Amkeni Watanzania, nchi yetu siyo masikini; ni kikundi cha watu wachache kinaitafuna

Amkeni Watanzania, nchi yetu siyo masikini; ni kikundi cha watu wachache kinaitafuna

RWANDES

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2019
Posts
1,788
Reaction score
4,401
Acheni kupumbazwa nakauli za CCM kuwa Tanzania ni maskini lipo kundi dogo ndani ya CCM linaitafuna hii nchi kwa kupeana vyeo mbalimbali katika maeneo mbalimbali.

Nchi yetu siyo maskini bali kundi la watu wachache ndani ya CCM ndiyo majizi makubwa yanayitafuna fedha za umma na kuingia mikataba mibovu katika mali asili zetu.

Wewe Mtanzania amka kataa kundi hilo la ukoo wa kambale linaloharibu nchi yetu, kubadili chama siyo kigezo cha kuwamaliza watu hao katiba mpya ni mwarobaini wa hayo yote na sheria kali ambazo zinatokana na Katiba hiyo.

Nchi yetu inaliwa mnoo amkeni amkeni Watanzania tusiburuzwe na kundi hilo amkeni
 
Acheni kupumbazwa nakauli za CCM kuwa Tanzania ni maskini lipo kundi dogo ndani ya CCM linaitafuna hii nchi kwa kupeana vyeo mbalimbali katika maeneo mbalimbali.

Nchi yetu siyo maskini bali kundi la watu wachache ndani ya CCM ndiyo majizi makubwa yanayitafuna fedha za umma na kuingia mikataba mibovu katika mali asili zetu.

Wewe Mtanzania amka kataa kundi hilo la ukoo wa kambale linaloharibu nchi yetu, kubadili chama siyo kigezo cha kuwamaliza watu hao katiba mpya ni mwarobaini wa hayo yote na sheria kali ambazo zinatokana na Katiba hiyo.

Nchi yetu inaliwa mnoo amkeni amkeni Watanzania tusiburuzwe na kundi hilo amkeni
ITAPENDEZA ukiweka nyama jinsi wanavyokula na kiasi hicho kwa mtu mmoja au kikundi chao
 
ITAPENDEZA ukiweka nyama jinsi wanavyokula na kiasi hicho kwa mtu mmoja au kikundi chao
Upo gizani sana na kama haupo gizani basi wewe ni mnufaika mkubwa wa kikundi hicho ! Hayo unayoyasema kamuulize mwanao mwenye umri wa miaka 22-25 awe wakiume wa kike atakupa majibu ya unachokiuliza.
 
Watanzania ni sawa na watu wanaolilia kwenda polar regions kwa sababu picha tu walizoona zinavutia.

Kinachowavutia kwenda na uhalisia wa kuishi huko ni vitu viwili tofauti.

Sasa wewe jichuze kuwaongoza huko wanapotaka kwenda uone kasheshe lake. Mjomba lawama zote utapewa katikati ya safari ukishaanza kuwalaza kwenye matent na baridi, kuwapeleka kuvua samaki kwenye mto wa barafu.

Yaani shida kidogo wewe uliewapeleka huko ndio tatizo hufai ata kidogo wakati wao wenyewe ndio walikufuata wanataka kuishi Antarctic.

Hao ndio watanzania wanataka mabadiliko isipokuwa hawajui safari yenyewe ikoje.

Ndio, Magufuli alikuwa na mapungufu yake, lakini kitu ambacho kaonyesha dunia na hasa waafrica hatuko tayari kwa mabadiliko.

Watanzania wanadhani ipo siku mafisadi wataamka tu na kuwa na huruma nao, bila ya kiongozi mmoja wa kupambana nao kuwabadili tabia.
 
Wivu ndio unakusumbua. Wakati wa Awamu ya tano mbona hukusema haya?
Pambaneni huko huko
Acheni kupumbazwa nakauli za CCM kuwa Tanzania ni maskini lipo kundi dogo ndani ya CCM linaitafuna hii nchi kwa kupeana vyeo mbalimbali katika maeneo mbalimbali.

Nchi yetu siyo maskini bali kundi la watu wachache ndani ya CCM ndiyo majizi makubwa yanayitafuna fedha za umma na kuingia mikataba mibovu katika mali asili zetu.

Wewe Mtanzania amka kataa kundi hilo la ukoo wa kambale linaloharibu nchi yetu, kubadili chama siyo kigezo cha kuwamaliza watu hao katiba mpya ni mwarobaini wa hayo yote na sheria kali ambazo zinatokana na Katiba hiyo.

Nchi yetu inaliwa mnoo amkeni amkeni Watanzania tusiburuzwe na kundi hilo amkeni
 
Watanzania ni sawa na watu wanaolilia kwenda polar regions kwa sababu picha tu walizoona zinavutia.

Kinachowavutia kwenda na uhalisia wa kuishi huko ni vitu viwili tofauti.

Sasa wewe jichuze kuwaongoza huko wanapotaka kwenda uone kasheshe lake. Mjomba lawama zote utapewa katikati ya safari ukishaanza kuwalaza kwenye matent na baridi, kuwapeleka kuvua samaki kwenye mto wa barafu.

Yaani shida kidogo wewe uliewapeleka huko ndio tatizo hufai ata kidogo wakati wao wenyewe ndio walikufuata wanataka kuishi Antarctic.

Hao ndio watanzania wanataka mabadiliko isipokuwa hawajui safari yenyewe ikoje.

Ndio, Magufuli alikuwa na mapungufu yake, lakini kitu ambacho kaonyesha dunia na hasa waafrica hatuko tayari kwa mabadiliko.

Watanzania wanadhani ipo siku mafisadi wataamka tu na kuwa na huruma nao, bila ya kiongozi mmoja wa kupambana nao kuwabadili tabia.
Umeongea ukweli..bila kuamua kwa damu na jasho tutabaki tunalia na kulalamika.

#MaendeleoHayanaChama
 
Watanzania ni sawa na watu wanaolilia kwenda polar regions kwa sababu picha tu walizoona zinavutia.

Kinachowavutia kwenda na uhalisia wa kuishi huko ni vitu viwili tofauti.

Sasa wewe jichuze kuwaongoza huko wanapotaka kwenda uone kasheshe lake. Mjomba lawama zote utapewa katikati ya safari ukishaanza kuwalaza kwenye matent na baridi, kuwapeleka kuvua samaki kwenye mto wa barafu.

Yaani shida kidogo wewe uliewapeleka huko ndio tatizo hufai ata kidogo wakati wao wenyewe ndio walikufuata wanataka kuishi Antarctic.

Hao ndio watanzania wanataka mabadiliko isipokuwa hawajui safari yenyewe ikoje.

Ndio, Magufuli alikuwa na mapungufu yake, lakini kitu ambacho kaonyesha dunia na hasa waafrica hatuko tayari kwa mabadiliko.

Watanzania wanadhani ipo siku mafisadi wataamka tu na kuwa na huruma nao, bila ya kiongozi mmoja wa kupambana nao kuwabadili tabia.
Inafikirisha sana !!
 
Mbaya zaidi waliokuwa wanapiga kelele (viongozi wa chadema na act) nao wamealikwa mezani wanalamba tu asali kumamamakhee.
Hacha ujinga wewe kibaraka, mkisikia maneno kama haya pia chawa, jitihada zozote za kuwafumbua watu macho always huwa mnarukia haraka ili kuwakatisha tamaa.

Ovyooo sasa wee kajibwa koko
 
Acheni kupumbazwa nakauli za CCM kuwa Tanzania ni maskini lipo kundi dogo ndani ya CCM linaitafuna hii nchi kwa kupeana vyeo mbalimbali katika maeneo mbalimbali.

Nchi yetu siyo maskini bali kundi la watu wachache ndani ya CCM ndiyo majizi makubwa yanayitafuna fedha za umma na kuingia mikataba mibovu katika mali asili zetu.

Wewe Mtanzania amka kataa kundi hilo la ukoo wa kambale linaloharibu nchi yetu, kubadili chama siyo kigezo cha kuwamaliza watu hao katiba mpya ni mwarobaini wa hayo yote na sheria kali ambazo zinatokana na Katiba hiyo.

Nchi yetu inaliwa mnoo amkeni amkeni Watanzania tusiburuzwe na kundi hilo amkeni
Ukweli mchungu huu! Ifikie wakati tutoke kwenye huu usingizi wa pono.
 
Acheni kupumbazwa nakauli za CCM kuwa Tanzania ni maskini lipo kundi dogo ndani ya CCM linaitafuna hii nchi kwa kupeana vyeo mbalimbali katika maeneo mbalimbali.

Nchi yetu siyo maskini bali kundi la watu wachache ndani ya CCM ndiyo majizi makubwa yanayitafuna fedha za umma na kuingia mikataba mibovu katika mali asili zetu.

Wewe Mtanzania amka kataa kundi hilo la ukoo wa kambale linaloharibu nchi yetu, kubadili chama siyo kigezo cha kuwamaliza watu hao katiba mpya ni mwarobaini wa hayo yote na sheria kali ambazo zinatokana na Katiba hiyo.

Nchi yetu inaliwa mnoo amkeni amkeni Watanzania tusiburuzwe na kundi hilo amkeni
Nashauri na nadhan tuanze kuwataja.
Pia nakuoba sana weka huu mjadala ktk clubhouse ili wengi tuingie na kuchngia live.
Naanza kuitaja familia ya jakaya pia mwinyi.
Nawe ongezea

Haya maneno yalisemwa na chizi m1 ktk stendi ya Makumbusho wkt akitafuna mkate uliomponyoka kunguru
 
Watanzania ni sawa na watu wanaolilia kwenda polar regions kwa sababu picha tu walizoona zinavutia.

Kinachowavutia kwenda na uhalisia wa kuishi huko ni vitu viwili tofauti.

Sasa wewe jichuze kuwaongoza huko wanapotaka kwenda uone kasheshe lake. Mjomba lawama zote utapewa katikati ya safari ukishaanza kuwalaza kwenye matent na baridi, kuwapeleka kuvua samaki kwenye mto wa barafu.

Yaani shida kidogo wewe uliewapeleka huko ndio tatizo hufai ata kidogo wakati wao wenyewe ndio walikufuata wanataka kuishi Antarctic.

Hao ndio watanzania wanataka mabadiliko isipokuwa hawajui safari yenyewe ikoje.

Ndio, Magufuli alikuwa na mapungufu yake, lakini kitu ambacho kaonyesha dunia na hasa waafrica hatuko tayari kwa mabadiliko.

Watanzania wanadhani ipo siku mafisadi wataamka tu na kuwa na huruma nao, bila ya kiongozi mmoja wa kupambana nao kuwabadili tabia.
Hachana na dictator JPM, uyo jamaa alikuwa mwizi balaa.
Mfano tu mdogo wakati Jakaya alimpa tajiri anayewavuruga uko Loliondo miaka mi5 ya mkataba wa uwindaji. Dictator JPM aliwapa 10 years, fuatilia you will confirm my allegations
Alikuwa mwizi kweli kweli uyo jamaa yako.

Haya maneno yalisemwa na chizi m1 ktk stendi ya Makumbusho wkt akitafuna mkate uliomponyoka kunguru
 
Back
Top Bottom