Amnesty International yaitaka Kenya kumpa hifadhi Godbless Lema kulingana na sheria ya wakimbizi, yasema kumrudisha nchini ni kinyume cha sheria

Amnesty International yaitaka Kenya kumpa hifadhi Godbless Lema kulingana na sheria ya wakimbizi, yasema kumrudisha nchini ni kinyume cha sheria

Hawa pimbi walikuwa wanajifanya vidume kutukana tukana warejee sasa. Ndiyo maana tuliwaambia hawa vibaraka wanajua pa kukimbilia ila mtanzania wa kawaida wa ileje hata akienda kenya atafukuzwa ka mbwa. Lema ni mjanja mjanja, anajifanya kukimbia kesi ili aonewe huruma, hayo maigizo yataisha tu, na Tanzania itaendelea.
Usilinganishe vitu vya kijinga na Ileje! Mwana Ileje anaweza akaenda Malawi au Zambia wala hahitaji passport!
 
Kwahiyo umeridhika kuuziwa cement elf 35 wakati huo simu unatumia VPN

nyie watu vichwani mna upepo tu
Tumeridhika na kukimbia nchi huku tukiitukana haina amani ila kuna babu na bibi zetu pamoja na ndugu kibao ambao wapo busy na mishe zao.
Ila sisi wabinafsi ndio tunakuwa vubaraka wa wazungu.
Sasa mwenye upepo kichwani ni nani kati ya mimi na wewe.
 
Usilinganishe vitu vya kijinga na Ileje! Mwana Ileje anaweza akaenda Malawi au Zambia wala hahitaji passport!
Hahahaha yamebanwa mbavu mpaka hayawezi kuhema, mlizani watanzania ni mazuzu, na bado lazima mkomeshwe kabisa pimbi wakubwa
 
Hap Naon kunania ovuu ya hawa wapinzani kutaka Kuaminisha dunia kuwa maisha yao yapo hatarili na Tanzania inanyanyasa wapinzani lakini turudi nyuma twende mbele sisi ndio watanzania na tunaijua tanzania kushinda hao watu weupe binafsi naona hmn jambo lolote baya ni kutakaa kutengeneza propaganda za kijingaa tu kwa maslai yao wenyewe na sio ya nchii
 
Katika taarifa yao waliyoitoa kwa Umma, shirika lisilo la kiserikali la Amnesty international linalojihusisha na haki za kibinadamu limeona uwezekano wa mamlaka za Kenya kulazimika kumrejesha Mwanasiasa wa Upinzani, Godbless Lema au familia yake kwenye mateso ya kisiasa au uwezekano wa kufungwa Tanzania.

Mkurugenzi wa Amnesty International nchini Kenya, Irungu Houghton amesema kanuni ya kimataifa iliyoridhiwa na sheria za Kenya hairuhusu Kenya kuwarudisha watu kwenye mipaka kwenye nchi ambayo wamo kwenye mateso au hatari.

Karibuni, Godbless Lema alikimbila nchini Kenya na mkewe na watoto watatu akiomba hifadhi kutoka serikali ya Kenya. Lema na familia yake walivuka mpaka wa Namanga Novemba 8, 2020. Amnesty inaamini yupo chini ya polisi eneo la Kajiado, Kenya. Wakili wake, Prof. George Wajackoyah pia amethibitisha uwezekano wa kurejeshwa.

PIA, SOMA: Godbless Lema akamatwa Kajiado akitorokea Kenya yeye na familia yake. Kurudishwa nchini kesho Novemba 9, 2020

View attachment 1622630
Haya mashirika ya kutetea wahalifu naomba ofisi zao zifungwe TZ kwani madumu yao ya petrol kuchomea moto mali za watu bado tunayo na wote wana kesi kibao mahakamani kila mahali kwa hiyo hii isomeke na ieleweke wazi kwamba hizi asasi au mashirika vinatoa hukumu ya kesi za wahalifu wetu kwa kuwaachia huru kinamna
 
Hap Naon kunania ovuu ya hawa wapinzani kutaka Kuaminisha dunia kuwa maisha yao yapo hatarili na Tanzania inanyanyasa wapinzani lakini turudi nyuma twende mbele sisi ndio watanzania na tunaijua tanzania kushinda hao watu weupe binafsi naona hmn jambo lolote baya ni kutakaa kutengeneza propaganda za kijingaa tu kwa maslai yao wenyewe na sio ya nchii
Watanzania wamewakataa wapuuzi hawa na sasa wanahaha
 
Hizi ni sarakasi.. Amekimbia kwanini? Kwanini hakukimbia kabla ya uchaguzi!!?

Kama maisha yake yanatishiwa kwanini hajatoa taarifa katika mamlaka husika?
 
Tena waodoke ,waodoke wote wanaopenda kuwa wakimbizi!
Waulizeni wapemba waliokimbilia Shimoni Mombasa wakipata faida gani?

Akili za kushikiwa siyo nzuri
 
Genge la wahuni linaanza kusambaratika. Wengine Kenya, wengine Ubelgiji. Nendeni kwa amani.
 
Tena waodoke ,waodoke wote wanaopenda kuwa wakimbizi!
Waulizeni wapemba waliokimbilia Shimoni Mombasa wakipata faida gani?

Akili za kushikiwa siyo nzuri
Punguani, punguani tu. Akirudi kutoka huko ni mwendo wa kuunga mkono juhudi tu. Chama cha mfukoni, kwisha habari yake.
 
Back
Top Bottom