Amkeni Watanzania, nchi yetu siyo masikini; ni kikundi cha watu wachache kinaitafuna

Kweli, skiingia Rais mgalatia wazungu wanakula
akiingia upande huu mwingine makucha ya waarabu, wahindi, wachina balaaa hadi unga unauzwa

hii nchi vipi?
 
Una uhakika kuwa yeye miongoni mwa wanaCCM hakuwa fisadi?

Ni mapungufu gani hayo aliyokuwa nayo yaliyokuwa nafuu kwetu kuliko ufisadi? Imekuwa kawaida kumuelezea magufuli “pamoja na mapungufu yake …” Yapi?

Ninachojua kivutio kikuu cha CCM ni fursa za wizi/ufisadi unaosimamiwa na dola chini ya chama hicho (KLEPTOCRACY). Ndivyo ilivyokuwa mwanzo hadi sasa. Na tutaendelea kushuhudia hujuma hizo za dola mpaka tuwe serious - kama tutaamka na kuwaondolea guarantee ya kuongoza nchi.
 
 
Watz tunapandikizwa uoga tangu utoton kwa hyo akili zetu zna ufinyu wa mawazo. Mfano mtu uko chuoni anatishiwa usiponunua notes basi nakufelisha sasa mtu kama huyo atakua na uwezo wa kuhoji kweli?
 
Kwa nchi kama Tanzania ufisadi aupo CCM tu, ni sehemu ya maisha ya kila siku.

Kila mtu anachota kwa nafasi yake tofauti ni viwango na fursa; mwenyekiti wa mtaa atabugia michango ya wenzake; na kutaka kitu kidogo kabla ajapiga sign barua yako ya serikali vinginevyo kila ukienda atakwambia yupo busy. Kila ukubwa wa nafasi unakuja na ongezeko la fursa.

Kwa ivyo kusema Magufuli was clean ni too optimistic tofauti walau yeye alikuwa anajaribu kubadili culture ya kila mtu kuwa mwizi na watu walishaanza kuogopa.

Kwa raia yeyote kwenye nchi kama hiyo akiambiwa achague serikali ya wezi wachache huko juu ambao ubadhirifu wao mpaka ifanyike special audit ili ubainanike au uchague serikali ambayo kila mtu mwizi ata mwenyekiti wa mtaa kuandika sign na kupiga muhuri wa utambuzi kwenye form za serikali bila ya kumpa elfu 10 kila ukienda atakwambia yupo busy njoo kesho.

Ni hivi uwezi fananisha serikali ya Magufuli na mtu mwingine yeyote ata enzi za Nyerere watu walikuwa wanaiba; tofauti ya hao wawili na wengine ni jitihada za wazi za kupambana na hizo tabia kuwa sehemu ya maisha kwa kila mtumishi wa chama na serikali.

Mapungufu ya Magufuli kwa upande wangu ni kujaribu ku impose his personal moral views kwa kila mtu kwa kutumia nguvu za nafasi yake mfano kukataa chanjo za COVID, kuingilia utaratibu wa kangomba; among other things.
 
Umeongea ukweli..bila kuamua kwa damu na jasho tutabaki tunalia na kulalamika.

#MaendeleoHayanaChama

Damu na jasho la nani? Hata kuandamana mnaogopa halafu unaongelea kumwaga damu. Ni Wazanzibari pekee tunajua kupigania haki zetu. Nyie ni keyboard warriors tuu.
 
WATANZANIA WALIOWENGI NI WAPUMBAVU SANA WANATAKA KWENDA MBINGUNI ILA WANAOGOPA KUFA😡
 
Watz tunapandikizwa uoga tangu utoton kwa hyo akili zetu zna ufinyu wa mawazo. Mfano mtu uko chuoni anatishiwa usiponunua notes basi nakufelisha sasa mtu kama huyo atakua na uwezo wa kuhoji kweli?
TUNA TAIFA LILILOJAA WAOGA NA WAPUMBAVU WENGI SANA😡
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…