Amini, Usiamini. Nimepona Magonjwa 100+ Kwa Jina la Yesu!

Nimeishayataja kwa sehemu, soma replies zangu zote; ila kama wewe ni mzima, mshukuru Mungu usiseme mtu hawezi kuugua magonjwa 100. Codes za magonjwa zipo zaidi ya 55,000 hayo 100 si ni tone tu?
 
Haleluya! Mungu hana upendeleo. Leo hii watu wanakosa baraka hii ya uponyaji kwa sababu ya kutoamini. Try to imagine: mtu unamuambia "nimepona"", anasema nenda Milembe!!
Yesu alipokuwa duniani kuna mahali alienda lakini hakutenda miujiza mingi huko kwa sababu ya kutoamini kwao(Mt 13:58).
 
Sidhani kama binadamu akiwa na magonjwa 30 magonjwa kweli kama organs zake zitafanya kazi tena. Yaani hiyo idadi itatimia huku akiwa tayari ana uraia pacha wa duniani na peponi.
 
Unanipangia cha kusema, kwani mimi sijui tofauti ya magonjwa? Kikohozi na mafua ni sawa? Macho kuuma na upele puani ni sawa? Ngozi kuwasha na majipu ni sawa. Maumivu ya tumbo ni sawa na "kuendesha"?????????????????????????????????????
Hujui tofauti ya dalili na Ugonjwa.

Ugonjwa: Sinus
Dalili: Ukaumwa kichwa, Ukapata mafua, Ukatokwa na kamasi lenye harufu. n.k
 
Sidhani kama binadamu akiwa na magonjwa 30 magonjwa kweli kama organs zake zitafanya kazi tena. Yaani hiyo idadi itatimia huku akiwa tayari ana uraia pacha wa duniani na peponi.
Umesoma sentensi tatu tu ukaruka? Nimekuambia tangu ujana...
 
Hii ni delusion
Wahi kwa psychologist kabla haujapelekwa kwa psychiatrist

 
Sio watakuwa. Bali ni WAMEBANDIKA picha za waigizaji wa uingereza majumbani kwao ukutani.

Na hili kila mkristo alijue. Kwamba hiyo picha ya Yesu aliyonayo ni picha ya Brian deacon au Robert Powell.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ mkuu ili inatakiwa siku moja tulifungulie uzi kwakweli mana sio powa kabsa
 
Hujui tofauti ya dalili na Ugonjwa.

Ugonjwa: Sinus
Dalili: Ukaumwa kichwa, Ukapata mafua, Ukatokwa na kamasi lenye harufu. n.k
Thank you for pointing that out; I understand the distinction between symptoms and a disease. However, when I shared my testimony, I wasn’t focusing on medical terminology but on how I experienced healing in my life. Whether it was the symptoms or the underlying condition, I truly believe that through prayer and faith, I found relief and restoration. My intent is not to debate definitions but to testify about what God has done for me
AiseeeπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
I see!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…