Ndo maana tukaambiwa hatujui siku walaHua najiuliza sana hivi na mimi
Au je kama roho inachukua masaa 10 hivi kuuacha mwili ? Huko mochwari itakuaje
Mkuu kwan mnakuaga wasafiSisi waislam safi tunasema
Inna lillahi wa inna ilaihi raji'oon
Mkuu si Alishafanyiwa Operations ya Hili Tezi Dume?Tezi dume tezi dume mbona unawaondoa sana wazee wetu .
RIP King wa ukweli