Amri ya sita (Usizini)

mimi mwenzenu nimeacha uzinzi na jina langu la mzee wa kunjunja na kunjunjumila nimeliacha.
 
Hata mitihani ina majaribio sembuse uzinzi

Ninavyouwaza hapa😂😂😂
 
Walimu wamezidi kuendekeza ngono mpk wanafanya na wanafunzi. Nashauri walimu wachongewe chupi za chuma zenye komeo kwa mbele la kuwekea kufuli.funguo akae nazo afisa elimu .
 

Attachments

  • EWRvI0pX0AAd82s.jpg
    43.4 KB · Views: 2
Ni sawa na kumwambia mtu, makande yatakuwa menu yako kila siku hadi ufe, unaweza?
 
Mwanaume aliemtamani mwanamke tu amekwisha kuzini nae

Na mwanamke ukitamaniwa na mwanaume tu umekwisha zini nae
Chunga mavazi yako vaa kulingana na Mungu alivyokuagiza
Maandiko yanasema wengi watauliza kweli nilizini lakini mbona huyu sikuwah kufanya nae????
Na uyu je...
Kila aliekutazama kwa kukutamani kutokana na mavazi yako basi ulishazini nae
 
Amina
 
Mbona walioko kwa ndoa ndo wanaongoza kwa kutenda zaidi ya wasioko kwa ndoaa?
 
Mwanzo ngapi sijui ile

Zaeni mkaijaze dunia

Huku kwingine mnaambiwa Usizini. Mkiambiwa hivyo vitabu vyenu ni vya kiendawazimu huwa hamuelewi tu, utazaa vipi bila ya kutombwa? Tena wengine mnajifanya mara kuita uasherati, mara sijui uzinzi
 
Mwanzo ngapi sijui ile

Zaeni mkaijaze dunia

Huku kwingine mnaambiwa Usizini. Mkiambiwa hivyo vitabu vyenu ni vya kiendawazimu huwa hamuelewi tu, utazaa vipi bila ya kutombwa? Tena wengine mnajifanya mara kuita uasherati, mara sijui uzinzi
Elewa maana ya uzinzi,kuzaa ni kwa ajili ya walio kwenye ndoa tu
 
Elewa maana ya uzinzi,kuzaa ni kwa ajili ya walio kwenye ndoa tu
FUngua akili, na walio kwenye ndoa na hawana uwezo wa kutungishana mimba? Kuzaa ni kwa ajili ya kila kiumbe chenye uzazi.
 
Kwanza ni Amri ya Saba na Sio ya Sita..

Soma Amri zote Kutoka 20
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…