Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Evelyn Salt mjibu huyuSelfie 🤳 unamaanisha nyeto?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Evelyn Salt mjibu huyuSelfie 🤳 unamaanisha nyeto?
Wapi ulisoma ukakuta amri ya sita inasema usizini?Hamjambo;
Kumekuwa na kasumba kubwa inayokuta rika zote kuendekeza ngono kwa kiasi kikubwa huku wakiona ni ujanja.
Amri ya sita iheshimiwe hatakama umekosa elimu juu ya madhara mbalimbali kuhusu ngono basi tumia akili.
Kama huna adabu basi jifunze kuwa na aibu maana ni kituko kikubwa sana kuwa mjinga halafu unajiamini.
Nafahamu kuwa kuna viungo ambavyo huwa havisikii, ila usikubali hisia zikuendeshe.
Usikubali kuzini na mwanamke/ mwanaume kabla ya ndoa ina madhara mengi sana tusiwe kama watoto wa nursery buana.
Kingine jitahidi ukwepa dhambi, wala sio ibada .
Usizini .
🤣😂😁😁Shikaa rabaaaa, acha dhambi kijana
Kaka wewe umeelewa ama unataka mabishano??Wapi ulisoma ukakuta amri ya sita inasema usizini?
Ngono ni hitaji la fikra na sio hitaji la mwili,mwili umeumbwa kwa namna yake ya kujibalance hata usipofanya ngonoNdio nlikuuliza mtumishi nikiwa na upwiru nizidishe tu maombi?
Selfie ni kukwea mnaziEvelyn Salt mjibu huyu
Ndo bado natafuta mke mtumishi.....niombeeKama ikukushinda oa/ olewa
Na wewe hua unaukwea mnazi na mkono mmojaSelfie ni kukwea mnazi
AminaNdo bado natafuta mke mtumishi.....niombee
Wewe Mwanamke unatafuta mke tena?Ndo bado natafuta mke mtumishi.....niombee
😴😴Me bado bikra🤒🤒, kwani kuzini ndo kufanyaje🤔
Bikra Bikra Bikra nimekuita mara 3Me bado bikra🤒🤒, kwani kuzini ndo kufanyaje🤔
farao hakuwa mbishi bali Mungu ndio alimfanya kuwa na moyo mgumuAmen mtumishi waambie hao wabishi km Farao
Heheh😃😃Bikra Bikra Bikra nimekuita mara 3
Mwili wenyewe utajiswitch utajikuta umeshachafua shuka, kupiga ni Sawa na kushusha mzigo zikijaa sana mwili wenyewe unazipunguza ukiwa usingizini bao hilo linamwagikaNgono ni hitaji la fikra na sio hitaji la mwili,mwili umeumbwa kwa namna yake ya kujibalance hata usipofanya ngono
Hakuna kitu km hicho yeye aliamini Mungu yupi? Na Mungu yupi alimfanya awe na Moyo mgumu?farao hakuwa mbishi bali Mungu ndio alimfanya kuwa na moyo mgumu
Haya gwajiboy 🤣🤣🤣farao hakuwa mbishi bali Mungu ndio alimfanya kuwa na moyo mgumu