Pre GE2025 Amos Makalla adai CCM haijawahi kuiba kura. Amtaka Tundu Lissu kuacha kutisha Wananchi

Pre GE2025 Amos Makalla adai CCM haijawahi kuiba kura. Amtaka Tundu Lissu kuacha kutisha Wananchi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, ambaye pia ni Mfadhili wa zamani wa Bendi ya FM ACADEMIA, Pedeshee Amos Makalla mkazi wa Mvomero, Morogoro, ametamka hadharani kwamba tangu enzi na enzi CCM haijawahi kuiba kura, Kama haitoshi amemshutumu Tundu Lissu kwamba aache kutisha na kupotosha Wananchi

Habari kamili hii hapa
---

Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Amos Makalla amesema chama hicho hakijawahi kuwaza wala kufikiria kuiba kura wakati wa uchaguzi.

Makalla amemuonya Makamu Mwenyekiti wa Chadema-Bara, Tundu Lissu kuacha kuwatisha Watanzania kwa lugha za kichochezi.

Mwenezi huyo amesema hayo leo Jumanne, Juni 4, 2024 katika mkutano wa hadhara uliofanyika Bomang'ombe, Wilaya ya Hai, Mkoa wa Kilimanjaro.

Makalla yupo katika ziara ya Katibu Mkuu wa CCM, Dk Emmanuel Nchimbi ya kufuatilia utekelezaji wa Ilani ya uchaguzi na kuangazia maandalizi ya uchaguzi ujao wa serikali za mitaa 2024 na Uchaguzi Mkuu 2025.

Ukiwa kama Mtanzania unayeona Chaguzi za Nchi hii pamoja na ule 2015 na ile ofisi ya Masaki iliyokuwa chini ya Mzee Kinana, na ule wa 2020 ambao ulisimamiwa na Dkt Mahera na Dar es Salaam ikiwa na RPC aliyeitwa Lazaro Mambosasa, TOA MAONI YAKO
Rais aliyepita wa Zanzibar mhe. Karume alijisemea ukweli namnukuu "CCM haijawahi kushinda uchaguzi Zanzibar" mwisho wa kumnukuu.

"Samia Suluhu: Hata mkipigia kura kule kwingine CCM ndio inaenda kuunda Serikali, tutashinda vikubwa sana Tanzania".​

 
CCM haijawahi kuiba kura kwa sababu hata yale mabegi yaliyokamatwa na karatasi zenye kura za Gwajima kule Ubongo, hazikuwa kura walizoiba CCM bali aliiba shetani akampa mgombea wa CCM.

Alaaniwe mtu yule anayetetea na kuulinda uovu. Lakini asemehewe na atakaswe yule azijutiaye dhambi zake hata kama ni nyekundu kama damu
iu



Msijifiche nyuma ya pazia ya Maridhiano. Mtubu!

Mnaogopa yale mazingira mliyo yatengeneza kuleta Uasi Tanzania?
 
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, ambaye pia ni Mfadhili wa zamani wa Bendi ya FM ACADEMIA, Pedeshee Amos Makalla mkazi wa Mvomero, Morogoro, ametamka hadharani kwamba tangu enzi na enzi CCM haijawahi kuiba kura, Kama haitoshi amemshutumu Tundu Lissu kwamba aache kutisha na kupotosha Wananchi

Habari kamili hii hapa
---

Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Amos Makalla amesema chama hicho hakijawahi kuwaza wala kufikiria kuiba kura wakati wa uchaguzi.

Makalla amemuonya Makamu Mwenyekiti wa Chadema-Bara, Tundu Lissu kuacha kuwatisha Watanzania kwa lugha za kichochezi.

Mwenezi huyo amesema hayo leo Jumanne, Juni 4, 2024 katika mkutano wa hadhara uliofanyika Bomang'ombe, Wilaya ya Hai, Mkoa wa Kilimanjaro.

Makalla yupo katika ziara ya Katibu Mkuu wa CCM, Dk Emmanuel Nchimbi ya kufuatilia utekelezaji wa Ilani ya uchaguzi na kuangazia maandalizi ya uchaguzi ujao wa serikali za mitaa 2024 na Uchaguzi Mkuu 2025.

Ukiwa kama Mtanzania unayeona Chaguzi za Nchi hii pamoja na ule 2015 na ile ofisi ya Masaki iliyokuwa chini ya Mzee Kinana, na ule wa 2020 ambao ulisimamiwa na Dkt Mahera na Dar es Salaam ikiwa na RPC aliyeitwa Lazaro Mambosasa, TOA MAONI YAKO
Dunia sikuhizi iko kiganjani
 
Tangu lini mwizi huwa anakiri hadharani kwamba yeye Ni mwizi bila kipigo cha maana au bila tishio la kuviringishiwa tairi Na dumu la petroli?
 
Mwenezi ana hoja, asikilizwe na ajibiwe kwa hoja
Mzee makalla kavurugwa CCM IPI ANAYOIZUNGUMZIA? Wazee hawa ndio wanapinga KATIBA MPYA kwa sababu wao na famila zao wananeemeka na UBOVU wa KATIBA ILIYOPO KATIBA ILIYOPO inawapa ulaji Huyu mzee ameboronga sehemu nyingi kikazi lakini KATIBA MBOVU INAMBEBA TU
 
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, ambaye pia ni Mfadhili wa zamani wa Bendi ya FM ACADEMIA, Pedeshee Amos Makalla mkazi wa Mvomero, Morogoro, ametamka hadharani kwamba tangu enzi na enzi CCM haijawahi kuiba kura, Kama haitoshi amemshutumu Tundu Lissu kwamba aache kutisha na kupotosha Wananchi

Habari kamili hii hapa
---

Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Amos Makalla amesema chama hicho hakijawahi kuwaza wala kufikiria kuiba kura wakati wa uchaguzi.

Makalla amemuonya Makamu Mwenyekiti wa Chadema-Bara, Tundu Lissu kuacha kuwatisha Watanzania kwa lugha za kichochezi.

Mwenezi huyo amesema hayo leo Jumanne, Juni 4, 2024 katika mkutano wa hadhara uliofanyika Bomang'ombe, Wilaya ya Hai, Mkoa wa Kilimanjaro.

Makalla yupo katika ziara ya Katibu Mkuu wa CCM, Dk Emmanuel Nchimbi ya kufuatilia utekelezaji wa Ilani ya uchaguzi na kuangazia maandalizi ya uchaguzi ujao wa serikali za mitaa 2024 na Uchaguzi Mkuu 2025.

Ukiwa kama Mtanzania unayeona Chaguzi za Nchi hii pamoja na ule 2015 na ile ofisi ya Masaki iliyokuwa chini ya Mzee Kinana, na ule wa 2020 ambao ulisimamiwa na Dkt Mahera na Dar es Salaam ikiwa na RPC aliyeitwa Lazaro Mambosasa, TOA MAONI YAKO
Hoja kama hii inadhihirisha wazi kuwa ccm kuna viongozi wengi wanaotumia Masaburi kufikiria
 
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, ambaye pia ni Mfadhili wa zamani wa Bendi ya FM ACADEMIA, Pedeshee Amos Makalla mkazi wa Mvomero, Morogoro, ametamka hadharani kwamba tangu enzi na enzi CCM haijawahi kuiba kura, Kama haitoshi amemshutumu Tundu Lissu kwamba aache kutisha na kupotosha Wananchi

Habari kamili hii hapa
---

Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Amos Makalla amesema chama hicho hakijawahi kuwaza wala kufikiria kuiba kura wakati wa uchaguzi.

Makalla amemuonya Makamu Mwenyekiti wa Chadema-Bara, Tundu Lissu kuacha kuwatisha Watanzania kwa lugha za kichochezi.

Mwenezi huyo amesema hayo leo Jumanne, Juni 4, 2024 katika mkutano wa hadhara uliofanyika Bomang'ombe, Wilaya ya Hai, Mkoa wa Kilimanjaro.

Makalla yupo katika ziara ya Katibu Mkuu wa CCM, Dk Emmanuel Nchimbi ya kufuatilia utekelezaji wa Ilani ya uchaguzi na kuangazia maandalizi ya uchaguzi ujao wa serikali za mitaa 2024 na Uchaguzi Mkuu 2025.

Ukiwa kama Mtanzania unayeona Chaguzi za Nchi hii pamoja na ule 2015 na ile ofisi ya Masaki iliyokuwa chini ya Mzee Kinana, na ule wa 2020 ambao ulisimamiwa na Dkt Mahera na Dar es Salaam ikiwa na RPC aliyeitwa Lazaro Mambosasa, TOA MAONI YAKO
Amosi 3:10 - Kwa maana hawajui kutenda haki, hao wawekao akiba ya jeuri.......
 
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, ambaye pia ni Mfadhili wa zamani wa Bendi ya FM ACADEMIA, Pedeshee Amos Makalla mkazi wa Mvomero, Morogoro, ametamka hadharani kwamba tangu enzi na enzi CCM haijawahi kuiba kura, Kama haitoshi amemshutumu Tundu Lissu kwamba aache kutisha na kupotosha Wananchi

Habari kamili hii hapa
---

Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Amos Makalla amesema chama hicho hakijawahi kuwaza wala kufikiria kuiba kura wakati wa uchaguzi.

Makalla amemuonya Makamu Mwenyekiti wa Chadema-Bara, Tundu Lissu kuacha kuwatisha Watanzania kwa lugha za kichochezi.

Mwenezi huyo amesema hayo leo Jumanne, Juni 4, 2024 katika mkutano wa hadhara uliofanyika Bomang'ombe, Wilaya ya Hai, Mkoa wa Kilimanjaro.

Makalla yupo katika ziara ya Katibu Mkuu wa CCM, Dk Emmanuel Nchimbi ya kufuatilia utekelezaji wa Ilani ya uchaguzi na kuangazia maandalizi ya uchaguzi ujao wa serikali za mitaa 2024 na Uchaguzi Mkuu 2025.

Ukiwa kama Mtanzania unayeona Chaguzi za Nchi hii pamoja na ule 2015 na ile ofisi ya Masaki iliyokuwa chini ya Mzee Kinana, na ule wa 2020 ambao ulisimamiwa na Dkt Mahera na Dar es Salaam ikiwa na RPC aliyeitwa Lazaro Mambosasa, TOA MAONI YAKO
Huyu mzee siasa angepumzika alee wajuu siasa inatosha kwake
 
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, ambaye pia ni Mfadhili wa zamani wa Bendi ya FM ACADEMIA, Pedeshee Amos Makalla mkazi wa Mvomero, Morogoro, ametamka hadharani kwamba tangu enzi na enzi CCM haijawahi kuiba kura, Kama haitoshi amemshutumu Tundu Lissu kwamba aache kutisha na kupotosha Wananchi

Habari kamili hii hapa
---

Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Amos Makalla amesema chama hicho hakijawahi kuwaza wala kufikiria kuiba kura wakati wa uchaguzi.

Makalla amemuonya Makamu Mwenyekiti wa Chadema-Bara, Tundu Lissu kuacha kuwatisha Watanzania kwa lugha za kichochezi.

Mwenezi huyo amesema hayo leo Jumanne, Juni 4, 2024 katika mkutano wa hadhara uliofanyika Bomang'ombe, Wilaya ya Hai, Mkoa wa Kilimanjaro.

Makalla yupo katika ziara ya Katibu Mkuu wa CCM, Dk Emmanuel Nchimbi ya kufuatilia utekelezaji wa Ilani ya uchaguzi na kuangazia maandalizi ya uchaguzi ujao wa serikali za mitaa 2024 na Uchaguzi Mkuu 2025.

Ukiwa kama Mtanzania unayeona Chaguzi za Nchi hii pamoja na ule 2015 na ile ofisi ya Masaki iliyokuwa chini ya Mzee Kinana, na ule wa 2020 ambao ulisimamiwa na Dkt Mahera na Dar es Salaam ikiwa na RPC aliyeitwa Lazaro Mambosasa, TOA MAONI YAKO
Mdomo wake tu unaonyesha ni mwizi sembuse matendo yake!!!
Aweke mezani matokeo ya uchaguzi wa 2015 na 2020
 
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, ambaye pia ni Mfadhili wa zamani wa Bendi ya FM ACADEMIA, Pedeshee Amos Makalla mkazi wa Mvomero, Morogoro, ametamka hadharani kwamba tangu enzi na enzi CCM haijawahi kuiba kura, Kama haitoshi amemshutumu Tundu Lissu kwamba aache kutisha na kupotosha Wananchi

Habari kamili hii hapa
---

Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Amos Makalla amesema chama hicho hakijawahi kuwaza wala kufikiria kuiba kura wakati wa uchaguzi.

Makalla amemuonya Makamu Mwenyekiti wa Chadema-Bara, Tundu Lissu kuacha kuwatisha Watanzania kwa lugha za kichochezi.

Mwenezi huyo amesema hayo leo Jumanne, Juni 4, 2024 katika mkutano wa hadhara uliofanyika Bomang'ombe, Wilaya ya Hai, Mkoa wa Kilimanjaro.

Makalla yupo katika ziara ya Katibu Mkuu wa CCM, Dk Emmanuel Nchimbi ya kufuatilia utekelezaji wa Ilani ya uchaguzi na kuangazia maandalizi ya uchaguzi ujao wa serikali za mitaa 2024 na Uchaguzi Mkuu 2025.

Ukiwa kama Mtanzania unayeona Chaguzi za Nchi hii pamoja na ule 2015 na ile ofisi ya Masaki iliyokuwa chini ya Mzee Kinana, na ule wa 2020 ambao ulisimamiwa na Dkt Mahera na Dar es Salaam ikiwa na RPC aliyeitwa Lazaro Mambosasa, TOA MAONI YAKO
Hilo namuunga mkono CCM hawatoi matokeo wa kujumlisha kura!
 
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, ambaye pia ni Mfadhili wa zamani wa Bendi ya FM ACADEMIA, Pedeshee Amos Makalla mkazi wa Mvomero, Morogoro, ametamka hadharani kwamba tangu enzi na enzi CCM haijawahi kuiba kura, Kama haitoshi amemshutumu Tundu Lissu kwamba aache kutisha na kupotosha Wananchi

Habari kamili hii hapa
---

Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Amos Makalla amesema chama hicho hakijawahi kuwaza wala kufikiria kuiba kura wakati wa uchaguzi.

Makalla amemuonya Makamu Mwenyekiti wa Chadema-Bara, Tundu Lissu kuacha kuwatisha Watanzania kwa lugha za kichochezi.

Mwenezi huyo amesema hayo leo Jumanne, Juni 4, 2024 katika mkutano wa hadhara uliofanyika Bomang'ombe, Wilaya ya Hai, Mkoa wa Kilimanjaro.

Makalla yupo katika ziara ya Katibu Mkuu wa CCM, Dk Emmanuel Nchimbi ya kufuatilia utekelezaji wa Ilani ya uchaguzi na kuangazia maandalizi ya uchaguzi ujao wa serikali za mitaa 2024 na Uchaguzi Mkuu 2025.

Ukiwa kama Mtanzania unayeona Chaguzi za Nchi hii pamoja na ule 2015 na ile ofisi ya Masaki iliyokuwa chini ya Mzee Kinana, na ule wa 2020 ambao ulisimamiwa na Dkt Mahera na Dar es Salaam ikiwa na RPC aliyeitwa Lazaro Mambosasa, TOA MAONI YAKO
makala huyu tunaye mfahamu kila akipewa mkoa masoko yana ungua.subiri 2025 kama mpo naye ccm kura za ubunge zote mnaunguza kwa huyu
 
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, ambaye pia ni Mfadhili wa zamani wa Bendi ya FM ACADEMIA, Pedeshee Amos Makalla mkazi wa Mvomero, Morogoro, ametamka hadharani kwamba tangu enzi na enzi CCM haijawahi kuiba kura, Kama haitoshi amemshutumu Tundu Lissu kwamba aache kutisha na kupotosha Wananchi

Habari kamili hii hapa
---

Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Amos Makalla amesema chama hicho hakijawahi kuwaza wala kufikiria kuiba kura wakati wa uchaguzi.

Makalla amemuonya Makamu Mwenyekiti wa Chadema-Bara, Tundu Lissu kuacha kuwatisha Watanzania kwa lugha za kichochezi.

Mwenezi huyo amesema hayo leo Jumanne, Juni 4, 2024 katika mkutano wa hadhara uliofanyika Bomang'ombe, Wilaya ya Hai, Mkoa wa Kilimanjaro.

Makalla yupo katika ziara ya Katibu Mkuu wa CCM, Dk Emmanuel Nchimbi ya kufuatilia utekelezaji wa Ilani ya uchaguzi na kuangazia maandalizi ya uchaguzi ujao wa serikali za mitaa 2024 na Uchaguzi Mkuu 2025.

Ukiwa kama Mtanzania unayeona Chaguzi za Nchi hii pamoja na ule 2015 na ile ofisi ya Masaki iliyokuwa chini ya Mzee Kinana, na ule wa 2020 ambao ulisimamiwa na Dkt Mahera na Dar es Salaam ikiwa na RPC aliyeitwa Lazaro Mambosasa, TOA MAONI YAKO
Ukiona hivyo basi ujue APPROACH ya Lissu na CHADEMA kwa ujumla wameielewa! Nadhani kuna kitu kingine Makalla amesahau kukisema. Ni kuwa Lissu ni muongo hajawahi kupigwa risasi na ile gari yenye matundu ya risasi aliyorudishiwa na polisi siyo gari yake ni gari ya mtu mwingine asiyejulikana!
 
Huyo mlevi tunampuuza tu
 

Attachments

  • JamiiForums2025664867.jpeg
    JamiiForums2025664867.jpeg
    33.3 KB · Views: 5
  • JamiiForums-979014263.jpeg
    JamiiForums-979014263.jpeg
    63 KB · Views: 6
  • 5723085-f2958354fb3d5c7668951cd04505632.mp4
    16 MB
Mrema mwenyewe alikua hana hamu na ccm, waliiba hadi kura aliyojipigia mwenyewe.
 
Ni kweli haijaiba kura bali inapora. Kuiba na kupora ni tofauti. Mwizi anaiba bila asitake kuonekane ila jambazi anapora hadharani kama walivyofanya bila aibu uchaguzi wa mwaka 2020.
 
Back
Top Bottom