Amos Makalla: Kwenye kero nilizozikuta wapo wanaume wanaonyanyaswa. Kuna wanawake wana fedha wanahitaji tu wanaume wa kuwaoa

Amos Makalla: Kwenye kero nilizozikuta wapo wanaume wanaonyanyaswa. Kuna wanawake wana fedha wanahitaji tu wanaume wa kuwaoa

Unajua hata wapo wanaume wengi wamepitishwa magumu na wanawake.
Lawama zipo pande zote tu
Wanapitishwa na wanawake walioumizwa kaka....we hujui kuumizwa kuwa ni nusu kifo.
 
1637868601473.png
 
Back
Top Bottom