Hivi unazani wanaume wote wana akili hizo? Mwingine hajali chochote, mke hata afanye nini anakenua tu, mke anatoka mapema anaita bodaboda hata kusema ngoja nione anayemchukua ni nani yeye anakoroma kitandani, sasa huyo atajua shamba linasafishwa lini!Anatakiwa afanyiwe nyumbani tena chini ya uangalizi
Wanaume wachache wanaoweza kumfanyia mkewe 🤣🤣🤣 ujasiri huo hakunagaAnatakiwa afanyiwe nyumbani
Hasa ukizingatia huwa hawezi kujifanyia usafi mwenyewe
Ujasiri wa kufangajeWanaume wachache wanaoweza kumfanyia mkewe 🤣🤣🤣 ujasiri huo hakunaga
Aina hii ya mwanaume anakuwa amerogwa. Ndio hii mtu mke anaweza kwenda kazini au sokoni tu asbuhi anarudi jioni shamba limesafishwa na hajui aise😃😄Hivi unazani wanaume wote wana akili hizo? Mwingine hajali chochote, mke hata afanye nini anakenua tu, mke anatoka mapema anaita bodaboda hata kusema ngoja nione anayemchukua ni nani yeye anakoroma kitandani, sasa huyo atajua dhamba linasafishwa lini!
Mwamba yuko thorough na mali zakeMapenzi yana mambo mengi sana hapa nakubaliana kabisa na Ali Kiba kuwa mapenzi yana Run dunia akimaanisha kuwa mapenzi ndiyo yanayoiendesha duniaView attachment 3170132
Mke wake aliaga anakwenda msibani kwa shangazi yake lakini baada ya kurejea nyumbani, mme wake akagundua mkewe amenyoa sehemu za siri hali iliyozua ugomvi na kuamua kumpa talaka.
Mama kachemshaNyumba zimejaa,watu wametapakaa kila mahali,huo muda wa kunyoa kaupata wap
Na wanakaguliwa kabisaLabda taratibu za huko siku ya mwisho wa msiba wananyoa pote pote
Angalia usijepewa talaka na wwJaman nani anajua kunyoa vizuri jamani, nina game week end hii so nataka niende kwa kinyozi akaniyoe jamani pawe panateleza tuu hadi raha
Unatoa bei gn nikunyoeJaman nani anajua kunyoa vizuri jamani, nina game week end hii so nataka niende kwa kinyozi akaniyoe jamani pawe panateleza tuu hadi raha
HahahahaaaNa wanakaguliwa kabisa
Kinyozi ushafika jaman, nitakupa hela unayotakaUnatoa bei gn nikunyoe
Nimeruhusiwa ujueeAngalia usijepewa talaka na ww
Wakumtizama mkewe akiwa anajifanyia usafi au kumfanyia yeye mwenyewe 😀Ujasiri wa kufangaje
Karogwa na nani sasa hapoAina hii ya mwanaume anakuwa amerogwa. Ndio hii mtu mke anaweza kwenda kazini au sokoni tu asbuhi anarudi jioni shamba limesafishwa na hajui aise😃😄
Ila tunapiga aise