Amri Kiemba wewe ni superstar hutakiwi kuishi Kigogo

Amri Kiemba wewe ni superstar hutakiwi kuishi Kigogo

Kuna maeneo Dar es salaam ukiishi unajishushia heshima yako tu,

Bora ukakae Kibaha au Bagamoyo ijulikane moja.

Nani anapenda kukalua Kigogo,hakuna bali hali ngumu ya uchumi inalazimisha watu kuishi maeneo tasiyo na hadhi.

Hakuna mtu makini anayekalia Kigogo au mburahati

Nimeshangaa sana kuona Amri kiemba anaishi kigogo
Mbele jalala nyuma choo cha jirani
1. Deo Njohole
2. Jamhuri Kihwelo
3. Saleh Zonga - Pazi (Basketball)
4. David Wakati
5. Riziki Shawa
6. Benny Luoga
etc

Ova
 
1. Deo Njohole
2. Jamhuri Kihwelo
3. Saleh Zonga - Pazi (Basketball)
4. David Wakati
5. Riziki Shawa
6. Benny Luoga
etc

Ova
Hao wamezaliwa huko kina Kihwelo na njohole family,miaka ya 60 nafahamu,
Mji ulikuwa mdogo sasa mji umekuwa,miaka hiyo Tabata ilikuwa na simba na swala ila kwa saaa jiji limetanuka hakuna haja ya kuishi kigogo
 
Kuna maeneo Dar es salaam ukiishi unajishushia heshima yako tu,

Bora ukakae Kibaha au Bagamoyo ijulikane moja.

Nani anapenda kukalua Kigogo,hakuna bali hali ngumu ya uchumi inalazimisha watu kuishi maeneo tasiyo na hadhi.

Hakuna mtu makini anayekalia Kigogo au mburahati

Nimeshangaa sana kuona Amri kiemba anaishi kigogo
Mbele jalala nyuma choo cha jirani
Acha zarau
 
Kuna maeneo Dar es salaam ukiishi unajishushia heshima yako tu,

Bora ukakae Kibaha au Bagamoyo ijulikane moja.

Nani anapenda kukalua Kigogo,hakuna bali hali ngumu ya uchumi inalazimisha watu kuishi maeneo tasiyo na hadhi.

Hakuna mtu makini anayekalia Kigogo au mburahati

Nimeshangaa sana kuona Amri kiemba anaishi kigogo
Mbele jalala nyuma choo cha jirani
Kiswahili ni lugha ngumu sana au siyo, au ni makusudi umefanya kumdhihaki Kiemba?

Kila sentensi inayoongelea kuishi maeneo ya Kigogo, wewe 'unaitohoa' eti kukalia kigogo.

Kwa nini mnapenda kuchomekea matusi hata pasipostahili?
 
Kuna maeneo Dar es salaam ukiishi unajishushia heshima yako tu,

Bora ukakae Kibaha au Bagamoyo ijulikane moja.

Nani anapenda kukalua Kigogo,hakuna bali hali ngumu ya uchumi inalazimisha watu kuishi maeneo tasiyo na hadhi.

Hakuna mtu makini anayekalia Kigogo au mburahati

Nimeshangaa sana kuona Amri kiemba anaishi kigogo
Mbele jalala nyuma choo cha jirani
Tunapangiana tena?
 
Nyie ndio mnafanya mastaa wakifulia wanajinyonga sasa mbagala kule anapoishi juma nature ni balaa kuna vibaka halafu kuuliwa njenje.
 
Back
Top Bottom