Amkeni Watanzania, nchi yetu siyo masikini; ni kikundi cha watu wachache kinaitafuna

Amkeni Watanzania, nchi yetu siyo masikini; ni kikundi cha watu wachache kinaitafuna

Amkeni amkeni watu wachache na kikundi chao hawawezi kutufanya sisi wajinga wakutupwa kwa kutoa fursa ndogo huku wakifuja fedha za umma kwa matumbo yao. Jaman nchi inatafunwa kwelikweli wakuu siyo mchezo.
Tafuta kiongozi. Siwaoni hao wenye nia ya kujenga Taifa. Sababu kubwa tumeua elimu fikirishi inayotumia mafunzo ya historia kuongoza ujenzi wa Taifa. Uongozi unahitaji elimu kama huamini jaribu ujinga!

Sent from my ONEPLUS A5000 using JamiiForums mobile app
 
Amkeni amkeni watu wachache na kikundi chao hawawezi kutufanya sisi wajinga wakutupwa kwa kutoa fursa ndogo huku wakifuja fedha za umma kwa matumbo yao. Jaman nchi inatafunwa kwelikweli wakuu siyo mchezo.
IMG-20220626-WA0057.jpg
 
Kiukweli tunapigwa sana...

Sa tufanyeje...
 
Mbinu ni ile ile ilitumika toka ukoloni, wagawanye uwatawale. Jamaa wanahakikisha watanzania wanabishana na kuhangaika na vitu vifuatavyo kila siku
1. Chadema vs CCM
1. Simba na Yanga
3. Team magufuli vs Kikwete (mataga vs kina wenyewe)
4. Dini
5. Ukabila

Kamwe hawatakubali mijadala hii
1. Katiba mpya
2. Tume huru
3. Mikataba ya uwazi kwenye rasilimali za nchi
4. Mabadiliko makubwa ya mfumo wa elimu
5. Economic reforms

Nchi inahitaji ukombozi wa pili baada ya ule wa ukoloni.
 
Back
Top Bottom