Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Amosi Makalla ni kiongozi mbovu ameshindwa kulisimajia jiji kabisaKama ni hivyo hapakuwa sababu ya kwenda mbali kuchoma kodi zetu. Angewapeleka Moshi wakajifunze afu baada ya wiki warudi wakiwa vizuri kichwani.