Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,984
- 19,288
Suluhisho lake ni nini mkuu?Wanaitafuna haswa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Suluhisho lake ni nini mkuu?Wanaitafuna haswa.
Chadema si ndio mlitaka wauawawe?Mbaya zaidi waliokuwa wanapiga kelele (viongozi wa chadema na act) nao wamealikwa mezani wanalamba tu asali kumamamakhee.
Chadema ni desturi yao kutekana na kuuana ili wenye mawazo finyu wahisi ni serikaliChadema si ndio mlitaka wauawawe?
Sasa kwa nini Serikali isiwakamate na kuwachukulia hatua? Ama ni serikali dhaifu? Ama ni propaganda za wenye mawazo finyu?Chadema ni desturi yao kutekana na kuuana ili wenye mawazo finyu wahisi ni serikali
Wanaisoma no vizuri snAcha wivu pambana huko huko ccm achana na Chadema.
Hayo magenge yenu yatawatafuna leo ndio mnataamani katiba Mpya?🤣🤣
Ni mawazo ya kijinga ya watu wa CCMSasa kwa nini Serikali isiwakamate na kuwachukulia hatua? Ama ni serikali dhaifu? Ama ni propaganda za wenye mawazo finyu?
vizuri mnoWanaisoma no vizuri sn
Hana hoja huyo lumumba fcSasa kwa nini Serikali isiwakamate na kuwachukulia hatua? Ama ni serikali dhaifu? Ama ni propaganda za wenye mawazo finyu?
Kweli, skiingia Rais mgalatia wazungu wanakulaAcheni kupumbazwa nakauli za CCM kuwa Tanzania ni maskini lipo kundi dogo ndani ya CCM linaitafuna hii nchi kwa kupeana vyeo mbalimbali katika maeneo mbalimbali.
Nchi yetu siyo maskini bali kundi la watu wachache ndani ya CCM ndiyo majizi makubwa yanayitafuna fedha za umma na kuingia mikataba mibovu katika mali asili zetu.
Wewe Mtanzania amka kataa kundi hilo la ukoo wa kambale linaloharibu nchi yetu, kubadili chama siyo kigezo cha kuwamaliza watu hao katiba mpya ni mwarobaini wa hayo yote na sheria kali ambazo zinatokana na Katiba hiyo.
Nchi yetu inaliwa mnoo amkeni amkeni Watanzania tusiburuzwe na kundi hilo amkeni
Una uhakika kuwa yeye miongoni mwa wanaCCM hakuwa fisadi?Watanzania ni sawa na watu wanaolilia kwenda polar regions kwa sababu picha tu walizoona zinavutia.
Kinachowavutia kwenda na uhalisia wa kuishi huko ni vitu viwili tofauti.
Sasa wewe jichuze kuwaongoza huko wanapotaka kwenda uone kasheshe lake. Mjomba lawama zote utapewa katikati ya safari ukishaanza kuwalaza kwenye matent na baridi, kuwapeleka kuvua samaki kwenye mto wa barafu.
Yaani shida kidogo wewe uliewapeleka huko ndio tatizo hufai ata kidogo wakati wao wenyewe ndio walikufuata wanataka kuishi Antarctic.
Hao ndio watanzania wanataka mabadiliko isipokuwa hawajui safari yenyewe ikoje.
Ndio, Magufuli alikuwa na mapungufu yake, lakini kitu ambacho kaonyesha dunia na hasa waafrica hatuko tayari kwa mabadiliko.
Watanzania wanadhani ipo siku mafisadi wataamka tu na kuwa na huruma nao, bila ya kiongozi mmoja wa kupambana nao kuwabadili tabia.
Kijana Kaa kimyaaa.fikir kabla ya kuongea.anayetunga hiyo Sheria ni nani?? Si ni hao hao unaowasema!!!!.pia anayetunga katiba na kuiandika ni hao hao.we Tulia tu.Aisee.
Acheni kupumbazwa nakauli za CCM kuwa Tanzania ni maskini lipo kundi dogo ndani ya CCM linaitafuna hii nchi kwa kupeana vyeo mbalimbali katika maeneo mbalimbali.
Nchi yetu siyo maskini bali kundi la watu wachache ndani ya CCM ndiyo majizi makubwa yanayitafuna fedha za umma na kuingia mikataba mibovu katika mali asili zetu.
Wewe Mtanzania amka kataa kundi hilo la ukoo wa kambale linaloharibu nchi yetu, kubadili chama siyo kigezo cha kuwamaliza watu hao katiba mpya ni mwarobaini wa hayo yote na sheria kali ambazo zinatokana na Katiba hiyo.
Nchi yetu inaliwa mnoo amkeni amkeni Watanzania tusiburuzwe na kundi hilo amkeni
Kwa nchi kama Tanzania ufisadi aupo CCM tu, ni sehemu ya maisha ya kila siku.Una uhakika kuwa yeye miongoni mwa wanaCCM hakuwa fisadi?
Ni mapungufu gani hayo aliyokuwa nayo yaliyokuwa nafuu kwetu kuliko ufisadi? Imekuwa kawaida kumuelezea magufuli “pamoja na mapungufu yake …” Yapi?
Ninachojua kivutio kikuu cha CCM ni fursa za wizi/ufisadi unaosimamiwa na dola chini ya chama hicho (KLEPTOCRACY). Ndivyo ilivyokuwa mwanzo hadi sasa. Na tutaendelea kushuhudia hujuma hizo za dola mpaka tuwe serious - kama tutaamka na kuwaondolea guarantee ya kuongoza nchi.
Umeongea ukweli..bila kuamua kwa damu na jasho tutabaki tunalia na kulalamika.
#MaendeleoHayanaChama
WATANZANIA WALIOWENGI NI WAPUMBAVU SANA WANATAKA KWENDA MBINGUNI ILA WANAOGOPA KUFA😡Watanzania ni sawa na watu wanaolilia kwenda polar regions kwa sababu picha tu walizoona zinavutia.
Kinachowavutia kwenda na uhalisia wa kuishi huko ni vitu viwili tofauti.
Sasa wewe jichuze kuwaongoza huko wanapotaka kwenda uone kasheshe lake. Mjomba lawama zote utapewa katikati ya safari ukishaanza kuwalaza kwenye matent na baridi, kuwapeleka kuvua samaki kwenye mto wa barafu.
Yaani shida kidogo wewe uliewapeleka huko ndio tatizo hufai ata kidogo wakati wao wenyewe ndio walikufuata wanataka kuishi Antarctic.
Hao ndio watanzania wanataka mabadiliko isipokuwa hawajui safari yenyewe ikoje.
Ndio, Magufuli alikuwa na mapungufu yake, lakini kitu ambacho kaonyesha dunia na hasa waafrica hatuko tayari kwa mabadiliko.
Watanzania wanadhani ipo siku mafisadi wataamka tu na kuwa na huruma nao, bila ya kiongozi mmoja wa kupambana nao kuwabadili tabia.
Mao Zedong alisema kuwa👇Umeongea ukweli..bila kuamua kwa damu na jasho tutabaki tunalia na kulalamika.
#MaendeleoHayanaChama
TUNA TAIFA LILILOJAA WAOGA NA WAPUMBAVU WENGI SANA😡Watz tunapandikizwa uoga tangu utoton kwa hyo akili zetu zna ufinyu wa mawazo. Mfano mtu uko chuoni anatishiwa usiponunua notes basi nakufelisha sasa mtu kama huyo atakua na uwezo wa kuhoji kweli?