Uchaguzi 2020 Amri za Tundu Lissu zinatekelezwa na Rais Magufuli

Uchaguzi 2020 Amri za Tundu Lissu zinatekelezwa na Rais Magufuli

Trust None

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2018
Posts
1,260
Reaction score
4,419
Tundu Lissu alisema ajira za walimu hazipo. Magufuli akatoa tamko la kuajiri walimu 13,000.

Tundu Lissu alisema Magufuli anatoa pesa kwenye kampeni hivyo ni rushwa. Magufuli alipokuwa Kigoma akasema "Siwezi kutoa pesa sasa hivi, watasema ni rushwa".

Tundu Lissu alisema vitambulisho vya wamachinga ni wizi. Magufuli akasema kuwa hawalazimishwi kuvinunua wakati ukweli tunaujua.

Lissu, usisahau kufukua makaburi yote ikiwa ni pamoja na uuzwaji wa nyumba za NHC, makinikia, Trilion 1.5 na mengine mengi.

KWELI TUNDU LISSU NI KIBOKO YAKE JIWE
 
JPM hana muda mchafu wa kurumbana na tahira.
Lissu anakesha kutwa kucha kumnadi JPM kwenye media na kwenye kampeni zake.
wakati JPM anachanja mbuga kwa sera nzuri na zenye kueleweka na watanzania wanamuelewa sana tu.
 
tena kwa taarifa yako hakuna mtu anafatilia kila analosema lissu kama mzee wenu meko/mayanga/jiwe,
we fatilia utaona jinsi anatumia mda mwingi kumjibu lissu na kutishia wapiga kura.

acheni kujifariji wana lumumba, lissu anapiga biti nyie mnafatisha kila kitu, akipiga taarabu na viuno mtakata.
JPM hana muda mchafu wa kurumbana na tahira.
Lissu anakesha kutwa kucha kumnadi JPM kwenye media na kwenye kampeni zake.
wakati JPM anachanja mbuga kwa sera nzuri na zenye kueleweka na watanzania wanamuelewa sana tu.
 
Lissu ana amri gani?. Kama anajipenda, amguse mwenyekiti wa saccos yao tu aone moto. Lissu mwepesi Sana.
 
tena kwa taarifa yako hakuna mtu anafatilia kila analosema lissu kama mzee wenu meko/mayanga/jiwe,
we fatilia utaona jinsi anatumia mda mwingi kumjibu lissu na kutishia wapiga kura.

acheni kujifariji wana lumumba, lissu anapiga biti nyie mnafatisha kila kitu, akipiga taarabu na viuno mtakata.
Ahaa,Chadema mnastrees sana.embu tulia huu mchezo hauitaji hasira.tarehe ikifika mpige kura kisha mrudi nyumbani mtaletewa matokeo nyumbani kwenye hot port.
 
JPM hana muda mchafu wa kurumbana na tahira.
Lissu anakesha kutwa kucha kumnadi JPM kwenye media na kwenye kampeni zake.
wakati JPM anachanja mbuga kwa sera nzuri na zenye kueleweka na watanzania wanamuelewa sana tu.
We kweli zombie lake...ukitafuta wagombea matahira yey si number moja....kweli msemo wa wew nyani huon kundule lako umetimia kwako
 
We kweli zombie lake...ukitafuta wagombea matahira yey si number moja....kweli msemo wa wew nyani huon kundule lako umetimia kwako
Acha jazba,huu mchezo auhitaji asira,October andaa papmers najua Chadema mtajiharishia kwa jinsi mtakavyopigwa chini na CCM.
 
Back
Top Bottom