mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 20,925
- 51,688
Kuna maeneo Dar es salaam ukiishi unajishushia heshima yako tu,
Bora ukakae Kibaha au Bagamoyo ijulikane moja.
Nani anapenda kukalia Kigogo, hakuna bali hali ngumu ya uchumi inalazimisha watu kuishi maeneo yasiyo na hadhi.
Hakuna mtu makini anayekalia Kigogo au Mburahati
Nimeshangaa sana kuona Amri kiemba anaishi Kigogo
Mbele jalala nyuma choo cha jirani
Bora ukakae Kibaha au Bagamoyo ijulikane moja.
Nani anapenda kukalia Kigogo, hakuna bali hali ngumu ya uchumi inalazimisha watu kuishi maeneo yasiyo na hadhi.
Hakuna mtu makini anayekalia Kigogo au Mburahati
Nimeshangaa sana kuona Amri kiemba anaishi Kigogo
Mbele jalala nyuma choo cha jirani