Hata ningekua mimi ni lazima nistuke wanawake wakitanzania wengi kunyoa wakati wakukutana na mpezi mpya, mabaharia wengi humu ni mashahidi.Mapenzi yana mambo mengi sana hapa nakubaliana kabisa na Ali Kiba kuwa mapenzi yana Run dunia akimaanisha kuwa mapenzi ndiyo yanayoiendesha duniaView attachment 3170132
Mke wake aliaga anakwenda msibani kwa shangazi yake lakini baada ya kurejea nyumbani, mme wake akagundua mkewe amenyoa sehemu za siri hali iliyozua ugomvi na kuamua kumpa talaka.
Sehemu za siri huwa ni zipi?Mapenzi yana mambo mengi sana hapa nakubaliana kabisa na Ali Kiba kuwa mapenzi yana Run dunia akimaanisha kuwa mapenzi ndiyo yanayoiendesha duniaView attachment 3170132
Mke wake aliaga anakwenda msibani kwa shangazi yake lakini baada ya kurejea nyumbani, mme wake akagundua mkewe amenyoa sehemu za siri hali iliyozua ugomvi na kuamua kumpa talaka.
Ila kweli.Jamaa ana hoja, ni ngumu kufanya usafi maeneo kama hayo kipindi cha msiba. Kuna namna...
kabisa!Nyumba zimejaa,watu wametapakaa kila mahali,huo muda wa kunyoa kaupata wap
ImagineYani kafanya usafi nako ni tatizo?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kweli mambo yamebadilika sana hadi vuzi linavunja ndoa
Umeamua kujielezea ulivyo sioPopote utakapoenda,ukirudi lazima ukaguliwe kama iko vile ilivyoachwa
Mwambie kinyozi apunguze hizo rasta tafadhali maana huruhusiwi kupunguza mwenyewe.
picha tafadhali ya hizo sehenu za siri?Mapenzi yana mambo mengi sana hapa nakubaliana kabisa na Ali Kiba kuwa mapenzi yana Run dunia akimaanisha kuwa mapenzi ndiyo yanayoiendesha duniaView attachment 3170132
Mke wake aliaga anakwenda msibani kwa shangazi yake lakini baada ya kurejea nyumbani, mme wake akagundua mkewe amenyoa sehemu za siri hali iliyozua ugomvi na kuamua kumpa talaka.
ishara ya mapenzKwahiyo maana halisi ya kunyoa ni ishara ya nini labda⚠️⚠️⚠️⚠️