Jamhuri hadi anamaliza mpira wake alikuwa Kigogo, alihamia Kimara akiwa kocha, tena baada ya Mwigizaji Rose Ndauka kutikisa nyumbani kwake.Hao wamezaliwa huko kina Kihwelo na njohole family,miaka ya 60 nafahamu,
Mji ulikuwa mdogo sasa mji umekuwa,miaka hiyo Tabata ilikuwa na simba na swala ila kwa saaa jiji limetanuka hakuna haja ya kuishi kigogo
hakuna mtu makini anaish nchi ya ulimwengu wa 3............kumbuka the whole africa continent contributes to about 1.7% of the global scientific knowledge ............... binadamu hatulingani huwez mpangia mtu pa kuishi et kisa staa mtu n mtu tuu watu wote wanathaman na hadhi sawa...........krb buza mkuu🤣😂Kuna maeneo Dar es salaam ukiishi unajishushia heshima yako tu,
Bora ukakae Kibaha au Bagamoyo ijulikane moja.
Nani anapenda kukalua Kigogo,hakuna bali hali ngumu ya uchumi inalazimisha watu kuishi maeneo tasiyo na hadhi.
Hakuna mtu makini anayekalia Kigogo au mburahati
Nimeshangaa sana kuona Amri kiemba anaishi kigogo
Mbele jalala nyuma choo cha jirani
Bado sijarudi mjini mkuuLeta code
Unasema kweli aise kunasiku natoka mabibo sokoni nilimuona kiemba nadhani alitoka manzese tulikuwa nae kwenye daladala moja alipofika kigogo mwisho alishuka.Kule mbona siyo pabaya kuna mijengo ya maana alafu usichokijua mtu ambaye hana makuu ni kiemba jamaa mtu wa dini sana muslam safi hapendi kujikweza maisha yake simple kama john boko kumkuta anapanda daladala kwake kawaida sana nafikili ndo maisha ya uhuru kuto kupretend life
Ile baa namkutaga juma nature anqkunywa bia da nikamq ka grosary na mmiliki ni mchaga mmoja sijui mgonjwa yule maana tumbo halina ushirikiano na mwili.kuna biashara niliwahi fanya na juma nature alikuwa na rafiki yake bonge hivi ananywele nyingiNyie ndio mnafanya mastaa wakifulia wanajinyonga sasa mbagala kule anapoishi juma nature ni balaa kuna vibaka halafu kuuliwa nje
Tuoneshe nyumba anayoishi ili tucoment vizuriKuna maeneo Dar es salaam ukiishi unajishushia heshima yako tu,
Bora ukakae Kibaha au Bagamoyo ijulikane moja.
Nani anapenda kukalua Kigogo,hakuna bali hali ngumu ya uchumi inalazimisha watu kuishi maeneo tasiyo na hadhi.
Hakuna mtu makini anayekalia Kigogo au mburahati
Nimeshangaa sana kuona Amri kiemba anaishi kigogo
Mbele jalala nyuma choo cha jirani
Kule ni uswahilini haswa kila siku matukio na wamempa mtaa kabisa.Ile baa namkutaga juma nature anqkunywa bia da nikamq ka grosary na mmiliki ni mchaga mmoja sijui mgonjwa yule maana tumbo halina ushirikiano na mwili.kuna biashara niliwahi fanya na juma nature alikuwa na rafiki yake bonge hivi ananywele nyingi
Limebaki jina tu bar yenyewe haipo Kama First Inn.Landa bar ina umri sawa na mtu mzima mwenye mvi
Acha kufuatilia maisha ya watuKuna maeneo Dar es salaam ukiishi unajishushia heshima yako tu,
Bora ukakae Kibaha au Bagamoyo ijulikane moja.
Nani anapenda kukalua Kigogo,hakuna bali hali ngumu ya uchumi inalazimisha watu kuishi maeneo tasiyo na hadhi.
Hakuna mtu makini anayekalia Kigogo au mburahati
Nimeshangaa sana kuona Amri kiemba anaishi kigogo
Mbele jalala nyuma choo cha jirani
Yenyewe ishajifia miaka mingi kama ilivyo first inn na Kigongo bar pale Buguruni moto.Wenyewe wanaiita London
👏🏾👏🏾Mambo ya kudharau/kutukuza maeneo yalishapitwa na wakati, wake up.
Kweli asee Amir maftah tulisoma Wote Moshi Tech ila alitoboa alipokuwa Mtibwa then yanga....Wanamichezo wafundishwe sana mambo ya fedha ili kuondoa aibu ndogondogo wakistaafu. Hilo group la kina Amri Kiemba, Amir Maftah na wengine wa enzi zao haliko sawa sana. Kusema kuwa anaishi maisha simple ni kutumia tu tafsida ila ukweli ni kwamba hayo ni maisha ya kimaskini. KUPANDA DALADALA KWA DSM NI UMASKINI. Tena likiwa daladala la Mbagala au Gongo la mboto ni umaskini promax.
Alikuwa mtoto pendwa wa Maximo.Kweli asee Amir maftah tulisoma Wote Moshi Tech ila alitoboa alipokuwa Mtibwa then yanga....
Now yupo choka namuona sana kwenye daladala.
Unataka kutuaminisha wanaofilisika wote ni kwasababu walikosa elimu ya fedha? Sometimes mambo yanakugomea tu yanaanza kubuma bila kupenda.Wanamichezo wafundishwe sana mambo ya fedha ili kuondoa aibu ndogondogo wakistaafu. Hilo group la kina Amri Kiemba, Amir Maftah na wengine wa enzi zao haliko sawa sana. Kusema kuwa anaishi maisha simple ni kutumia tu tafsida ila ukweli ni kwamba hayo ni maisha ya kimaskini. KUPANDA DALADALA KWA DSM NI UMASKINI. Tena likiwa daladala la Mbagala au Gongo la mboto ni umaskini promax.
Endelea kukaza fuvu. Wanamichezo wengi wakishastaafu wanatumbukia kwenye umaskini. Kule Arusha kuna wanariadha walikuwa kila siku wako kwenye ndege kushiriki mashindano ila baada ya kustaafu wamefilisika chap. Wachache waliokuwa na akili za kuwekeza ndo wako vizuri.Unataka kutuaminisha wanaofilisika wote ni kwasababu walikosa elimu ya fedha? Sometimes mambo yanakugomea tu yanaanza kubuma bila kupenda.
Kweli asee ila kapotea mapema kwenye RamaniAlikuwa mtoto pendwa wa Maximo.
Yuko Dar?Kweli asee ila kapotea mapema kwenye Ramani