RWANDES
JF-Expert Member
- Jun 12, 2019
- 1,788
- 4,401
Acheni kupumbazwa nakauli za CCM kuwa Tanzania ni maskini lipo kundi dogo ndani ya CCM linaitafuna hii nchi kwa kupeana vyeo mbalimbali katika maeneo mbalimbali.
Nchi yetu siyo maskini bali kundi la watu wachache ndani ya CCM ndiyo majizi makubwa yanayitafuna fedha za umma na kuingia mikataba mibovu katika mali asili zetu.
Wewe Mtanzania amka kataa kundi hilo la ukoo wa kambale linaloharibu nchi yetu, kubadili chama siyo kigezo cha kuwamaliza watu hao katiba mpya ni mwarobaini wa hayo yote na sheria kali ambazo zinatokana na Katiba hiyo.
Nchi yetu inaliwa mnoo amkeni amkeni Watanzania tusiburuzwe na kundi hilo amkeni
Nchi yetu siyo maskini bali kundi la watu wachache ndani ya CCM ndiyo majizi makubwa yanayitafuna fedha za umma na kuingia mikataba mibovu katika mali asili zetu.
Wewe Mtanzania amka kataa kundi hilo la ukoo wa kambale linaloharibu nchi yetu, kubadili chama siyo kigezo cha kuwamaliza watu hao katiba mpya ni mwarobaini wa hayo yote na sheria kali ambazo zinatokana na Katiba hiyo.
Nchi yetu inaliwa mnoo amkeni amkeni Watanzania tusiburuzwe na kundi hilo amkeni