Mara ya mwisho nilikutana naye mwezi July kwenye Eicher inayotoka Kawe kuelekea Mbagala ila mi nilipandia Biafra nikashukia Magomeni Kichangani pale.....Yuko Dar?
Huyo jamaa baada ya shule alikuja Arusha akajiunga na taasisi ya michezo ya Rollingstone. Alikiwasha mno. Mwaka 2012 nilionana na mkurugenzi wa Rollingstone akaniambia Amir kwa sasa ni tajiri. Enzi hizo yuko Simba na Taifa Stars. Baada ya hapo sikujua alipopotelea.Mara ya mwisho nilikutana naye mwezi July kwenye Eicher inayotoka Kawe kuelekea Mbagala ila mi nilipandia Biafra nikashukia Magomeni Kichangani pale.....
Tuliongea machache aliniambia soka kaachana nalo miaka mingi baada ya kuwa Injured mara kwa mara
Uko sahihi,hata wa kimara ni kujifariji,mwendokasi ni umasikini uliokithiri .vijana jifunzeni kuwekeza kidogo mnachokipata,usafiri wa uma DSM ni fedheaWanamichezo wafundishwe sana mambo ya fedha ili kuondoa aibu ndogondogo wakistaafu. Hilo group la kina Amri Kiemba, Amir Maftah na wengine wa enzi zao haliko sawa sana. Kusema kuwa anaishi maisha simple ni kutumia tu tafsida ila ukweli ni kwamba hayo ni maisha ya kimaskini. KUPANDA DALADALA KWA DSM NI UMASKINI. Tena likiwa daladala la Mbagala au Gongo la mboto ni umaskini promax.
Pazuri ila kuna matukio ya vibaka. Kwa kijana anayejitafuta sio mbaya kuanzia maisha ila mambo yakiwa fresh lazima uhame. Nimekaa Landa Baa mwaka mmoja nikahama. Kukaa sehemu inayonuka ufukara inahitaji akili sana la sivyo na wewe unajikuta una-adapt maisha ya ufukara.Kigogo pazuri ukitoka nje hatua kadhaa upo chawote, TzF..ukisogea mbele upo ibungu..mbele kidogo External, micasa,riverside...boda dk 5 tu unafika city center
Ukiishi kigogo ujianndae madirisha kuchanwa daily na kuibiwa ni dakika sifuri. Ila sasa hv kumepoa sijui kama mlishawahi kuiona kigogo ya miaka ya 90 na mwanzoni mwa 2000Pazuri ila kuna matukio ya vibaka. Kwa kijana anayejitafuta sio mbaya kuanzia maisha ila mambo yakiwa fresh lazima uhame. Nimekaa Landa Baa mwaka mmoja nikahama. Kukaa sehemu inayonuka ufukara inahitaji akili sana la sivyo na wewe unajikuta una-adapt maisha ya ufukara.
Wewe ni mkazi wa kigogo kindakindaki, vp wahuni wamepungua huki Mosta bar siku hizi?Yenyewe ishajifia miaka mingi kama ilivyo first inn na Kigongo bar pale Buguruni moto.
Zilizobaki Kigogo ni umoja bar (imebaki mifupa), Mosta bar🍺 (Bado IPO),
Mosta pale ni kambi ya wazee hukuti kijana.Wewe ni mkazi wa kigogo kindakindaki, vp wahuni wamepungua huki Mosta bar siku hizi?
Mosta pale ni kambi ya wazee hukuti kijana.
Umoja bar nayo ni mwendo wa chibuku.
Vijana machimbo Yao ni ndameni, lounge flan hivi nimeisahau jina na Leila Mburahati
Star gani? Au kwa vile anaisifiaga nyuma mwiko hata kwenye ujinga ndio aache kukalia kigogo?Kuna maeneo Dar es salaam ukiishi unajishushia heshima yako tu,
Bora ukakae Kibaha au Bagamoyo ijulikane moja.
Nani anapenda kukalia Kigogo, hakuna bali hali ngumu ya uchumi inalazimisha watu kuishi maeneo yasiyo na hadhi.
Hakuna mtu makini anayekalia Kigogo au Mburahati
Nimeshangaa sana kuona Amri kiemba anaishi Kigogo
Mbele jalala nyuma choo cha jirani
Kama unatokea Kigogo mwisho kwenda police post upande wa kulia kuna bar na night club mzee.Nakubali mkuu, ile bar pale karibu na kigogo mwisho kama unaenda police post ipo mkono wa kulia bado ipo?
Sawa mkuuKama unatokea Kigogo mwisho kwenda police post upande wa kulia kuna bar na night club mzee.
Ila lie inayotazamana na police post ishakufa kitambo wamepageuza kanisa la Kilokole baada ya Washia kujenga msikiti jirani na pale.
Kuna msikiti mzuri sana paleKama unatokea Kigogo mwisho kwenda police post upande wa kulia kuna bar na night club mzee.
Ila lie inayotazamana na police post ishakufa kitambo wamepageuza kanisa la Kilokole baada ya Washia kujenga msikiti jirani na pale.
Selemani kidunda1. Deo Njohole
2. Jamhuri Kihwelo
3. Saleh Zonga - Pazi (Basketball)
4. David Wakati
5. Riziki Shawa
6. Benny Luoga
etc
Ova
Mkuu hapo Lela usiku wakuamkia Leo fm academia wamewasha Moto sio wa nchi hiiMosta pale ni kambi ya wazee hukuti kijana.
Umoja bar nayo ni mwendo wa chibuku.
Vijana machimbo Yao ni ndameni, lounge flan hivi nimeisahau jina na Leila Mburahati