Mi nakuhisi weweHata mimi hisia zangu zinanituma kuamini hivyo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi nakuhisi weweHata mimi hisia zangu zinanituma kuamini hivyo.
Atasaidia Nini labda kujaza nafasi tu. Hawa watu wamefeli over 60 yrs wataweza Nini sasaHeri ya pasaka kwa wanajukwaa na waumini wote. Waliofunga nawatakia swaum njema
Kutokana na kuondolewa Makonda kwenye nafasi yake ya Itikadi na Uenezi ndani ya chama na kwenda kuwa RC Arusha, ninaweza kusema Amosi Makalla anaweza kupewa nafasi hiyo.
Amekua mtulivu kisiasa hana siasa za majitaka anaweza kushawishi watu.
Ngoja tuupe muda nafasi yake.
Ngoja tuoneAtasaidia Nini labda kujaza nafasi tu. Hawa watu wamefeli over 60 yrs wataweza Nini sasa
Makala wataboronga sana! Kwanza sauti yake imejaa mikwaruzo ya fangasi nk!Ambaye alikuwa anaweza kuirudisha CCM kwenye mstari wa kuaminiwa na watu ni Makonda pekee, madamu wameona ana waharibia ulaji wao basi tena, wasubiri kuburuzwa kama kipindi Cha awamu ya 4. Makalla hana ushawishi wowote kisiasa na hana uwezo wa kutengeneza kura.
CCM hii kipindi cha JK walikuwa hawana uwezo hata wa kuvaa nguo za kijani JPM ndo kawapa nafasi ya kurudi kwenye jamii! Makonda licha ya makando kando yake ndo mtu pekee mwenye uwezo wa kuvuta watu hasa wa hali ya chini!Anaaminiwa na akina nani? Mbona kama huwajui CCM.
Wale waliosema anafaa ndio wamesema hafai sasa wewe ninani kwani? Waelewe CCM wanaweza wakamuweka Kingwendu au Bi. Kiroboto na wakampamba hatakama hakuepo kwenye chama akatakatishwa
YametimiaHeri ya pasaka kwa wanajukwaa na waumini wote. Waliofunga nawatakia swaum njema
Kutokana na kuondolewa Makonda kwenye nafasi yake ya Itikadi na Uenezi ndani ya chama na kwenda kuwa RC Arusha, ninaweza kusema Amosi Makalla anaweza kupewa nafasi hiyo.
Amekua mtulivu kisiasa hana siasa za majitaka anaweza kushawishi watu.
Ngoja tuupe muda nafasi yake.
Hakika!Yametimiaaa.
Daah mkuu, ningefurahi sana. Naamini watanzania wengi tuna uwezo pengine kuwashida wengi ambao wamepata nafasi mbalimbali ila ndio hivyo tena kulamba uteuzi sio jambo la mchezo.Mi nakuhisi wewe
Sasa wapinzani wanamuogopa kwasababu gani?Makala wataboronga sana! Kwanza sauti yake imejaa mikwaruzo ya fangasi nk!
Samia ajiandae tu kisaikologia hakuna mtu wapinzani waimwogopa kama Makonda! Sema Makonda anaupinzani pia ndani ya CCM hasa team Msoga!