TANZIA Amri Athuman (King Majuto) afariki dunia akiwa hospitali ya Taifa Muhimbili

 
mungu ailaze mahala pema roho ya marehemu mzee wetu kipenzi na gwiji wa comedian Tanzania
 
Mungu awatie nguvu wafiwa wote.Awape faraja katika kipindi hiki kigumu
 
Wakuu bila shaka na nyinyi ni mashahidi tosha kwamba bwana yule au ukipenda muite Jiwe huwa haudhurii kabisa misiba yoyote ile yupo radhi akafungue hata tawi la benki au jambo lolote lile ambalo halina tija kwa wakati huo lakini si kuhudhuria misiba mpaka ikafika mahala watu wakaanza kumuhisi huenda ni mshirikina.

Lakini kwa maajabu kabisa bila kutarajia tumemuona jiwe akihudhuria msiba wa Amri Athumani Majuto kitu ambacho baadhi ya watu wameingiwa na mashaka kwamba huenda kuna kitu kimejificha maana si hali ya kawaida.

Tusubiri baada ya maziko kuna mambo makubwa yataibuka kama kipindi kile cha msiba wa Masaburi yalivyoibuliwa mambo yasiyojulikana hata na wana familia ila jiwe aliyaropoka jambo ambalo halikuwafurahisha wanafamilia.
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Duh! Wanadamu kazi kweli-kweli, kwani mia unaanza kuhesabu toka wapi? Kwa hili hapana hapana
 
Mbwa ni mbwa tu inaonesha ww tena ni jibwa kubwa hasaaa usie na fadhila Sasa kiongozi kwenda ktk msiba ni kosa gani??
 
Waislam huwa "hawamuangalii" marehemu wanapotoa heshima za mwisho.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…