Amini usiamini kuanzia Bunge lijalo hapatatosha

Amini usiamini kuanzia Bunge lijalo hapatatosha

Kitu ambacho hujui siku zote ccm hulinda maslahi yake kwa kukutaa na kuandaana na kumaliza tofauti zao kisha wakaingia jimboni kama kitu kimoja
USSR
He hii ni afya kwa mustakabari wa taifa au matumbo ya watu wachache?,hii ndio maana leo hii tunaona wabunge haohao waliopitisha muswada flani bungeni nao wakija mtaani wanaanza kulalamikia huohuo muswada walioupitisha.
 
Ccm peke yake ndo inasiasa Kama za nchibya malekani,wanaweza kuvurugana weee, lkn dk moja tu inatosha kuwarudisha wakawa na lengo moja!!
acha uongo marekani hakuna siasa za kuendekeza matumbo over people's interests
 
Mkumbuke tu kumlinda Rais ni jukumu la kila raia maana ndiyo kulilinda Taifa...Tanzania imefanikiwa sana kwenye kutunza amani kwakua Rais analindwa; tukivurunda hapo tutapata majuto...Yes Rais kama individual anaweza kuwa na weakness yake lakini tuheshimu nafasi yake yenye utaasisi...Ni kukosa akili kuanza kuivuruga taasisi ya u Rais...
we unafikiri Hilo ni la kujivunia kumlinda raisi ili kuwe na amani kwa gharama ya umasikini wa wananchi
 
SUBIRI AFUFUKE MAGUFULI MWEHU WEWE. We kila mchango wako jukwaani ni KUMKASHIFU Rais Samia, kisa DINI YAKE?? Au UZANZIBAR wake au UWANAMKE wake??? Mbona MAGUFULI ALIKUWA MSUKUMA ASIYESHAURIKA NA WATU TULIVUMILIA? acha chuki boya wewe.
Kosa moja halihalalishi kola la pili, tumeelewana?
 
Kosa moja halihalalishi kola la pili, tumeelewana?
Una chuki za kike mzee, mwanume kuwa na chuki kiwango hiko ni hatari kwa makalio yako. Fanya kazi, chuki hazisaidii, hata hivyo Mama Samia tayari ameshakuwa Rais hakuna wa Kumshtaki, akitoka atalipwa 80% ya mshahara wa Rais hadi anakufa nk.
Wewe ni MWANAMKE na ukute umevaa Dela bila chupi.
 
Una chuki za kike mzee, mwanume kuwa na chuki kiwango hiko ni hatari kwa makalio yako. Fanya kazi, chuki hazisaidii, hata hivyo Mama Samia tayari ameshakuwa Rais hakuna wa Kumshtaki, akitoka atalipwa 80% ya mshahara wa Rais hadi anakufa nk.
Wewe ni MWANAMKE na ukute umevaa Dela bila chupi.
Sasa unashindwa kutoa hoja unaleta vihoja, kwani wanawake Sio binadamu? Jadili hoja maana unajidhalilisha tu
 
Wapo wapuuzi wanao mdharau Ndugai wakidhani ni mtu wa kawaida mno na kwamba hana madhala-wanajidanganya pakubwa!

Sasa mchezo unaanza rasmi...

...90% ya watendaji wote Serikali hasa wateule bado ni wa JPM. Hao ndiyo wavujisha siri zote kuelekea mjengoni.

...75% ya wabunge wa sasa ni zao na takwa la JPM.Ki vyovyote vile wanatambua uchaguzi ujao hawatakuwa chaguo la waliopo sasa kwa hiyo wataamua liwalo na liwe.

...Spika na Naibu wake ni takwa la JPM. Patamu hapo!

...PM.

Unajua nini,hii ngoma ni mbichi mno na ni vigumu sana kumtabiri mshindi.Binafsi naacha muda uongee.

NB: 2022 - 2025 lazima shoka liungue mpini ubaki!
Oya kashachomesha jamaa yako huko au kuna mwengine zaidi yake?
 
Wapo wapuuzi wanao mdharau Ndugai wakidhani ni mtu wa kawaida mno na kwamba hana madhala-wanajidanganya pakubwa!

Sasa mchezo unaanza rasmi...

...90% ya watendaji wote Serikali hasa wateule bado ni wa JPM. Hao ndiyo wavujisha siri zote kuelekea mjengoni.

...75% ya wabunge wa sasa ni zao na takwa la JPM.Ki vyovyote vile wanatambua uchaguzi ujao hawatakuwa chaguo la waliopo sasa kwa hiyo wataamua liwalo na liwe.

...Spika na Naibu wake ni takwa la JPM. Patamu hapo!

...PM.

Unajua nini,hii ngoma ni mbichi mno na ni vigumu sana kumtabiri mshindi.Binafsi naacha muda uongee.

NB: 2022 - 2025 lazima shoka liungue mpini ubaki!
"Nimekosa mimi, nimekosa mimi nimekosa sana"
 
Kitu ambacho hujui siku zote ccm hulinda maslahi yake kwa kukutaa na kuandaana na kumaliza tofauti zao kisha wakaingia jimboni kama kitu kimoja
USSR
Hujamwelewa kabisa mtoa mada....... Anaamanisha kutakuwa na vita kubwa kati ya wanaoelekea kupoteza na wale wanaojiona bado wana kete ndani ya CCM ...
 
Wapo wapuuzi wanao mdharau Ndugai wakidhani ni mtu wa kawaida mno na kwamba hana madhala-wanajidanganya pakubwa!

Sasa mchezo unaanza rasmi...

...90% ya watendaji wote Serikali hasa wateule bado ni wa JPM. Hao ndiyo wavujisha siri zote kuelekea mjengoni.

...75% ya wabunge wa sasa ni zao na takwa la JPM.Ki vyovyote vile wanatambua uchaguzi ujao hawatakuwa chaguo la waliopo sasa kwa hiyo wataamua liwalo na liwe.

...Spika na Naibu wake ni takwa la JPM. Patamu hapo!

...PM.

Unajua nini,hii ngoma ni mbichi mno na ni vigumu sana kumtabiri mshindi.Binafsi naacha muda uongee.

NB: 2022 - 2025 lazima shoka liungue mpini ubaki!
Hii ni thread ya kijinga sana. Huwajui wanasiasa wewe. Yaani mtu aache kuwa chawa wa mtu aliye Ikulu instead akawe chawa wa marehemu aliyezikwa Chato? Sukuma Gang mnaumwa Post Trauma Stress Disorder baada ya kufiwa na Dikteta wenu
 
Baada ya bunge la muhula huu, Ndugai alishasema anaachana na siasa...

Sioni haswa sababu ya Job kuanza kuleta fujo isiyo na maslahi yoyote kwake...
Wapo wapuuzi wanao mdharau Ndugai wakidhani ni mtu wa kawaida mno na kwamba hana madhala-wanajidanganya pakubwa!

Sasa mchezo unaanza rasmi...

...90% ya watendaji wote Serikali hasa wateule bado ni wa JPM. Hao ndiyo wavujisha siri zote kuelekea mjengoni.

...75% ya wabunge wa sasa ni zao na takwa la JPM.Ki vyovyote vile wanatambua uchaguzi ujao hawatakuwa chaguo la waliopo sasa kwa hiyo wataamua liwalo na liwe.

...Spika na Naibu wake ni takwa la JPM. Patamu hapo!

...PM.

Unajua nini,hii ngoma ni mbichi mno na ni vigumu sana kumtabiri mshindi.Binafsi naacha muda uongee.

NB: 2022 - 2025 lazima shoka liungue mpini ubaki!
Umejiona sasa kama ulikuwa mjinga?
 
Wapo wapuuzi wanao mdharau Ndugai wakidhani ni mtu wa kawaida mno na kwamba hana madhala-wanajidanganya pakubwa!

Sasa mchezo unaanza rasmi...

...90% ya watendaji wote Serikali hasa wateule bado ni wa JPM. Hao ndiyo wavujisha siri zote kuelekea mjengoni.

...75% ya wabunge wa sasa ni zao na takwa la JPM.Ki vyovyote vile wanatambua uchaguzi ujao hawatakuwa chaguo la waliopo sasa kwa hiyo wataamua liwalo na liwe.

...Spika na Naibu wake ni takwa la JPM. Patamu hapo!

...PM.

Unajua nini,hii ngoma ni mbichi mno na ni vigumu sana kumtabiri mshindi.Binafsi naacha muda uongee.

NB: 2022 - 2025 lazima shoka liungue mpini ubaki!
Tayari ameshaomba msamaha kwahiyo meno yake yameoza guafla
 
Back
Top Bottom