Amkamata mkewe akichepuka, aponyokwa. Mtoto asiye wake afariki

Anayejua kuwa huyo alikuwa mpenzi wake tu na sio mke wake ni yeye muoaji, maana mke wako ndio mpenzi wako na si vinginevyo.
Taratibu za mke zinajulikana iwe kimila , kidini na kiserikali , nje cha hapo Kwa kigezo ya dini yake ni mzinzi , worst enough kaangukia Kwa single mother , huyo lazima afurahi tuu hamna namna
 
Kwa wingi wa mikasa ya single mothers hapa jf!! Nawasihi dada zangu mjishauri sana kabla ya kuzaa na mtu..
Mikasa ni mingi sana na yote ina jadili kama single mothers ni watu hatari sana.
 
Hapa itakuwa boyfriend mpya na mother wameona wampe msala mlokole. Wauwe msabato anawekwa jela nao wanakulana kwa raha.

Pia single mother anasoma nyuzi za jf amechoka nazo kapata sababu ya kuondoa mtoto na kubaki kivyake.
Kabisa yaaN kwangu mm naamini hiko kiti hata kama n mm siwez fanya msala wa kwenda jelahalafu nisikimbie ni kitu ambacho hakiwezekani hapo mwanaume na mwanamke uyoaliefumaniwa inawezkana wamekula njama kumpoteza msabato
 
Yani alioa Single mothers Sio
Haaa haaaa Single mothers hawezi kupendeka mpk kuolewa
 
Kila siku humu single maza single maza,vijana bado wamekaza mafuvu.
Sasa si bora hiyo jumamosi angekuwa anaenda kazini tu,
Hivi hawa wanawake wote inakuwaje unaangukia kwa mtu wa hovyo?
 
Daaah mpe pole Sana mwamba hizo mambo ni hatari Sana mpe imani na mtie Sana moyo.
Ila usiache kutu update kila hatua
 
Gute nacht meine Bruder
 
Kuchomoka kwenye hiyo kesi ni ngum sana.

Ikizingatiwa wasabato wengi ni watu wa Musoma kitu ambacho kinaongeza uzito wa tuhuma.

Hata Kama si mtu wa Musoma lakini wasabato wengi wana mambo ya hovyo Sana wakikasirika.
Wala hakuna ugumu hapo.

Kama wakipatikana wataalamu wazuri wakapima vizuri, inawezekana kabisa kujua ni muda gani mtoto alikufa na alikufaje.
 
Kama baya umeandikiwa kamwe kulikwepa hutoweza, maisha ni fumbo kikubwa ni kuamua kuishi tu, vita ya maisha na unabii hatuna uwezo wa kuyasemea, bunafsi nafanya kila jema lililo mbele yangu .

NB: Hata jambo jema hua na matokeo hasi wakati mwingine.


Kama hayajaamua kukuta waweza jivika gamba lenye sura ya ushujaa.
 
Hivi inakuwaje unaishi na single mama yani baadhi ya misenge aisikii kabisa yan mpaka nakuwa na hasira na hii mijitu ona sasa majanga yanayowakumba.
Wapo pia walishiriki kuvunja bikra lakini mwisho wao ulikua ni maumivu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…