Amini, Usiamini. Nimepona Magonjwa 100+ Kwa Jina la Yesu!

Amini, Usiamini. Nimepona Magonjwa 100+ Kwa Jina la Yesu!

Tuna mtaka Mungu Lkn uongo ni mwingi sana mnatuletea mpaka Mungu anashangaa

Wewe mtu anaumwa magonjwa 100+ kweli hata wewe haushangai? Hauoni anatupiga kamba hapa live live
Magonjwa 100 ,labda kashindwa kuiwasilisha tu ,labda aliumwa mara kwa mara au magonjwa yanayojirudia
 
Huu ni ujinga sana unataka kuniaminisha. Basi kwa mtindo huo Mahospital na Madaktari wangekuwa ni wachache sana.

Hivi mnakuwaga na akili gani Nyinyi watu? Kuna mambo mengine yasiyotarajiwa yanaweza kukutokea na yakapotea pasipo kutarajia. TB Joshua alikufa kwa pressure na alikuwa anaonekana anaponya watu. Bishop Lwakatare naye kafa kwa Blood pressure. Who are you? Ndio maana Nimekuambia hebu orodhesha hata magonjwa 30 kati ya hayo 100 umejaa upepo.

Jaribu kuwa serious aisee na zingatia sana point yangu
Jaribu kuwa serious, kwani mimi nimekuambia magonjwa yalitokea na yakapotea pasipo kutarajia? Nimekuambia baada ya kukemea kwa Jina la Yesu magonjwa mengine yalitoweka saa ileile. Jaribu kuwa serious, mtu kiwete tangu tumboni anaweza kupona tu bila nguvu yoyote.
 
Your assessment, though laced with a degree of vitriol, serves to underscore the fundamental misalignment between our perspectives. While I comprehend your eagerness to dismiss my experiences, it is rather telling that one resorts to labeling and pathologizing what can only be described as a deeply personal and transformative testimony.

In truth, the capacity to comprehend matters of faith and healing often lies beyond the scope of empirical reasoning, which, regrettably, limits the lens through which such profound experiences are viewed. Perhaps, instead of advocating for what you deem 'rehabilitation,' we might instead engage in a more open-minded exchange—one that acknowledges the limitations inherent in all human understanding. After all, as it is written, 'For My thoughts are not your thoughts, neither are your ways My ways.' (Isaiah 55:8).
You are completely entitled to your opinions that are not supported by evidences.

But the moment you spread those opinions as fact, Knowing clearly there is no evidence for supporting them, You are a Liar.

And if you spread them as facts knowing clearly they are not supported by evidences, logic and proofs. You are both a liar, perjurer, deceiver, falsifier, fraudster and a spinner of yarns.
 
Jaribu kuwa serious, kwani mimi nimekuambia magonjwa yalitokea na yakapotea pasipo kutarajia? Nimekuambia baada ya kukemea kwa Jina la Yesu magonjwa mengine yalitoweka saa ileile. Jaribu kuwa serious, mtu kiwete tangu tumboni anaweza kupona tu bila nguvu yoyote.
Ukitaka niamini huku mtaani kwetu kuna kiwete bado mdogo twende akaombewe apone.. msitutengenezee script bnaaaaaa
 
Mwanamke mmoja mwenye umri wa miaka 52 (jina limehifadhiwa) mkazi wa Bagamoyo mkoani Pwani, leo Januari 7, 2025 amefanyiwa upasuaji mkubwa katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Mwananyamala, katika mfuko wa mayai wa upande wa kushoto, huku madaktari wakifanikiwa kutoa uvimbe wenye uzito wa kilogramu 5.5.

Upasuaji huo umeongozwa na jopo la wataalamu na madaktari wa Hospitali ya Rufaa Mwananyamala, likiongozwa na Daktari Bingwa wa magonjwa ya wanawake Dkt. Taiba Kassim Haidar, Dkt. Onesmo Laizer na Dkt. Luponya Shelembi, Mtaalamu wa dawa za ganzi Meshack Hinyuka na Kelvin Mapunda, pamoja na Wauguzi ambao ni Godfrey Lukenge na Ernest Hekela.

Akizungumza kuhusu upasuaji huo, Daktari Bingwa wa magonjwa ya wanawake na uzazi Dkt. Taiba Kassim Haidar amesema zoezi la upasuaji limeenda vizuri na sasa uvimbe huo wenye kulogramu 5.5 umepelekwa kwa ajili ya kufanyiwa uchunguzi zaidi.

"Alikuja tangu mwezi wa nane hapa hospitali baada ya kuangaika kwa muda mrefu, tukawa tunaendelea kumungalia kwa ukaribu hatimaye leo tumefanikiwa kumfanyia oparesheni katika mfuko wa yai la kushoto na kutoa uvimbe huo na anaendelea vizuri kabisa". Amesema Dkt. Taiba.

Kwa upande wake mtoto mwanamke huyo Yahya Miraji ameishukuru timu ya wataalamu waliosaidia kukamilika kwa upasuaji huo kutokana na wakati mgumu aliokuwa anapitia mama yake.

"Kiukweli nashukuru sana kwa madaktari wote na wataalamu ambao wameshiriki zoezi hilo, kwa sababu mama tumbo lilikuwa linamuuma sana na alikuwa hawezi kulala vizuri".
 
Jaribu kuwa serious, kwani mimi nimekuambia magonjwa yalitokea na yakapotea pasipo kutarajia? Nimekuambia baada ya kukemea kwa Jina la Yesu magonjwa mengine yalitoweka saa ileile. Jaribu kuwa serious, mtu kiwete tangu tumboni anaweza kupona tu bila nguvu yoyote.
😃😃😃
Kwahiyo hayo magonjwa kwa kulitaja jina tu yakapotea? Aisee hebu kuwa serious basi. Nimekwambia kuna mambo usiyoyatarajia yanaweza yakakutokea na yakaondoka tu pasipo kuelewa yameondokaje.

Huyo kulitaja jina tu na magonjwa kuondoka aisee sio kweli. Huyo YESU mwenyewe alikuwa ni binadamu tu maana alikuwa anakula, analala, anakasirika sasa inakuwaje Wewe kulitaja tu jina lake magonjwa 100+ yakapona?
 
Magonjwa 100 ,labda kashindwa kuiwasilisha tu ,labda aliumwa mara kwa mara au magonjwa yanayojirudia
Muwe mnatembelea hata wagonjwa hospitali muwaulize wanaumwa nini. Kama uliumwa ugonjwa mmoja tu tangu uzaliwe, fahamu kuna wengine wanaumwa ugonjwa zaidi ya mmoja(multimorbidity).
 
Muwe mnatembelea hata wagonjwa hospitali muwaulize wanaumwa nini. Kama uliumwa ugonjwa mmoja tu tangu uzaliwe, fahamu kuna wengine wanaumwa ugonjwa zaidi ya mmoja(multimorbidity).
Wew muongo bhnaaaa usitudanganye sisi watu wazima acha uongo,

uongo dhambi hakuna uongo mzuri wala mbya wote ni uongo na ni dhambi
 
Ili upate hela? Fanya kazi halali utapata pesa
Lengo kuu la kuanzisha hiyo huduma ni kuhakikisha kwanza tunaziponya roho za watu kupitia huu upako uliokuwa nao. Kama tutawaponya watu, halafu wakaamua kutoa sadaka, hakuna shida.

Au wewe mwenzangu hupendi hela!
 
Nimeishasema lengo sio kueleza majina ya magonjwa. Lengo ni kushuhudia jinsi nilivyopona magonjwa mengi kwa Jina la Yesu. Ukitaka kujua orodha ya magonjwa yote yaliyopo duniani, waombe WHO watakueleza. Bahati mbaya yanaendelea kuzuka magonjwa mapya! Na mengine ya kipepo hata hayana majina, maana hayaonekani kwa darubini!
Wewe ndio umesema umepona magonjwa 100, ila majina ya magonjwa niwaulize WHO, kwani uliwapa WHO orodha ya majina ya hayo magonjwa uliyoumwa?

Cha ajabu kuna wajinga utawaokota humu. Dunia ina mambo ya ajabu sana, hasa Afrika.
 
Wewe ndio umesema umepona magonjwa 100, ila majina ya magonjwa niwaulize WHO, kwani uliwapa WHO orodha ya majina ya hayo magonjwa uliyoumwa?

Cha ajabu kuna wajinga utawaokota humu. Dunia ina mambo ya ajabu sana, hasa Afrika.
Hivi wewe ukiumwa macho ukaenda kwa daktari huwa unamwambia medical name ya kile unachoumwa? Si huwa unasema tu kwamba unasikia maumivu katika macho au machozi yanatoka bila sababu au macho yanawasha au yamekuwa mekundu nk. Mimi nimekuambia nimeugua magonjwa ya macho, pua, masikio, kifua, kichwa, miguu, vidole nk. Na yamekuwa yakija kwa symptoms tofauti. Kwa hiyo ulitaka nikutajie medical name ya magonjwa yaliyoshambulia kila kiungo nilichotaja? Kwa taarifa yako kuna magonjwa zaidi ya 100 yanayoshambulia macho peke yake:
  • Acute Angle-Closure Glaucoma
  • Amblyopia
  • Anterior Uveitis
  • Astigmatism
  • Blepharitis
  • Cataract
  • Chalazion
  • Conjunctivitis
  • Corneal Abrasion
  • Corneal Dystrophy
  • Diabetic Retinopathy
  • Dry Eye Syndrome
  • Ectropion
  • Endophthalmitis
  • Entropion
  • Fuchs' Dystrophy
  • Glaucoma
  • Herpes Simplex Keratitis
  • Hypertensive Retinopathy
  • Hyphema
  • Keratoconus
  • Keratitis
  • Lazy Eye
  • Macular Degeneration
  • Macular Edema
  • Neovascular Glaucoma
  • Ocular Melanoma
  • Ocular Migraine
  • Ocular Histoplasmosis Syndrome
  • Orbital Cellulitis
  • Optic Neuritis
  • Papilledema
  • Pinguecula
  • Pterygium
  • Presbyopia
  • Retinal Detachment
  • Retinal Vein Occlusion
  • Retinitis Pigmentosa
  • Sjögren’s Syndrome
  • Strabismus
  • Subconjunctival Hemorrhage
  • Toxoplasmosis
  • Trachoma
  • Uveitis
  • Vitreous Hemorrhage
  • Wet Macular Degeneration
  • Xanthelasma
  • Herpes Zoster Ophthalmicus
  • Asthenopia
  • Blepharospasm
  • Bacterial Conjunctivitis
  • Choroiditis
  • Color Blindness
  • Conjunctival Nevus
  • Corneal Infection
  • Corneal Ulcer
  • Cystoid Macular Edema
  • Diabetic Macular Edema
  • Foveal Dystrophy
  • Glaucomatous Optic Neuropathy
  • Hereditary Retinopathy
  • Hypertensive Retinal Changes
  • Iridocyclitis
  • Iridocorneal Endothelial Syndrome
  • Leber's Hereditary Optic Neuropathy
  • Macular Hole
  • Macular Pucker
  • Morning Glory Syndrome
  • Myopia
  • Nystagmus
  • Ocular Toxocariasis
  • Ocular Cicatricial Pemphigoid
  • Optic Atrophy
  • Orbital Fracture
  • Papillitis
  • Retinal Artery Occlusion
  • Retinal Vein Occlusion
  • Retinopathy of Prematurity
  • Scotoma
  • Scleritis
  • Secondary Glaucoma
  • Sensory Nystagmus
  • Simple Stye
  • Snowflake Cataract
  • Stargardt Disease
  • Stevens-Johnson Syndrome
  • Subretinal Hemorrhage
  • Sympathetic Ophthalmia
  • Synechiae
  • Thyroid Eye Disease
  • Transient Visual Obscurations
  • Traumatic Brain Injury-Related Vision Problems
  • Uveal Melanoma
  • Vitritis
  • Vitamin A Deficiency
  • Visual Snow Syndrome
  • Vitreoretinal Traction
  • Wolfram Syndrome
  • Xerophthalmia
  • YAG Laser Capsulotomy Complications
Hata ningekutajia majina hayo, kwakuwa huamini nguvu ya Jina la Yesu bado ungesema leta uthibitisho.
 
Back
Top Bottom