Amini usiamini kuanzia Bunge lijalo hapatatosha

Amini usiamini kuanzia Bunge lijalo hapatatosha

Nawakumbusha tena na tena vijana au watu walioanza kufuatilia au kusahahu

Rais wa Tanzania ana nguvu sana sana

Rais wa Tanzania anaweza kubabaishwa na jeshi sio Spika wala Bunge lenyewe

Ulipoanza mjadala wa JPM aliwapiga marufuku wabunge 'kudemka' …uliwaskia tena wakidemka?

Kosa kubwa wanalofanya wana mitandao ya sasa ni kuanzisha mtandao wa kupambana na Rais

Lowassa alichemka hapo na sasa wanachemkia hapo hapo

Mtandao wa Jakaya wa 1995-2005 katika makosa waliyojiweka nayo mbali sana ni kuonekana wanapambana na Rais…wao mapambano yao yaliishia kwa Fredrick Sumaye hawakuthubutu kwenda juu zaid na sana sana wakibatiza wao ni Vipenzi na watetezi wa Mzee Mkapa dhidi ya utendaji mbovu wa Sumaye

Kupambana na Rais wa Tanzania ukiwa ndani ya chama chake unahitaji akili kubwa ambayo kwa sasa ndani ya Bunge na ndani ya Chama haipo…
Hata chadema
Kupambana na mwenyekiti ukiwa ndani ya chama chake unahitaji akili kubwa ambayo kwa sasa ndani ya ndani ya Chama haipo…
Ndo maana zito kabwe na kitila walipo jaribu walifurushwa kama mke aliefumaniwa au sumaye alipo unusa uenyekiti alikosa hata kiti cha kanda ya pwani
 
Baada ya bunge la muhula huu, Ndugai alishasema anaachana na siasa...

Sioni haswa sababu ya Job kuanza kuleta fujo isiyo na maslahi yoyote kwake...
Huwezi kuona maslahi yake kama hutumii jicho la 3 Mkuu.
 
Mmuda muafaka wa kuchochoea kuni... ccm ijikaange kwa mafuta yake yenyewe!!
Magufuli fooled all of you mkahisi mpo salama kumbe alihamishia serikali jashini!!
Sasa mnarudi kwa wananchi...
 
Wapo wapuuzi wanao mdharau Ndugai wakidhani ni mtu wa kawaida mno na kwamba hana madhala-wanajidanganya pakubwa!

Sasa mchezo unaanza rasmi...

...90% ya watendaji wote Serikali hasa wateule bado ni wa JPM. Hao ndiyo wavujisha siri zote kuelekea mjengoni.

...75% ya wabunge wa sasa ni zao na takwa la JPM.Ki vyovyote vile wanatambua uchaguzi ujao hawatakuwa chaguo la waliopo sasa kwa hiyo wataamua liwalo na liwe.

...Spika na Naibu wake ni takwa la JPM. Patamu hapo!

...PM.

Unajua nini,hii ngoma ni mbichi mno na ni vigumu sana kumtabiri mshindi.Binafsi naacha muda uongee.

NB: 2022 - 2025 lazima shoka liungue mpini ubaki!
Ha ha haaaa Ndugai wa CCM, hana kitu yule, kitu anaweza ni kuonea wapizani kwa kuwafukuza bungeni kwa sababau ana polisi. Otherwise Ndugai hakuna kitu. Ndugai ni mzigo kwa taifa.
 
Wapo wapuuzi wanao mdharau Ndugai wakidhani ni mtu wa kawaida mno na kwamba hana madhala-wanajidanganya pakubwa!

Sasa mchezo unaanza rasmi...

...90% ya watendaji wote Serikali hasa wateule bado ni wa JPM. Hao ndiyo wavujisha siri zote kuelekea mjengoni.

...75% ya wabunge wa sasa ni zao na takwa la JPM.Ki vyovyote vile wanatambua uchaguzi ujao hawatakuwa chaguo la waliopo sasa kwa hiyo wataamua liwalo na liwe.

...Spika na Naibu wake ni takwa la JPM. Patamu hapo!

...PM.

Unajua nini,hii ngoma ni mbichi mno na ni vigumu sana kumtabiri mshindi.Binafsi naacha muda uongee.

NB: 2022 - 2025 lazima shoka liungue mpini ubaki!
Yetu macho na masikio !! Tuombe uzima tu !
 
Nyie wapinzani endeleeni kudemka lakini kumbukeni hakuna wa kuitoa CCM madarakani kwa sababu hatuna chama mbadala. Huo ndio ukweli mchungu.
 
Hamna chochote hamtubabaishi Kwa lolote mnavyotaka twataka
 
Kabisa, haiwezekani mtu akope trillion 8 bila idhini ya bunge halafu anapeleka Zanzibar kirahisi rahisi tu, hilo deni walipe Zanzibar wenyewe!!
Kumekuchaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wapo wapuuzi wanao mdharau Ndugai wakidhani ni mtu wa kawaida mno na kwamba hana madhala-wanajidanganya pakubwa!

Sasa mchezo unaanza rasmi...

...90% ya watendaji wote Serikali hasa wateule bado ni wa JPM. Hao ndiyo wavujisha siri zote kuelekea mjengoni.

...75% ya wabunge wa sasa ni zao na takwa la JPM.Ki vyovyote vile wanatambua uchaguzi ujao hawatakuwa chaguo la waliopo sasa kwa hiyo wataamua liwalo na liwe.

...Spika na Naibu wake ni takwa la JPM. Patamu hapo!

...PM.

Unajua nini,hii ngoma ni mbichi mno na ni vigumu sana kumtabiri mshindi.Binafsi naacha muda uongee.

NB: 2022 - 2025 lazima shoka liungue mpini ubaki!
Mbunge akishalambwa kichwa kwenye uchaguz na kamat huku anakwisha kabisa,same principle aliyoitumia JPM kukata watu na kupitisha watu wake wanajua pia wasipokua royal kw SSH watalambwa na mwishowe watapoteza wao.Siasa za Tanzania ukishapigwa chini na chama ndo imeisha hivyo
 
Kama JPM alitwaliwa kisasa unadhani chawa wake ndio watasurvive,ukikata shina automaticalky na matawi yanakatwa
Unaaminije Kama the State wanaitaka mama atawale tena hapo 2025?Kumbuka mpango ulikua kum eliminate namba moja na mbili lakini kutokana na unyenyekevu wake namba mbili kapewa muda hadi hapo 2025!!! Unafikiri alieandika kuwa mama hagombei tena uraisi 2025 kwenye gazeti la uhuru ni nani???hadi shaka akajibu?unafikiri mwandishi alitumwa na muhuni tu wastendi???Kasome tena nyuzi zote mbili za Tumia akili!!halafu uache uchawa uwe neutral utanielewa!!!!nisiandike Sana msije dhani kuwa najua mengi!!
 
Sawa hata mimi naamini Raisi ana nguvu Sana!!lakini sintofaham ya kifo cha JPM kimeleta mwanga kuwa kuna idara ipo juu ya Raisi wa nchi!!kwamba wakitaka lao Hakuna wa kuwazuia!!!Thread za tumia akili na Magamba matatu !zinatupa mwanga jpm hakuitwa kiasili bali kisasa!Hata madaraka yanaweza kutwaliwa kisasa akapewa mwingine!!The State wapo na wanaona kila kitu!!!
Mambo yameanza kutaradadi. Mweeeeh
 
Hata chadema
Kupambana na mwenyekiti ukiwa ndani ya chama chake unahitaji akili kubwa ambayo kwa sasa ndani ya ndani ya Chama haipo…
Ndo maana zito kabwe na kitila walipo jaribu walifurushwa kama mke aliefumaniwa au sumaye alipo unusa uenyekiti alikosa hata kiti cha kanda ya pwani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ipo hivi ccm isipoanguka itaponea tundu.
.wabunge wa upinzani watakuwa wengi sana bungeni zifuatazo sababu.
1.Hakuna mtu mwenye nguvu ya kuwalazimisha police na wakurugenzi waibe kura kwa hofu ya kufukuzwa Kazi
2.Kupita bila kupingwa hakipo tena
3.wanachama wa ccm ambao wengi ni wazee idadi yao inapungua KILA siku,kumkuta kijana anashabikia ccm bila kuwa na maslai nao ni ngumu.
4.Watz wameona madhara ya ukosefu wa upinzani bungeni kupitia tozo,nk
5.ccm hawana mtu anaeuzika nchini kwa sasa
6.Tozo, ugumu wa maisha, ukosefu wa ajira,vitu bei juu watz wanakwenda iadhibu vibaya ccm.
Njia nyeupe ya kuingia bungeni ni kupitia upinzani.
Ccm haina tena uwezo wa kusimama yenyewe bila police.
Wote waliobungeni ni asante magufuli wakiwa ni chaguo la magufuli Ili kumsaidia kubadili katiba atawale milele na sio chaguo la watz na wote Hakuna atakaerudi tena bungeni so wanajua hili thus wameamua bora tukose wote thus wameanza vurugu mapema.
Mfano mzuri Askofu Gwajima.!
 
Nawakumbusha tena na tena vijana au watu walioanza kufuatilia au kusahahu

Rais wa Tanzania ana nguvu sana sana

Rais wa Tanzania anaweza kubabaishwa na jeshi sio Spika wala Bunge lenyewe

Ulipoanza mjadala wa JPM aliwapiga marufuku wabunge 'kudemka' …uliwaskia tena wakidemka?

Kosa kubwa wanalofanya wana mitandao ya sasa ni kuanzisha mtandao wa kupambana na Rais

Lowassa alichemka hapo na sasa wanachemkia hapo hapo

Mtandao wa Jakaya wa 1995-2005 katika makosa waliyojiweka nayo mbali sana ni kuonekana wanapambana na Rais…wao mapambano yao yaliishia kwa Fredrick Sumaye hawakuthubutu kwenda juu zaid na sana sana wakibatiza wao ni Vipenzi na watetezi wa Mzee Mkapa dhidi ya utendaji mbovu wa Sumaye

Kupambana na Rais wa Tanzania ukiwa ndani ya chama chake unahitaji akili kubwa ambayo kwa sasa ndani ya Bunge na ndani ya Chama haipo…
Unakosea kitu kimoja, rais wa sasa hajachaguliwa kwahyo hana nguvu hiyo unayoisemea naye ndio kwanza anatengeneza mfumo wake, lakini sio rahisi kutengeneza mfumo mpya wakati upo mfumo uliomuweka Magu, kwahyo anapambana na nguvu ya Magu ambayo kiuhalisia ina nguvu bado za kutosha tu, alichokosea yeye baada ya Magu kufariki alipaswa kuwa pamoja na kundi lile la Magu sasa yeye analiondoa taratibu kuweka kundi lake, ni ngumu sana kwani yeye pia alikuwa kundi la Magu, kwahyo ni sawa na kusema bado kundi la Magu lina nguvu kwenye hii awamu na linajipanga kuweka mtu wao, subiria uchaguzi ufike ndio utawajua sukuma gang
 
Sawa Mkuu
Unakosea kitu kimoja, rais wa sasa hajachaguliwa kwahyo hana nguvu hiyo unayoisemea naye ndio kwanza anatengeneza mfumo wake, lakini sio rahisi kutengeneza mfumo mpya wakati upo mfumo uliomuweka Magu, kwahyo anapambana na nguvu ya Magu ambayo kiuhalisia ina nguvu bado za kutosha tu, alichokosea yeye baada ya Magu kufariki alipaswa kuwa pamoja na kundi lile la Magu sasa yeye analiondoa taratibu kuweka kundi lake, ni ngumu sana kwani yeye pia alikuwa kundi la Magu, kwahyo ni sawa na kusema bado kundi la Magu lina nguvu kwenye hii awamu na linajipanga kuweka mtu wao, subiria uchaguzi ufike ndio utawajua sukuma gang
 
Wapo wapuuzi wanao mdharau Ndugai wakidhani ni mtu wa kawaida mno na kwamba hana madhala-wanajidanganya pakubwa!

Sasa mchezo unaanza rasmi...

...90% ya watendaji wote Serikali hasa wateule bado ni wa JPM. Hao ndiyo wavujisha siri zote kuelekea mjengoni.

...75% ya wabunge wa sasa ni zao na takwa la JPM.Ki vyovyote vile wanatambua uchaguzi ujao hawatakuwa chaguo la waliopo sasa kwa hiyo wataamua liwalo na liwe.

...Spika na Naibu wake ni takwa la JPM. Patamu hapo!

...PM.

Unajua nini,hii ngoma ni mbichi mno na ni vigumu sana kumtabiri mshindi.Binafsi naacha muda uongee.

NB: 2022 - 2025 lazima shoka liungue mpini ubaki!
Hakuna lolote. Ccm ni wezi walewale jana,leo hadi watakapong'olewa
 
Back
Top Bottom