Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yule ndio anaondolewa kwenye mfumo taratibu. Hana staha mdomo wake umechongoka sanaNafsi ina niambia makonda angefaa awe mwanza kwa wasukuma wenzie uko..sema system ina hofia ata tengenez empire kanda ya ziwa
Na ndio anaandaliwa kuwa pm 2025 November.Paulo Makonda nafasi aliyekuwepo alimficha Katibu mkuu hata asijulikane. Makonda akipewa nafasi hata ya utendaji wa Kata ile Power of leadership itaiongoza Wilaya na Mkoa. Ila anafaa sana kuwa P au awe JPM
No mkuu hizo ulizozitaja ni nafasi za kiserikali na sio za kichama,DC ni mtumishi wa wote regardless wenye chama au sio na ni makosa kwa chzma tawala kutumia nafasi hizi za kiserikali kama dumping area kwa makada wao,Nina mpango wa kufungua kesi ya kikatiba to test hii Cadre deployment,na say NO kwa upumbavu huuKuhusu mwenezi ndani ya chama lazima awekwe mtu ambae anaweza kukipigania na kukisemea chama. Watu wapya wanazo nafasi zao kama DAS,RAS,DED,DC nk
Hiyo kesi ya kikatiba unaifungulia hapa nchini au nje ya nchi.No mkuu hizo ulizozitaja ni nafasi za kiserikali na sio za kichama,DC ni mtumishi wa wote regardless wenye chama au sio na ni makosa kwa chzma tawala kutumia nafasi hizi za kiserikali kama dumping area kwa makada wao,Nina mpango wa kufungua kesi ya kikatiba to test hii Cadre deployment,na say NO kwa upumbavu huu
wangetuletea Mwanza au GeitaHayaa da,, makonda wangetuletea Dar basi Tena,Jiji limekuwa chafu linanuka ,huyu mnyalu wangemuamishia Mbeya
Definitely ni njeHiyo kesi ya kikatiba unaifungulia hapa nchini au nje ya nchi.
Hao majaji nao wanavyama vyao
Anaweza pia kuwa domokaya RC wa DSMHeri ya pasaka kwa wanajukwaa na waumini wote. Waliofunga nawatakia swaum njema
Kutokana na kuondolewa Makonda kwenye nafasi yake ya Itikadi na Uenezi ndani ya chama na kwenda kuwa RC Arusha, ninaweza kusema Amosi Makalla anaweza kupewa nafasi hiyo.
Amekua mtulivu kisiasa hana siasa za majitaka anaweza kushawishi watu.
Ngoja tuupe muda nafasi yake.
Hata Mimi naona kaandaliwa yeyeHeri ya pasaka kwa wanajukwaa na waumini wote. Waliofunga nawatakia swaum njema
Kutokana na kuondolewa Makonda kwenye nafasi yake ya Itikadi na Uenezi ndani ya chama na kwenda kuwa RC Arusha, ninaweza kusema Amosi Makalla anaweza kupewa nafasi hiyo.
Amekua mtulivu kisiasa hana siasa za majitaka anaweza kushawishi watu.
Ngoja tuupe muda nafasi yake.
Pole kwa msiba wa IsabelHata mimi hisia zangu zinanituma kuamini hivyo.
Ha ha asante sana. Alikuwa zaidi ya mtu katika maisha yangu.Pole kwa msiba wa Isabel
Haiwezi kabisa tena, inahitaji mtu mwenye amsha amsha na ushawishi pia .Ile idara huyu RC WA Mwanza Haiwezi nakuambia
William anaweza kuleta utulivu kwenye hii nafasi...labda umri lakini anaweza!Ile idara huyu RC WA Mwanza Haiwezi nakuambia
Ambaye alikuwa anaweza kuirudisha CCM kwenye mstari wa kuaminiwa na watu ni Makonda pekee, madamu wameona ana waharibia ulaji wao basi tena, wasubiri kuburuzwa kama kipindi Cha awamu ya 4. Makalla hana ushawishi wowote kisiasa na hana uwezo wa kutengeneza kura.Heri ya pasaka kwa wanajukwaa na waumini wote. Waliofunga nawatakia swaum njema
Kutokana na kuondolewa Makonda kwenye nafasi yake ya Itikadi na Uenezi ndani ya chama na kwenda kuwa RC Arusha, ninaweza kusema Amosi Makalla anaweza kupewa nafasi hiyo.
Amekua mtulivu kisiasa hana siasa za majitaka anaweza kushawishi watu.
Ngoja tuupe muda nafasi yake.
Anaaminiwa na akina nani? Mbona kama huwajui CCM.Ambaye alikuwa anaweza kuirudisha CCM kwenye mstari wa kuaminiwa na watu ni Makonda pekee, madamu wameona ana waharibia ulaji wao basi tena, wasubiri kuburuzwa kama kipindi Cha awamu ya 4. Makalla hana ushawishi wowote kisiasa na hana uwezo wa kutengeneza kura.
Awe hata leo kwani tatizo nini?Na ndio anaandaliwa kuwa pm 2025 November..
Huyo anaetengeneza kura ninani ulie muona?Ambaye alikuwa anaweza kuirudisha CCM kwenye mstari wa kuaminiwa na watu ni Makonda pekee, madamu wameona ana waharibia ulaji wao basi tena, wasubiri kuburuzwa kama kipindi Cha awamu ya 4. Makalla hana ushawishi wowote kisiasa na hana uwezo wa kutengeneza kura.