Amini, Usiamini. Nimepona Magonjwa 100+ Kwa Jina la Yesu!

Amini, Usiamini. Nimepona Magonjwa 100+ Kwa Jina la Yesu!

Badala ya kujivuna kuwa umesoma/unaijua Biblia kuliko mimi, itapendeza zaidi uki-share faida ulizopata kwa kusoma Biblia. Anyway, I appreciate that you’ve taken the time to study the Bible deeply; it’s clear you have a strong commitment to seeking understanding. My intention is not to argue or belittle anyone’s knowledge or faith, but rather to share what I’ve learned through my own journey.

Regarding your point about logic, I believe the Bible often challenges human logic because it reveals divine truths that are sometimes beyond our comprehension. As Isaiah 55:8-9 says, 'For My thoughts are not your thoughts, neither are your ways My ways,' declares the Lord. 'As the heavens are higher than the earth, so are My ways higher than your ways and My thoughts than your thoughts.'

Instead of debating, perhaps we could exchange insights and learn from each other, respecting that our understanding may come from different perspectives and experiences.
Bible is a book with a lot of logical contradictions, killings, slavery, violation of human rights, stigmatization and discrimination of women.

A book that calls you a sheep was written by the wolves.

If your book teaches you on how to treat slaves, that book is disqualified as a source of moral code.

In the beginning there was a lie, and the lie was in their book📖, and the book was their holy Bible.
 
Ukisoma comments utajua ni jinsi gani kizazi hiki kimefika hapa

Hakimtaki Mungu ,hakiamini Matendo yake makuu,

Mmezoea mazingaombwe na utapeli wa kina mwamposa,suguye, Mazinge,zumaridi na wala nguruwe wengine basi mnaona kama Yesu hawezi kutenda

Binafsi nikeshuhudia miujiza ya Yesu ya kutosha ,


Kama Unajua taratibu za maombi, Unajua law of nature ,basi utashuhudia miujiza mingi sana kwa Jina la Yesu
Ukisoma comments utajua ni jinsi gani kizazi hiki kimefika hapa

Hakimtaki Mungu ,hakiamini Matendo yake makuu,

Mmezoea mazingaombwe na utapeli wa kina mwamposa,suguye, Mazinge,zumaridi na wala nguruwe wengine basi mnaona kama Yesu hawezi kutenda

Binafsi nimeshuhudia miujiza ya Yesu ya kutosha ,


Kama Unajua taratibu za maombi, Unajua law of nature ,basi utashuhudia miujiza mingi sana kwa Jina la Yesu


Nikiona kebehi kwa Yesu ,Huwa naishia kucheka tu

Ila Dunia imeenda mbali sana

Itakuwa kama siku za Nuhu ,watu watakuwa wakila na kunywa ,wakioa na kuolewa
Tuna mtaka Mungu Lkn uongo ni mwingi sana mnatuletea mpaka Mungu anashangaa

Wewe mtu anaumwa magonjwa 100+ kweli hata wewe haushangai? Hauoni anatupiga kamba hapa live live
 
Another petty bloated entitled brat throwing tantrums.

You need mental rehabilitation therapy.

You have hallucinations and you should restore your brain to factory settings.
Your assessment, though laced with a degree of vitriol, serves to underscore the fundamental misalignment between our perspectives. While I comprehend your eagerness to dismiss my experiences, it is rather telling that one resorts to labeling and pathologizing what can only be described as a deeply personal and transformative testimony.

In truth, the capacity to comprehend matters of faith and healing often lies beyond the scope of empirical reasoning, which, regrettably, limits the lens through which such profound experiences are viewed. Perhaps, instead of advocating for what you deem 'rehabilitation,' we might instead engage in a more open-minded exchange—one that acknowledges the limitations inherent in all human understanding. After all, as it is written, 'For My thoughts are not your thoughts, neither are your ways My ways.' (Isaiah 55:8).
 
Your signature says: "I am only responsible for what I say not for what you understand." As for me, "I am only responsible for how I interpret your words, not for how you intended them to be understood."
Ndio maana nikashauri kua hiki kichekesho kipelekwa jukwaa la Jokes.
 
Ukisoma comments utajua ni jinsi gani kizazi hiki kimefika hapa

Hakimtaki Mungu ,hakiamini Matendo yake makuu,
Huyo Mungu anataka "kutakwa" kwani yeye amekuwa demu?
Mmezoea mazingaombwe na utapeli wa kina mwamposa,suguye, Mazinge,zumaridi na wala nguruwe wengine basi mnaona kama Yesu hawezi kutenda

Binafsi nimeshuhudia miujiza ya Yesu ya kutosha ,


Kama Unajua taratibu za maombi, Unajua law of nature ,basi utashuhudia miujiza mingi sana kwa Jina la Yesu


Nikiona kebehi kwa Yesu ,Huwa naishia kucheka tu

Ila Dunia imeenda mbali sana

Itakuwa kama siku za Nuhu ,watu watakuwa wakila na kunywa ,wakioa na kuolewa
 
Orodha itakusaidia nini. Yesu anaponya magonjwa yote na udhaifu wa kila aina.
Huu ni ujinga sana unataka kuniaminisha. Basi kwa mtindo huo Mahospital na Madaktari wangekuwa ni wachache sana.

Hivi mnakuwaga na akili gani Nyinyi watu? Kuna mambo mengine yasiyotarajiwa yanaweza kukutokea na yakapotea pasipo kutarajia. TB Joshua alikufa kwa pressure na alikuwa anaonekana anaponya watu. Bishop Lwakatare naye kafa kwa Blood pressure. Who are you? Ndio maana Nimekuambia hebu orodhesha hata magonjwa 30 kati ya hayo 100 umejaa upepo.

Jaribu kuwa serious aisee na zingatia sana point yangu
 
Kama unachosema ni kweli, orodhesha hayo magonjwa 100.
Nimeishasema lengo sio kueleza majina ya magonjwa. Lengo ni kushuhudia jinsi nilivyopona magonjwa mengi kwa Jina la Yesu. Ukitaka kujua orodha ya magonjwa yote yaliyopo duniani, waombe WHO watakueleza. Bahati mbaya yanaendelea kuzuka magonjwa mapya! Na mengine ya kipepo hata hayana majina, maana hayaonekani kwa darubini!
 
Huko kote mbali sana kama yesu aliwaponya kwa kupigwa kwake je hao wa mhamadi waliponywa vipi?
Yan Mungu akuponye wewe mpaka apigwe yeye na viumbe wake? Hzi story sasa alafu kwann tuzaliwe na dhambi mbona hatuja zaliwa na wema kama yesu, Ibrahim etc au tuna rithi ubaya tu ubwela wana baki nao wenyewe

Bina Adam anapo zaliwa anakua hana dhambi hamna haja ya malaika/Mungu/nabii kuku ponya wewe utahesabiwa dhambi utakayo itenda wewe
 
Nimeishasema lengo sio kueleza majina ya magonjwa. Lengo ni kushuhudia jinsi nilivyopona magonjwa mengi kwa Jina la Yesu. Ukitaka kujua orodha ya magonjwa yote yaliyopo duniani, waombe WHO watakueleza. Bahati mbaya yanaendelea kuzuka magonjwa mapya! Na mengine ya kipepo hata hayana majina, maana hayaonekani kwa darubini!
Wewe Muongo bhnaaaa hauna tofauti na Zumaridi alienda mbinguni
 
Back
Top Bottom