Pre GE2025 Amos Makalla adai CCM haijawahi kuiba kura. Amtaka Tundu Lissu kuacha kutisha Wananchi

Pre GE2025 Amos Makalla adai CCM haijawahi kuiba kura. Amtaka Tundu Lissu kuacha kutisha Wananchi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Attachments

  • Screenshot_20240404-141029~2.jpg
    Screenshot_20240404-141029~2.jpg
    122 KB · Views: 3
Amos Makalla hajawahi kuwa na akili. Ana hasira na mikutano yao inavyododa tofauti na ile ya nyamitako
 
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, ambaye pia ni Mfadhili wa zamani wa Bendi ya FM ACADEMIA, Pedeshee Amos Makalla mkazi wa Mvomero, Morogoro, ametamka hadharani kwamba tangu enzi na enzi CCM haijawahi kuiba kura, Kama haitoshi amemshutumu Tundu Lissu kwamba aache kutisha na kupotosha Wananchi

Habari kamili hii hapa
---

Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Amos Makalla amesema chama hicho hakijawahi kuwaza wala kufikiria kuiba kura wakati wa uchaguzi.

Makalla amemuonya Makamu Mwenyekiti wa Chadema-Bara, Tundu Lissu kuacha kuwatisha Watanzania kwa lugha za kichochezi.

Mwenezi huyo amesema hayo leo Jumanne, Juni 4, 2024 katika mkutano wa hadhara uliofanyika Bomang'ombe, Wilaya ya Hai, Mkoa wa Kilimanjaro.

Makalla yupo katika ziara ya Katibu Mkuu wa CCM, Dk Emmanuel Nchimbi ya kufuatilia utekelezaji wa Ilani ya uchaguzi na kuangazia maandalizi ya uchaguzi ujao wa serikali za mitaa 2024 na Uchaguzi Mkuu 2025.

Ukiwa kama Mtanzania unayeona Chaguzi za Nchi hii pamoja na ule 2015 na ile ofisi ya Masaki iliyokuwa chini ya Mzee Kinana, na ule wa 2020 ambao ulisimamiwa na Dkt Mahera na Dar es Salaam ikiwa na RPC aliyeitwa Lazaro Mambosasa, TOA MAONI YAKO
Humo hivi sasa wapo watakatifu wenye hofu ya Mungu,na pale atakapo tokea mwizi miongoni mwenu na mlaaniwe wote.
 
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, ambaye pia ni Mfadhili wa zamani wa Bendi ya FM ACADEMIA, Pedeshee Amos Makalla mkazi wa Mvomero, Morogoro, ametamka hadharani kwamba tangu enzi na enzi CCM haijawahi kuiba kura, Kama haitoshi amemshutumu Tundu Lissu kwamba aache kutisha na kupotosha Wananchi

Habari kamili hii hapa
---

Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Amos Makalla amesema chama hicho hakijawahi kuwaza wala kufikiria kuiba kura wakati wa uchaguzi.

Makalla amemuonya Makamu Mwenyekiti wa Chadema-Bara, Tundu Lissu kuacha kuwatisha Watanzania kwa lugha za kichochezi.

Mwenezi huyo amesema hayo leo Jumanne, Juni 4, 2024 katika mkutano wa hadhara uliofanyika Bomang'ombe, Wilaya ya Hai, Mkoa wa Kilimanjaro.

Makalla yupo katika ziara ya Katibu Mkuu wa CCM, Dk Emmanuel Nchimbi ya kufuatilia utekelezaji wa Ilani ya uchaguzi na kuangazia maandalizi ya uchaguzi ujao wa serikali za mitaa 2024 na Uchaguzi Mkuu 2025.

Ukiwa kama Mtanzania unayeona Chaguzi za Nchi hii pamoja na ule 2015 na ile ofisi ya Masaki iliyokuwa chini ya Mzee Kinana, na ule wa 2020 ambao ulisimamiwa na Dkt Mahera na Dar es Salaam ikiwa na RPC aliyeitwa Lazaro Mambosasa, TOA MAONI YAKO
Namthibitshia bwana AMOS MAKALA kwamba kwenye Tawi la ccm mkwajuni kinondoni DAR ES SALAAM kura za uchaguzi mkuu mwaka 2020 zilipigwa siku 2 kabka na kwamba vijana waliahidiwa kulipwa 5000 na hawajalipwa mpaka leo. namthibitishia kwamba kitongoji kimnoja kilichopo kigoma niliwaona watu wakipiga kura usikiu mmoja kabla ya zoezi. namthibitishia bwana makala aende akaulizie kitongoji kimoja kilichopo pwani ya wilaya moja ya visiwani huko pwani
 
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, ambaye pia ni Mfadhili wa zamani wa Bendi ya FM ACADEMIA, Pedeshee Amos Makalla mkazi wa Mvomero, Morogoro, ametamka hadharani kwamba tangu enzi na enzi CCM haijawahi kuiba kura, Kama haitoshi amemshutumu Tundu Lissu kwamba aache kutisha na kupotosha Wananchi

Habari kamili hii hapa
---

Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Amos Makalla amesema chama hicho hakijawahi kuwaza wala kufikiria kuiba kura wakati wa uchaguzi.

Makalla amemuonya Makamu Mwenyekiti wa Chadema-Bara, Tundu Lissu kuacha kuwatisha Watanzania kwa lugha za kichochezi.

Mwenezi huyo amesema hayo leo Jumanne, Juni 4, 2024 katika mkutano wa hadhara uliofanyika Bomang'ombe, Wilaya ya Hai, Mkoa wa Kilimanjaro.

Makalla yupo katika ziara ya Katibu Mkuu wa CCM, Dk Emmanuel Nchimbi ya kufuatilia utekelezaji wa Ilani ya uchaguzi na kuangazia maandalizi ya uchaguzi ujao wa serikali za mitaa 2024 na Uchaguzi Mkuu 2025.

Ukiwa kama Mtanzania unayeona Chaguzi za Nchi hii pamoja na ule 2015 na ile ofisi ya Masaki iliyokuwa chini ya Mzee Kinana, na ule wa 2020 ambao ulisimamiwa na Dkt Mahera na Dar es Salaam ikiwa na RPC aliyeitwa Lazaro Mambosasa, TOA MAONI YAKO

Makamu Mwenyekiti wake tayari kisha sema 2020 waliiba na hawataki yaliyotokea 2020 yatokee 2025.
 
Asemaye kwamba mwenye haki Hana haki na asiye na haki ana haki. Hao wote ni chukizo kwa Mungu.
 
Tanzania ndio inch ya ajabu ilio baki afrika peke yake viongozi wake wote
 
Makala yupi sahihi. CCM haijawahi kuiba kura.

Lissu anatengeneza mazingira kama yale ya Donald Trump wa Marekani.

Mwisho wake tutatoana ngeu.

Lissu aache uwongo. Akatamvike.
Mbona Nape kawaumbua kuwa huwa mnaiba kura. Rejea hotuba yake kwenye soko kule Kashai Bukoba.Mficha maradhi kifo humuumbua.
 
Back
Top Bottom