmi...

...90% ya watendaji wote Serikali hasa wateule bado ni wa JPM. Hao ndiyo wavujisha siri zote kuelekea mjengoni.

...75% ya wabunge wa sasa ni zao na takwa la JPM.Ki vyovyote vile wanatambua uchaguzi ujao hawatakuwa chaguo la waliopo sasa kwa hiyo wataamua liwalo na liwe.

...Spika na Naibu wake ni takwa la JPM. Patamu hapo!

...PM.

Unajua nini,hii ngoma ni mbichi mno na ni vigumu sana kumtabiri mshindi.Binafsi naacha muda uongee.

NB: 2022 - 2025 lazima shoka liungue mpini ubaki!
Mkumbuke tu kumlinda Rais ni jukumu la kila raia maana ndiyo kulilinda Taifa...Tanzania imefanikiwa sana kwenye kutunza amani kwakua Rais analindwa; tukivurunda hapo tutapata majuto...Yes Rais kama individual anaweza kuwa na weakness yake lakini tuheshimu nafasi yake yenye utaasisi...Ni kukosa akili kuanza kuivuruga taasisi ya u Rais...
Ni vizuri ukajikita na mambo ya kwenu Burundi. Kubali tu mburundi mliyempandikiza Tanzania keshakufa na mipango yenu ndo imeshakufa
 
Kabisa, haiwezekani mtu akope trillion 8 bila idhini ya bunge halafu anapeleka Zanzibar kirahisi rahisi tu, hilo deni walipe Zanzibar wenyewe!!
 
Acha uongo maccm yanabebwa na dola hakuna cha kumaliza tofauti wala nini, na kama unabisha kamuulize JK 2010 maccm yalivyotaka kumtoa kafara usifikiri atujui.

Pia nafikiri ujui chanzo cha JK kuja na katiba mpya, kalagabao!!!.

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
Fact 👍
 
2025 ndio ulikua mwaka wa kuitoa ccm,, sema bahati mbaya wa kumtoa ccm ndio hayupo daaaa
Fallacy. Huwezi kuitoa dola madarakani. Mtaje huyo mtanzania anayeweza kuitoa polisi, TISS, JWTZ madarakani. Labda kama hujui CCM ni nini.
 
Wapo wapuuzi wanao mdharau Ndugai wakidhani ni mtu wa kawaida mno na kwamba hana madhala-wanajidanganya pakubwa!

Sasa mchezo unaanza rasmi...

...90% ya watendaji wote Serikali hasa wateule bado ni wa JPM. Hao ndiyo wavujisha siri zote kuelekea mjengoni.

...75% ya wabunge wa sasa ni zao na takwa la JPM.Ki vyovyote vile wanatambua uchaguzi ujao hawatakuwa chaguo la waliopo sasa kwa hiyo wataamua liwalo na liwe.

...Spika na Naibu wake ni takwa la JPM. Patamu hapo!

...PM.

Unajua nini,hii ngoma ni mbichi mno na ni vigumu sana kumtabiri mshindi.Binafsi naacha muda uongee.

NB: 2022 - 2025 lazima shoka liungue mpini ubaki!
then what!!!?!! watafanya nini!!?! hata wangekuwa 150% what will they do!?! maana top manyota ndio kila kitu wakimchoisha analivunjilia mbali bunge!!,wacha hizo ndugu yangu we fikiria kamhogo kako, hao wooote unaowazungumzia wanafikiria kamhogo kao hawakufikirii wewe!!! kila mtu na kamhogo kake ndio tulivyo nchi hii
 
Kikubwa tukitaka kuiangusha CCM Ni kuwekeza migogoro ndani ya CCM ili wavurugane na wapoteane ,wasiwe wamoja,Ni ngumu mno kupambana na CCM iliyoshikamana pamoja Ni dude moja lenye nguvu zisizo za kawaida,kikubwa Kwanza Ni kuotesha migogoro humo,pia kushikia bango katiba na tume huru,bila hivyo kuimenya CCM vipande vipande yaani Ni Bora hata usipoteze raslimali zako kupambana nao .Kama walivyoanza kuparurana hivi hapo ndo POA Sasa chochea Moto uweke na petroli juu kutoka sources tofauti tofauti tu,Hadi 2025 CCM watakuwa wamelegea wanavuja damu,wako vipande vipande,hivyo uchaguzi ukifika watakuwa Ni wakusukuma Kama mlevi tuuu
Hujui kabisa CCM ni nini. Labda bado kama wengi unafikiri kile ni chama cha siasa. Ile ni dola yenyewe inayotii kauli ya mtu mmoja tu - Rais na sio ya "mjinga" mwingine yeyote. Naye amesha-set nguzo zake huko. Kuombea mgawanyiko "CCM" ni kutarajia polisi, TISS, JWTZ wapasuke vipande vipande. You should know the consequences thereof. Kikubwa hiyo ni ndoto ya Alnacha (pipe dream).
 
Wapo wapuuzi wanao mdharau Ndugai wakidhani ni mtu wa kawaida mno na kwamba hana madhala-wanajidanganya pakubwa!

Sasa mchezo unaanza rasmi...

...90% ya watendaji wote Serikali hasa wateule bado ni wa JPM. Hao ndiyo wavujisha siri zote kuelekea mjengoni.

...75% ya wabunge wa sasa ni zao na takwa la JPM.Ki vyovyote vile wanatambua uchaguzi ujao hawatakuwa chaguo la waliopo sasa kwa hiyo wataamua liwalo na liwe.

...Spika na Naibu wake ni takwa la JPM. Patamu hapo!

...PM.

Unajua nini,hii ngoma ni mbichi mno na ni vigumu sana kumtabiri mshindi.Binafsi naacha muda uongee.

NB: 2022 - 2025 lazima shoka liungue mpini ubaki!
litavunjwa projection inaonyesha hivyo....
 
Wapo wapuuzi wanao mdharau Ndugai wakidhani ni mtu wa kawaida mno na kwamba hana madhala-wanajidanganya pakubwa!

Sasa mchezo unaanza rasmi...

...90% ya watendaji wote Serikali hasa wateule bado ni wa JPM. Hao ndiyo wavujisha siri zote kuelekea mjengoni.

...75% ya wabunge wa sasa ni zao na takwa la JPM.Ki vyovyote vile wanatambua uchaguzi ujao hawatakuwa chaguo la waliopo sasa kwa hiyo wataamua liwalo na liwe.

...Spika na Naibu wake ni takwa la JPM. Patamu hapo!

...PM.

Unajua nini,hii ngoma ni mbichi mno na ni vigumu sana kumtabiri mshindi.Binafsi naacha muda uongee.

NB: 2022 - 2025 lazima shoka liungue mpini ubaki!
Umeandika ukiangalia only ONE side of the COIN na upo sahihi kwa upande huo.
On the OTHER side,hebu angalia jinsi KATIBA yetu ilivyompa nguvu Mh.Rais hata mpaka BABA WA TAIFA akaizungumzia uhatari wake,kabla huko Bungeni hawajaleta hoja ya kum impeach Rais yeye atakuwa amekwisha wa impeach
kisayansi.
Bunge la January nionavyo litakuwa LIVE
Kina Halima out na hapo sisi wananchi tutawapima wawakilishi wetu....Mh.Tulia in Hon Ndugai out tufanze subra.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Kabisa, haiwezekani mtu akope trillion 8 bila idhini ya bunge halafu anapeleka Zanzibar kirahisi rahisi tu, hilo deni walipe Zanzibar wenyewe!!
Katiba ya JMT na ya CCM zinamruhusu kutumia pesa za JMT anavyotaka. Kwanza nani anajua serikali ina pesa kiasi gani wakati wowote ule. Rais anaweza hata kuagiza uwanja wa ndege wa kimataifa ujengwe Pemba na hakuna atakayekataa. Utasikia waja wakiunga mkono na kusema kwani Pemba ni Burundi? Si ni sehemu ya JMT?!

That's the unpleasant reality of Tanzania's twisted governance systems, myopic vision and poisoned politics under the rule of "CCM". Na tukiendelea kugomea kurekebisha hii hali, basi tuendelee kutegemea rehema na fadhila za rais aliyepo madarakani siku zote kama Nyerere alivyosema.
 
Katiba ya JMT na ya CCM zinamruhusu kutumia pesa za JMT anavyotaka. Kwanza nani anajua serikali ina pesa kiasi gani wakati wowote ule. Rais anaweza hata kuagiza uwanja wa ndege wa kimataifa ujengwe Pemba na hakuna atakayekataa. Utasikia waja wakiunga mkono na kusema kwani Pemba ni Burundi? Si ni sehemu ya JMT?!

That's the unpleasant reality of Tanzania's twisted governance systems, myopic vision and poisoned politics under the rule of "CCM". Na tukiendelea kugomea kurekebisha hii hali, basi tuendelee kutegemea rehema na fadhila za rais aliyepo madarakani siku zote kama Nyerere alivyosema.
Hii katiba inarekebishwa lini, maana tumechoka sasa, lini inarekebishwa?!
 
Wapo wapuuzi wanao mdharau Ndugai wakidhani ni mtu wa kawaida mno na kwamba hana madhala-wanajidanganya pakubwa!

Sasa mchezo unaanza rasmi...

...90% ya watendaji wote Serikali hasa wateule bado ni wa JPM. Hao ndiyo wavujisha siri zote kuelekea mjengoni.

...75% ya wabunge wa sasa ni zao na takwa la JPM.Ki vyovyote vile wanatambua uchaguzi ujao hawatakuwa chaguo la waliopo sasa kwa hiyo wataamua liwalo na liwe.

...Spika na Naibu wake ni takwa la JPM. Patamu hapo!

...PM.

Unajua nini,hii ngoma ni mbichi mno na ni vigumu sana kumtabiri mshindi.Binafsi naacha muda uongee.

NB: 2022 - 2025 lazima shoka liungue mpini ubaki!
We ni mjinga sana,kwa mfumo wa nchi yetu huwezi kushindana na mtu ambaye ndio rais,mkuu wa nchi,amiri jeshi mkuu,mwenyekiti wa chama na ukamshinda,muulize lowassa
 
We ni mjinga sana,kwa mfumo wa nchi yetu huwezi kushindana na mtu ambaye ndio rais,mkuu wa nchi,amiri jeshi mkuu,mwenyekiti wa chama na ukamshinda,muulize lowassa
Sawa hata mimi naamini Raisi ana nguvu Sana!!lakini sintofaham ya kifo cha JPM kimeleta mwanga kuwa kuna idara ipo juu ya Raisi wa nchi!!kwamba wakitaka lao Hakuna wa kuwazuia!!!Thread za tumia akili na Magamba matatu !zinatupa mwanga jpm hakuitwa kiasili bali kisasa!Hata madaraka yanaweza kutwaliwa kisasa akapewa mwingine!!The State wapo na wanaona kila kitu!!!
 
Sawa hata mimi naamini Raisi ana nguvu Sana!!lakini sintofaham ya kifo cha JPM kimeleta mwanga kuwa kuna idara ipo juu ya Raisi wa nchi!!kwamba wakitaka lao Hakuna wa kuwazuia!!!Thread za tumia akili na Magamba matatu !zinatupa mwanga jpm hakuitwa kiasili bali kisasa!Hata madaraka yanaweza kutwaliwa kisasa akapewa mwingine!!The State wapo na wanaona kila kitu!!!
Kama JPM alitwaliwa kisasa unadhani chawa wake ndio watasurvive,ukikata shina automaticalky na matawi yanakatwa
 
then what!!!?!! watafanya nini!!?! hata wangekuwa 150% what will they do!?! maana top manyota ndio kila kitu wakimchoisha analivunjilia mbali bunge!!,wacha hizo ndugu yangu we fikiria kamhogo kako, hao wooote unaowazungumzia wanafikiria kamhogo kao hawakufikirii wewe!!! kila mtu na kamhogo kake ndio tulivyo nchi hii
Nawaona jwtz haoooo mguu upande mguu sawa
 
Back
Top Bottom