Pre GE2025 Amos Makalla Mwenezi mpya CCM Taifa, Ally Hapi Katibu Mkuu wa Umoja wa Wazazi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hakuna jipya ktk hawa wote. Huyu Amos
Makalla ashawahi kupewa nafasi mara kadhaa ktk chama lkn akashindwa kudeliver. Sioni hiyo akili mpya atakapoitoa ya kufanya vema kwenye uenezi.

Hapi naye akajigeuza kifutu baada ya kupewa uRC. Afanye kazi vema na akina mzee Kinana. Vinginevyo Zuhura Yunus atafanya yake very soon.

Lakini sasa chama kimerudi mikononi mwa watoto wa mjini. Wale washamba wa kanda pendwa watabakia kupiga makofi tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…