Amini usiamini kuanzia Bunge lijalo hapatatosha

Amini usiamini kuanzia Bunge lijalo hapatatosha

Unakosea kitu kimoja, rais wa sasa hajachaguliwa kwahyo hana nguvu hiyo unayoisemea naye ndio kwanza anatengeneza mfumo wake, lakini sio rahisi kutengeneza mfumo mpya wakati upo mfumo uliomuweka Magu, kwahyo anapambana na nguvu ya Magu ambayo kiuhalisia ina nguvu bado za kutosha tu, alichokosea yeye baada ya Magu kufariki alipaswa kuwa pamoja na kundi lile la Magu sasa yeye analiondoa taratibu kuweka kundi lake, ni ngumu sana kwani yeye pia alikuwa kundi la Magu, kwahyo ni sawa na kusema bado kundi la Magu lina nguvu kwenye hii awamu na linajipanga kuweka mtu wao, subiria uchaguzi ufike ndio utawajua sukuma gang
Unajipa moyo tu hao sukuma gang ndio washindane naRais plus Jk na timu yake,kinana,makamba .kubalini tu jamaa ameshakufa zama zake zimeisha kutesa kwa zamu chama kimerudi kwa wanamtandao
 
Wapo wapuuzi wanao mdharau Ndugai wakidhani ni mtu wa kawaida mno na kwamba hana madhala-wanajidanganya pakubwa!

Sasa mchezo unaanza rasmi...

...90% ya watendaji wote Serikali hasa wateule bado ni wa JPM. Hao ndiyo wavujisha siri zote kuelekea mjengoni.

...75% ya wabunge wa sasa ni zao na takwa la JPM.Ki vyovyote vile wanatambua uchaguzi ujao hawatakuwa chaguo la waliopo sasa kwa hiyo wataamua liwalo na liwe.

...Spika na Naibu wake ni takwa la JPM. Patamu hapo!

...PM.

Unajua nini,hii ngoma ni mbichi mno na ni vigumu sana kumtabiri mshindi.Binafsi naacha muda uongee.

NB: 2022 - 2025 lazima shoka liungue mpini ubaki!
Huu umeandika ni ujinga. Na ndio shida ya watanzania wengi, ujinga.
 
7.Rais Samia anaonekana ni mwana Demokrasia kuliko mtangulizi wake
Samia ana roho nyeupe tatizo ni gari analosafiria, nyimbo wanazoimba, kelele wanazompigia, kuongoza si lele mama.
 
Wapo wapuuzi wanao mdharau Ndugai wakidhani ni mtu wa kawaida mno na kwamba hana madhala-wanajidanganya pakubwa!

Sasa mchezo unaanza rasmi...

...90% ya watendaji wote Serikali hasa wateule bado ni wa JPM. Hao ndiyo wavujisha siri zote kuelekea mjengoni.

...75% ya wabunge wa sasa ni zao na takwa la JPM.Ki vyovyote vile wanatambua uchaguzi ujao hawatakuwa chaguo la waliopo sasa kwa hiyo wataamua liwalo na liwe.

...Spika na Naibu wake ni takwa la JPM. Patamu hapo!

...PM.

Unajua nini,hii ngoma ni mbichi mno na ni vigumu sana kumtabiri mshindi.Binafsi naacha muda uongee.

NB: 2022 - 2025 lazima shoka liungue mpini ubaki!
Mshindi anatabirika.Waliopo upande wa Rais ndo watashinda.Hii Ni kutokana na Katiba iliyopo
 
Wapo wapuuzi wanao mdharau Ndugai wakidhani ni mtu wa kawaida mno na kwamba hana madhala-wanajidanganya pakubwa!

Sasa mchezo unaanza rasmi...

...90% ya watendaji wote Serikali hasa wateule bado ni wa JPM. Hao ndiyo wavujisha siri zote kuelekea mjengoni.

...75% ya wabunge wa sasa ni zao na takwa la JPM.Ki vyovyote vile wanatambua uchaguzi ujao hawatakuwa chaguo la waliopo sasa kwa hiyo wataamua liwalo na liwe.

...Spika na Naibu wake ni takwa la JPM. Patamu hapo!

...PM.

Unajua nini,hii ngoma ni mbichi mno na ni vigumu sana kumtabiri mshindi.Binafsi naacha muda uongee.

NB: 2022 - 2025 lazima shoka liungue mpini ubaki!
Rubbish
 
Unajipa moyo tu hao sukuma gang ndio washindane naRais plus Jk na timu yake,kinana,makamba .kubalini tu jamaa ameshakufa zama zake zimeisha kutesa kwa zamu chama kimerudi kwa wanamtandao
Any hard block ,has a line of weakness, kweli kimerudi kwa wanamtandao soon watakuwa scam
 
Mkumbuke tu kumlinda Rais ni jukumu la kila raia maana ndiyo kulilinda Taifa...Tanzania imefanikiwa sana kwenye kutunza amani kwakua Rais analindwa; tukivurunda hapo tutapata majuto...Yes Rais kama individual anaweza kuwa na weakness yake lakini tuheshimu nafasi yake yenye utaasisi...Ni kukosa akili kuanza kuivuruga taasisi ya u Rais...
Tunataka maendeleo kwa spidi ya roketi.
 
Mkuu upeo wa ndugai ni mdogo mno. Kwenye suala zima ya kiutawala...hana naman zaidi ya kuwa , na lawana kwa wanakikundi cha ccm bungeni ... absolutely nothing....


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu upeo wa ndugai ni mdogo mno. Kwenye swala zima ya kiutawala...hana naman ya kufanya zero brain ... kabisa yule


Sent using
Mkuu upeo wa ndugai ni mdogo mno. Kwenye swala zima ya kiutawala...hana naman ya kufanya zero brain ... kabisa yule


Sent using Jamii
Jamii Forums mo

Mkuu upeo wa ndugai ni mdogo mno. Kwenye swala zima ya kiutawala...hana naman ya kufanya zero brain ... kabisa yule


Sent using Jamii Forums mobile app
mkumbo wa watanzania ni mental retardation
 
Wapo wapuuzi wanao mdharau Ndugai wakidhani ni mtu wa kawaida mno na kwamba hana madhala-wanajidanganya pakubwa!

Sasa mchezo unaanza rasmi...

...90% ya watendaji wote Serikali hasa wateule bado ni wa JPM. Hao ndiyo wavujisha siri zote kuelekea mjengoni.

...75% ya wabunge wa sasa ni zao na takwa la JPM.Ki vyovyote vile wanatambua uchaguzi ujao hawatakuwa chaguo la waliopo sasa kwa hiyo wataamua liwalo na liwe.

...Spika na Naibu wake ni takwa la JPM. Patamu hapo!

...PM.

Unajua nini,hii ngoma ni mbichi mno na ni vigumu sana kumtabiri mshindi.Binafsi naacha muda uongee.

NB: 2022 - 2025 lazima shoka liungue mpini ubaki!

The title is misleading! Bunge lijalo litapatikana baada ya uchaguzi wa 2025! Hapa wewe unazungumzia vikao vijavyo vya Bunge hili, sio Bunge lijalo!
 
Ipo hivi ccm isipoanguka itaponea tundu.
.wabunge wa upinzani watakuwa wengi sana bungeni zifuatazo sababu.
1.Hakuna mtu mwenye nguvu ya kuwalazimisha police na wakurugenzi waibe kura kwa hofu ya kufukuzwa Kazi
2.Kupita bila kupingwa hakipo tena
3.wanachama wa ccm ambao wengi ni wazee idadi yao inapungua KILA siku,kumkuta kijana anashabikia ccm bila kuwa na maslai nao ni ngumu.
4.Watz wameona madhara ya ukosefu wa upinzani bungeni kupitia tozo,nk
5.ccm hawana mtu anaeuzika nchini kwa sasa
6.Tozo, ugumu wa maisha, ukosefu wa ajira,vitu bei juu watz wanakwenda iadhibu vibaya ccm.
Njia nyeupe ya kuingia bungeni ni kupitia upinzani.
Ccm haina tena uwezo wa kusimama yenyewe bila police.
Wote waliobungeni ni asante magufuli wakiwa ni chaguo la magufuli Ili kumsaidia kubadili katiba atawale milele na sio chaguo la watz na wote Hakuna atakaerudi tena bungeni so wanajua hili thus wameamua bora tukose wote thus wameanza vurugu mapema.
Shida ya upinzani hawajielew..
Bado hatujapata chama makini cha upinzani..
 
Nawakumbusha tena na tena vijana au watu walioanza kufuatilia au kusahahu

Rais wa Tanzania ana nguvu sana sana

Rais wa Tanzania anaweza kubabaishwa na jeshi sio Spika wala Bunge lenyewe

Ulipoanza mjadala wa JPM aliwapiga marufuku wabunge 'kudemka' …uliwaskia tena wakidemka?

Kosa kubwa wanalofanya wana mitandao ya sasa ni kuanzisha mtandao wa kupambana na Rais

Lowassa alichemka hapo na sasa wanachemkia hapo hapo

Mtandao wa Jakaya wa 1995-2005 katika makosa waliyojiweka nayo mbali sana ni kuonekana wanapambana na Rais…wao mapambano yao yaliishia kwa Fredrick Sumaye hawakuthubutu kwenda juu zaid na sana sana wakibatiza wao ni Vipenzi na watetezi wa Mzee .
Una akili timamu, itumue. Usiegemee sana kwenye udini,chuki, ukabila.
 
Hii katiba inarekebishwa lini, maana tumechoka sasa, lini inarekebishwa?!
SUBIRI AFUFUKE MAGUFULI MWEHU WEWE. We kila mchango wako jukwaani ni KUMKASHIFU Rais Samia, kisa DINI YAKE?? Au UZANZIBAR wake au UWANAMKE wake??? Mbona MAGUFULI ALIKUWA MSUKUMA ASIYESHAURIKA NA WATU TULIVUMILIA? acha chuki boya wewe.
 
Ccm peke yake ndo inasiasa Kama za nchibya malekani,wanaweza kuvurugana weee, lkn dk moja tu inatosha kuwarudisha wakawa na lengo moja!!
 
Back
Top Bottom