Amkamata mkewe akichepuka, aponyokwa. Mtoto asiye wake afariki

Uliisoma story flan ya DeepPond alipowashuhudia mchepuko wake uko na mwanaume ndani wanangonoka huku katoto ka miaka 3 kako kando kamelala kanaumwa.??

Wanawake aakikojoleshwa ni mashetani wanafanya chochote tu, ila huku nje wanatunga story ilikua hivi na vile na zigo la lawama linamwangukia yeyote atakaehisiwa/kuchukiwa kwa wakati huo.

Ukweli mchungu ni kua kuna muda mzazi anampenda mpenzi/mke wake kuliko mtoto wake.
 
Masingke maza hatari vijana bado hawasikii tuu. Hao masingke maza ni wakutomber tuu
 
Hata kama haumwi mtoto mdogo alimwacha vipi hapo ndani huyo mwañamke hajielewi na yeye wangemweka ndani, aeleze ugwadu gani huo mpaka anamwacha mtoto?
 
Hata kama haumwi mtoto mdogo alimwacha vipi hapo ndani huyo mwañamke hajielewi na yeye wangemweka ndani, aeleze ugwadu gani huo mpaka anamwacha mtoto?
Hata huyo mwanaume aliachaje mtoto wa mwaka mmoja ndani asubh kisha yeye asnde kazini
 
Hata kama haumwi mtoto mdogo alimwacha vipi hapo ndani huyo mwañamke hajielewi na yeye wangemweka ndani, aeleze ugwadu gani huo mpaka anamwacha mtoto?
Nakubaliana na wewe, Mwanamke na yeye anapaswa kukamatwa maana huwezi kumuacha ndani mtoto wa mwaka mmoja labda kama alimuachia jirani ambapo jirani nae anapaswa kukamatwa aeleze alimpa nini mtoto mchana kutwa.
 
Hata huyo mwanaume aliachaje mtoto wa mwaka mmoja ndani asubh kisha yeye asnde kazini
Oonho [emoji1787] tit for tat,
Tena anawaambia majirani mama ake atakuja kumchukua, alijua mama ake angeenda saa ngapi?
 
Dah uskute kijana hata hajauwa yy kapelekewa msala tu maskini maana kama angeua lazma angekimbia tu
Hapa itakuwa boyfriend mpya na mother wameona wampe msala mlokole. Wauwe msabato anawekwa jela nao wanakulana kwa raha.

Pia single mother anasoma nyuzi za jf amechoka nazo kapata sababu ya kuondoa mtoto na kubaki kivyake.
 
Hivi wasabato nao huwa wanazini?
 
Hata huyo mwanaume aliachaje mtoto wa mwaka mmoja ndani asubh kisha yeye asnde kazini
Inahitaji moyo sana, mwenye mtoto wake umemfumania na mtoto si wako unawalea mmm alijua mwenye mtoto atamfuata
 
Hata kama haumwi mtoto mdogo alimwacha vipi hapo ndani huyo mwañamke hajielewi na yeye wangemweka ndani, aeleze ugwadu gani huo mpaka anamwacha mtoto?
Labda jamaa anafyonza tigo
 
Nakubaliana na wewe, Mwanamke na yeye anapaswa kukamatwa maana huwezi kumuacha ndani mtoto wa mwaka mmoja labda kama alimuachia jirani ambapo jirani nae anapaswa kukamatwa aeleze alimpa nini mtoto mchana kutwa.
Kuna wanawake huwa wanawapa vilevi watoto wao na wao kwenda kubanjuka, na wapo wengi .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…