Amri ya sita (Usizini)

Amri ya sita (Usizini)

Kuzini kutaendelea kuwepo kwasababu wanawake wanawapa ngono waume zao kwa mazowea na wengine kuwapa Kama favour.
Mwanaume anayepewa vizuri na mke wake hawezi kuhangaika na Malaya, hasa anayepewa kile Cha swala swalaa alfajir na mapema.
 
Kuzini kutaendelea kuwepo kwasababu wanawake wanawapa ngono waume zao kwa mazowea na wengine kuwapa Kama favour.
Mwanaume anayepewa vizuri na mke wake hawezi kuhangaika na Malaya, hasa anayepewa kile Cha swala swalaa alfajir na mapema.
Hahahahah kabisa raha sna ndani ya safari ya tatu
 
Mtoa mada huu n uongo ...uzinzi c dhambi acha kupotosha watu .

Unachokifanya ww Cha kukataza watu uzinzi ndio dhambi.

Achana na biblia uliyoandika na mwanadamu mwenzio hkn ht mmoja unayesimuliwa Kwenye biblia alishawahi kumuona au kuota tu kumuona huyo aliyetuweka uku Kwenye hii Dunia ....hakuna hakuna nasema Tena hakuna na hatatokea atakaye muona labda baada ya kiifo japo mm naamini pia baada ya kifo nageuka udongo na Kila ktu kinaishia hapo..
 
Mtoa mada huu n uongo ...uzinzi c dhambi acha kupotosha watu .

Unachokifanya ww Cha kukataza watu uzinzi ndio dhambi.

Achana na biblia uliyoandika na mwanadamu mwenzio hkn ht mmoja unayesimuliwa Kwenye biblia alishawahi kumuona au kuota tu kumuona huyo aliyetuweka uku Kwenye hii Dunia ....hakuna hakuna nasema Tena hakuna na hatatokea atakaye muona labda baada ya kiifo japo mm naamini pia baada ya kifo nageuka udongo na Kila ktu kinaishia hapo..
Hii ni ya mwisho sitokufundisha tena.
Usizini,usizini na Acha nyerere.
Na jua kenge haamini hadi toke damu.
Na mjinga hashauriki.

Acha kupotosha watu kwamaana
Ni bora ujinga usio na madhara kuliko isiyo na faida
 
Ww ndio unayepotosha watu Kwa kuwanyima kufanya jambo Lilo halali na ww kukomaa na maandishi yaliyoandikwa na binadamu wenzako kuwapumbaza watu km ww mkuu usifikirie njee ya box 😂 ....
Hii ni ya mwisho sikufundishi tena.

Kuwa makini sana na shetani ambaye anakupa jambo haramu lililovishwa uharamu.
Mimi siku hukumu maana najua yaliandikwa .
Ila kama umeshindwa kukoma basi komaa.
 
Back
Top Bottom