Amini usiamini kuanzia Bunge lijalo hapatatosha

Amini usiamini kuanzia Bunge lijalo hapatatosha

Sasa unashindwa kutoa hoja unaleta vihoja, kwani wanawake Sio binadamu? Jadili hoja maana unajidhalilisha tu
Huna hoja wewe fala, umejaa CHUKI kwa Rais tangia kifo cha MAGUFULI, Kwani umeambiwa Samia ni MUNGU? We kila Thread inayowekwa, unamsema SAMIA hata kwa kitu asichohusika nacho, mara ZANZIBAR mara hiki. ACHA UDINI BOYA WEWE. KUKAA NYUMA YA KEYBOARD KUNAKUDANGANYA SIO??
Haitokaa ijirudie MAGUFULI kuwa Rais au MSUKUMA awe Rais maana huna akili kichwani. Kama una hoja za msingi kagombee URAIS sio kejeli za kike muda wote mbwa wewe.
KUWA MAKINI.
 
Wapo wapuuzi wanao mdharau Ndugai wakidhani ni mtu wa kawaida mno na kwamba hana madhala-wanajidanganya pakubwa!

Sasa mchezo unaanza rasmi...

...90% ya watendaji wote Serikali hasa wateule bado ni wa JPM. Hao ndiyo wavujisha siri zote kuelekea mjengoni.

...75% ya wabunge wa sasa ni zao na takwa la JPM.Ki vyovyote vile wanatambua uchaguzi ujao hawatakuwa chaguo la waliopo sasa kwa hiyo wataamua liwalo na liwe.

...Spika na Naibu wake ni takwa la JPM. Patamu hapo!

...PM.

Unajua nini,hii ngoma ni mbichi mno na ni vigumu sana kumtabiri mshindi.Binafsi naacha muda uongee.

NB: 2022 - 2025 lazima shoka liungue mpini ubaki!
Ungeanza kwa kutuambia "someni assumptions zangu" tungekuelewa sana.
 
Wapo wapuuzi wanao mdharau Ndugai wakidhani ni mtu wa kawaida mno na kwamba hana madhala-wanajidanganya pakubwa!

Sasa mchezo unaanza rasmi...

...90% ya watendaji wote Serikali hasa wateule bado ni wa JPM. Hao ndiyo wavujisha siri zote kuelekea mjengoni.

...75% ya wabunge wa sasa ni zao na takwa la JPM.Ki vyovyote vile wanatambua uchaguzi ujao hawatakuwa chaguo la waliopo sasa kwa hiyo wataamua liwalo na liwe.

...Spika na Naibu wake ni takwa la JPM. Patamu hapo!

...PM.

Unajua nini,hii ngoma ni mbichi mno na ni vigumu sana kumtabiri mshindi.Binafsi naacha muda uongee.

NB: 2022 - 2025 lazima shoka liungue mpini ubaki!
Hakuna lolote hapo, bungeni kuna mazuzu na umeona Spika akilamba matapishi yake.
 
Wapo wapuuzi wanao mdharau Ndugai wakidhani ni mtu wa kawaida mno na kwamba hana madhala-wanajidanganya pakubwa!

Sasa mchezo unaanza rasmi...

...90% ya watendaji wote Serikali hasa wateule bado ni wa JPM. Hao ndiyo wavujisha siri zote kuelekea mjengoni.

...75% ya wabunge wa sasa ni zao na takwa la JPM.Ki vyovyote vile wanatambua uchaguzi ujao hawatakuwa chaguo la waliopo sasa kwa hiyo wataamua liwalo na liwe.

...Spika na Naibu wake ni takwa la JPM. Patamu hapo!

...PM.

Unajua nini,hii ngoma ni mbichi mno na ni vigumu sana kumtabiri mshindi.Binafsi naacha muda uongee.

NB: 2022 - 2025 lazima shoka liungue mpini ubaki!
Baada ya yote, nani kaonekana mpuuzi sasa?

1. Hao uliowatukana bila kosa?
2. Huyo uliyemsifu na kumuona anaweza kuwa na madhara?
3. Wewe?
 
Wapo wapuuzi wanao mdharau Ndugai wakidhani ni mtu wa kawaida mno na kwamba hana madhala-wanajidanganya pakubwa!

Sasa mchezo unaanza rasmi...

...90% ya watendaji wote Serikali hasa wateule bado ni wa JPM. Hao ndiyo wavujisha siri zote kuelekea mjengoni.

...75% ya wabunge wa sasa ni zao na takwa la JPM.Ki vyovyote vile wanatambua uchaguzi ujao hawatakuwa chaguo la waliopo sasa kwa hiyo wataamua liwalo na liwe.

...Spika na Naibu wake ni takwa la JPM. Patamu hapo!

...PM.

Unajua nini,hii ngoma ni mbichi mno na ni vigumu sana kumtabiri mshindi.Binafsi naacha muda uongee.

NB: 2022 - 2025 lazima shoka liungue mpini ubaki!
Haya ndugai kachutama leo,nani mpuuzi,unatakackushindanisha mzoga wa jpm na watoto wa mjini
 
Baada ya bunge la muhula huu, Ndugai alishasema anaachana na siasa...

Sioni haswa sababu ya Job kuanza kuleta fujo isiyo na maslahi yoyote kwake...
Ndugai anautaka Urais wa Tanzania kwa turufu ya kutokukopa kopa ili nchi isipigwe mnada,akiupata tutabananishwa na tozo bila kikomo.
Haamini katika uongozi wa mwanamke.
 
Baada ya bunge la muhula huu, Ndugai alishasema anaachana na siasa...

Sioni haswa sababu ya Job kuanza kuleta fujo isiyo na maslahi yoyote kwake...
Ndugai anautaka Urais wa Tanzania kwa turufu ya kutokukopa kopa ili nchi isipigwe mnada,akiupata tutabananishwa na tozo bila kikomo.
Haamini katika uongozi wa mwanamke.
 
Wapo wapuuzi wanao mdharau Ndugai wakidhani ni mtu wa kawaida mno na kwamba hana madhala-wanajidanganya pakubwa!

Sasa mchezo unaanza rasmi...

...90% ya watendaji wote Serikali hasa wateule bado ni wa JPM. Hao ndiyo wavujisha siri zote kuelekea mjengoni.

...75% ya wabunge wa sasa ni zao na takwa la JPM.Ki vyovyote vile wanatambua uchaguzi ujao hawatakuwa chaguo la waliopo sasa kwa hiyo wataamua liwalo na liwe.

...Spika na Naibu wake ni takwa la JPM. Patamu hapo!

...PM.

Unajua nini,hii ngoma ni mbichi mno na ni vigumu sana kumtabiri mshindi.Binafsi naacha muda uongee.

NB: 2022 - 2025 lazima shoka liungue mpini ubaki!
Huyo huyo JPM ndio aliyemwambia Mabeyo ahakikishe Samia anapewa nchi akiwa anaumwa kitandani.

Naona mmeumia sana Ndugai alipoyarudia yale maneno maarufu ya kanisani 'Nimekosa sana, Nimekosa sana, Nimekosa mimi'.
 
Hivi huionagi amsha amsha ya ccm kwenye chaguzi, au umesahau?
Let's assume the following kwenye uchaguzi: 1. mapolisili wote wapigwe stop kujihusisha kwenye kampeni na chaguzi 2. Tume ya uchaguzi itoke ZAMBIA au SOUTH AFRICA 3. RC, DED, DC, DAS etc wakae pembeni kabisa kama waangaliaji wengine 4. Vituo vya upigaji Kura waandishi wawepo, waangalizi na matukio yarushwe live kwenye media kwa kila kituo 5. Uhesabuji wa kura kwenye Vituo ufanyike live kama ilivyokuwa kwenye kura za maoni za Chama fulani... 6. Kila mpiga kura abakie na kibutu cha kura aliyopiga ikionyesha alimpigia nani ili ikitokea lolote huko mbele mpiga kura aweze Kuja kuthibitisha kura yake alimpigia nani.
 
Mapendekezo yanayoashiria fairness,ila Wazee wa michongo hawawezi kubali na watakushukia kama mwewe sasa hivi.Wanafahamu kwa uhakika hayo yakifanyika walau nusu ya hayo uliyoeleza ccm wanakabidhi nchi kabla ya adhuhuri na ndiyo maana wakisikia mnadai Katiba na Tume Huru ya Uchaguzi wanapagawa.Wamejaa uroho wa madaraka kupitiliza.
 
Huna hoja wewe fala, umejaa CHUKI kwa Rais tangia kifo cha MAGUFULI, Kwani umeambiwa Samia ni MUNGU? We kila Thread inayowekwa, unamsema SAMIA hata kwa kitu asichohusika nacho, mara ZANZIBAR mara hiki. ACHA UDINI BOYA WEWE. KUKAA NYUMA YA KEYBOARD KUNAKUDANGANYA SIO??
Haitokaa ijirudie MAGUFULI kuwa Rais au MSUKUMA awe Rais maana huna akili kichwani. Kama una hoja za msingi kagombee URAIS sio kejeli za kike muda wote mbwa wewe.
KUWA MAKINI.
Vitisho vya nini, hamna hoja hapa.wewe ndio uwe makini.
 
Huyo huyo JPM ndio aliyemwambia Mabeyo ahakikishe Samia anapewa nchi akiwa anaumwa kitandani.

Naona mmeumia sana Ndugai alipoyarudia yale maneno maarufu ya kanisani 'Nimekosa sana, Nimekosa sana, Nimekosa mimi'.
Bado kitambo kidogo hapatatosha
 
Back
Top Bottom