Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kali ngumu sana hiiBinafsi naamini mwanamke si binadamu kamili.
Uliisoma story flan ya DeepPond alipowashuhudia mchepuko wake uko na mwanaume ndani wanangonoka huku katoto ka miaka 3 kako kando kamelala kanaumwa.??Mtoto alikua anaumwa? Na kama alikua anaumwa sidhani kama mama ake angemuacha ndani na kwenda kungonoka na kumuacha usiku mzima amchukue kesho yake,
Kwanini mtoto afe baada ya Baba kumshika ugoni Mama yake na kumponyoka?
Hapo kuna kitu kizito na mshukiwa wa kwanza ni huyo huyo jamaa, mara nyingi hasira za kufumania hua ni kali sana hatujui alimfanya nini,
Imagine, umfumanie Mwanamke wako halafu kakuachia mtoto ambaye sio damu yako ukae nae usiku kucha.
Masingke maza hatari vijana bado hawasikii tuu. Hao masingke maza ni wakutomber tuuGuten Abend.
Leo nimepokea kwa masikitiko makubwa sana taarifa za kushikiliwa kwa kijana mmoja niliyekuwa naye kwenye project moja ya afya nchini. Alikuwa 'Index Tester'. Kijana mmoja ambaye hakika aliipenda kazi na kuifanya kwa bidii. Zaidi, alikuwa mnyenyekevu mwenye misimamo thabiti. Naam, alikuwa ni Msabato. Kwenye dili zilizokuwa zinaangukia Jumamosi zenye posho nene, hakuwahi kuthubutu kuacha siku yake ya ibada kwa ajili hiyo.
Kila iitwapo leo tumuombe Mwenyenzi Mungu atuepushie na mabalaa na kadhia za ulimwengu. Kijana huyu kwa sasa yupo rumande akisubiri kesi yake kunguruma mahakamani.
Kijana huyu miezi kadhaa iliyopita aliamua kuishi na mpenzi wake. Kwa bahati mbaya au nzuri, mpenzi wake huyo alikuwa na mtoto mdogo wa mwaka mmoja na miezi kadhaa. Waliendelea kuishi bila shida. Binti alikuwa akionesha tabia za kutokuwa mwaminifu kwa mwenzake.
Wanasema za mwizi ni 40, lakini palipo na arobaini balaa ndipo huchanua. Bahati mbaya sana, balaa badala ya kumchanulia mwizi na mchepukaji, likachanua kwa kijana mpole na mkamata ugoni.
Akiwa kazini, jamaa anapewa taarifa kwamba mpenzi wake yupo mahali anangonoka na mwenzake. Kwa pupa, jamaa kafika eneo la tukio. Wawili hao wanamponyoka na kufanikiwa kukimbia. Binti alimuacha mtoto nyumbani akiwa kalala. Baada ya kukimbia, akarudi kwao kwenda kutafuta suluhu na msamaha.
Binti anarudi asubuhi kumfata mwanae, kwenda huko kwa wazazi wake. Asubuhi mapema, jamaa akaondoka kuwahi kwenye majukumu yake. Alimuacha mtoto akiwa amelala. Akiwaaga majirani kuwa mama yake atafika muda si mrefu.
Asalaleeh!. Mama anafika na kumkuta mwanae kafariki. Na anadai lazima atakuwa kauwawa na mpenzi wake usiku. Taarifa zafika polisi, jamaa kaenda kubebwa mzobe mzobe akiwa anahudumia wateja wake. Hajui hili wala lile, moja kwa moja polisi kwa tuhuma za mauaji.
Polisi bado wanaendelea na Uchunguzi. Sijapata kufahamu postmortem ilisemaje.
Lakini, hii imenitafakarisha sana. Sijapata kufahamu ukweli wa tuhuma husika. Ila kwa kadri ya ninavyomfahamu, sidhani kama ataweza kufanya huo upuuzi.
Kama kweli kafanya, basi adhabu na iwe juu yake. Vijana jitafakarini katika kuamua kuoa ama kuishi na mwanamke mwenye mtoto. Kama unadhani hutoweza kudhibiti hasira zako, basi achana na mwanamke wa watu. Lamba asali, tembea. Usijibebee mzinga wenye nyuki wakali. Na visasi viwe juu ya wahusika, si watoto. Hawana hatia hata kidogo.
Kama hajatenda, basi Mungu na amnusuru na tuhuma hizo. Vijana msikubali kukaa na watoto wa watu, pelekeni kwa bibi zao. Maana lolote likitokea, mtuhumiwa wa kwanza ni wewe. Kwa kudhani kwamba mtoto si wao, muuaji ni wewe. Mpaka haki ije ipatikane, basi umesota sana.
Hata kama haumwi mtoto mdogo alimwacha vipi hapo ndani huyo mwañamke hajielewi na yeye wangemweka ndani, aeleze ugwadu gani huo mpaka anamwacha mtoto?Mtoto alikua anaumwa? Na kama alikua anaumwa sidhani kama mama ake angemuacha ndani na kwenda kungonoka na kumuacha usiku mzima amchukue kesho yake,
Kwanini mtoto afe baada ya Baba kumshika ugoni Mama yake na kumponyoka?
Hapo kuna kitu kizito na mshukiwa wa kwanza ni huyo huyo jamaa, mara nyingi hasira za kufumania hua ni kali sana hatujui alimfanya nini,
Imagine, umfumanie Mwanamke wako halafu kakuachia mtoto ambaye sio damu yako ukae nae usiku kucha.
Hata huyo mwanaume aliachaje mtoto wa mwaka mmoja ndani asubh kisha yeye asnde kaziniHata kama haumwi mtoto mdogo alimwacha vipi hapo ndani huyo mwañamke hajielewi na yeye wangemweka ndani, aeleze ugwadu gani huo mpaka anamwacha mtoto?
Anayejua kuwa huyo alikuwa mpenzi wake tu na sio mke wake ni yeye muoaji, maana mke wako ndio mpenzi wako na si vinginevyo.Huyo mwanamke alikuwa mke wake wa ndoa , ?
Nakubaliana na wewe, Mwanamke na yeye anapaswa kukamatwa maana huwezi kumuacha ndani mtoto wa mwaka mmoja labda kama alimuachia jirani ambapo jirani nae anapaswa kukamatwa aeleze alimpa nini mtoto mchana kutwa.Hata kama haumwi mtoto mdogo alimwacha vipi hapo ndani huyo mwañamke hajielewi na yeye wangemweka ndani, aeleze ugwadu gani huo mpaka anamwacha mtoto?
Oonho [emoji1787] tit for tat,Hata huyo mwanaume aliachaje mtoto wa mwaka mmoja ndani asubh kisha yeye asnde kazini
NAKAZIAKataa ndoa
Hapa itakuwa boyfriend mpya na mother wameona wampe msala mlokole. Wauwe msabato anawekwa jela nao wanakulana kwa raha.Dah uskute kijana hata hajauwa yy kapelekewa msala tu maskini maana kama angeua lazma angekimbia tu
They don't want peace, they want problems alwaysSingle maza again
Hivi wasabato nao huwa wanazini?Guten Abend.
Leo nimepokea kwa masikitiko makubwa sana taarifa za kushikiliwa kwa kijana mmoja niliyekuwa naye kwenye project moja ya afya nchini. Alikuwa 'Index Tester'. Kijana mmoja ambaye hakika aliipenda kazi na kuifanya kwa bidii. Zaidi, alikuwa mnyenyekevu mwenye misimamo thabiti. Naam, alikuwa ni Msabato. Kwenye dili zilizokuwa zinaangukia Jumamosi zenye posho nene, hakuwahi kuthubutu kuacha siku yake ya ibada kwa ajili hiyo.
Kila iitwapo leo tumuombe Mwenyenzi Mungu atuepushie na mabalaa na kadhia za ulimwengu. Kijana huyu kwa sasa yupo rumande akisubiri kesi yake kunguruma mahakamani.
Kijana huyu miezi kadhaa iliyopita aliamua kuishi na mpenzi wake. Kwa bahati mbaya au nzuri, mpenzi wake huyo alikuwa na mtoto mdogo wa mwaka mmoja na miezi kadhaa. Waliendelea kuishi bila shida. Binti alikuwa akionesha tabia za kutokuwa mwaminifu kwa mwenzake.
Wanasema za mwizi ni 40, lakini palipo na arobaini balaa ndipo huchanua. Bahati mbaya sana, balaa badala ya kumchanulia mwizi na mchepukaji, likachanua kwa kijana mpole na mkamata ugoni.
Akiwa kazini, jamaa anapewa taarifa kwamba mpenzi wake yupo mahali anangonoka na mwenzake. Kwa pupa, jamaa kafika eneo la tukio. Wawili hao wanamponyoka na kufanikiwa kukimbia. Binti alimuacha mtoto nyumbani akiwa kalala. Baada ya kukimbia, akarudi kwao kwenda kutafuta suluhu na msamaha.
Binti anarudi asubuhi kumfata mwanae, kwenda huko kwa wazazi wake. Asubuhi mapema, jamaa akaondoka kuwahi kwenye majukumu yake. Alimuacha mtoto akiwa amelala. Akiwaaga majirani kuwa mama yake atafika muda si mrefu.
Asalaleeh!. Mama anafika na kumkuta mwanae kafariki. Na anadai lazima atakuwa kauwawa na mpenzi wake usiku. Taarifa zafika polisi, jamaa kaenda kubebwa mzobe mzobe akiwa anahudumia wateja wake. Hajui hili wala lile, moja kwa moja polisi kwa tuhuma za mauaji.
Polisi bado wanaendelea na Uchunguzi. Sijapata kufahamu postmortem ilisemaje.
Lakini, hii imenitafakarisha sana. Sijapata kufahamu ukweli wa tuhuma husika. Ila kwa kadri ya ninavyomfahamu, sidhani kama ataweza kufanya huo upuuzi.
Kama kweli kafanya, basi adhabu na iwe juu yake. Vijana jitafakarini katika kuamua kuoa ama kuishi na mwanamke mwenye mtoto. Kama unadhani hutoweza kudhibiti hasira zako, basi achana na mwanamke wa watu. Lamba asali, tembea. Usijibebee mzinga wenye nyuki wakali. Na visasi viwe juu ya wahusika, si watoto. Hawana hatia hata kidogo.
Kama hajatenda, basi Mungu na amnusuru na tuhuma hizo. Vijana msikubali kukaa na watoto wa watu, pelekeni kwa bibi zao. Maana lolote likitokea, mtuhumiwa wa kwanza ni wewe. Kwa kudhani kwamba mtoto si wao, muuaji ni wewe. Mpaka haki ije ipatikane, basi umesota sana.
Inahitaji moyo sana, mwenye mtoto wake umemfumania na mtoto si wako unawalea mmm alijua mwenye mtoto atamfuataHata huyo mwanaume aliachaje mtoto wa mwaka mmoja ndani asubh kisha yeye asnde kazini
😅😅Hivi inakuwaje unaishi na single mama yani baadhi ya misenge aisikii kabisa yan mpaka nakuwa na hasira na hii mijitu ona sasa majanga yanayowakumba.
Mbona wewe una watoto wawili na unataka ndoa?Vijana ni wabishi tulishawaambia waachane na single maza hawasikii
Labda jamaa anafyonza tigoHata kama haumwi mtoto mdogo alimwacha vipi hapo ndani huyo mwañamke hajielewi na yeye wangemweka ndani, aeleze ugwadu gani huo mpaka anamwacha mtoto?
Kuna wanawake huwa wanawapa vilevi watoto wao na wao kwenda kubanjuka, na wapo wengi .Nakubaliana na wewe, Mwanamke na yeye anapaswa kukamatwa maana huwezi kumuacha ndani mtoto wa mwaka mmoja labda kama alimuachia jirani ambapo jirani nae anapaswa kukamatwa aeleze alimpa nini mtoto mchana kutwa.
Makubwa.Labda jamaa anafyonza tigo