Ampa talaka mke wake kisa kunyoa sehemu za siri alipokwenda msibani

😂😂shangaz alimpa kisomo cha ndoa ni usafi wajameni
 
Mke wake aliaga anakwenda msibani kwa shangazi yake lakini baada ya kurejea nyumbani, mme wake akagundua mkewe amenyoa sehemu za siri hali iliyozua ugomvi na kuamua kumpa talaka.
Unaenda kunyoa mavuzi msibani inaingia akili hii kweli? Wewe unaondoka na mavuzi yako mpaka msibani unafika msibani unaanza kunyoa mavuzi? Hapana mimi natoa talaka 7 zingine akawape aliopiga nao orgy
 
Licha ya kutegemea rasta, unaondokaje home na mivuzi halafu urudi umeinyoa, nani kakunyoa na umenyolea wapi?
Mkuu Hapa haya maswali yangejibika kama ingejulikana huyo Mama alikaa huko kwa muda gani?

Waeza kuta alimaliza hadi 40 hapo kuna shida gani kurudi akiwa swafi Mkuu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…