Uchaguzi 2020 Amri za Tundu Lissu zinatekelezwa na Rais Magufuli

Uchaguzi 2020 Amri za Tundu Lissu zinatekelezwa na Rais Magufuli

Tundu lissu alisema ajira za walimu hazipo. Magufuli akatoa tamko la kuajiri walimu 13,000.

Tundu Lissu alisema Magufuli anatoa pesa kwenye kampeni hivyo ni rushwa. Magufuli alipokuwa Kigoma akasema "Siwezi kutoa pesa sasa hivi, watasema ni rushwa".

Tundu Lissu alisema vitambulisho vya wamachinga ni wizi. Magufuli akasema kuwa hawalazimishwi kuvinunua wakati ukweli tunaujua.

Lissu, usisahau kufukua makaburi yote ikiwa ni pamoja na uuzwaji wa nyumba za NHC, makinikia, Trilion 1.5 na mengine mengi.

KWELI TUNDU LISSU NI KIBOKO YAKE JIWE


Kwa namna jpm anavyotenda alipaswa kuwa nyapara, nyapara sikuzote ukimpa nfasi za juu anakua kama kicha.... hana kipaumbele, hana lengo... hana mbinu wala miakakti... ni kutumia amri na kushurutisha.................... ndo maana inajidhihirisha sasa... anapaswa kutumwa na LISU
 
Tundu lissu alisema ajira za walimu hazipo. Magufuli akatoa tamko la kuajiri walimu 13,000.

Tundu Lissu alisema Magufuli anatoa pesa kwenye kampeni hivyo ni rushwa. Magufuli alipokuwa Kigoma akasema "Siwezi kutoa pesa sasa hivi, watasema ni rushwa".

Tundu Lissu alisema vitambulisho vya wamachinga ni wizi. Magufuli akasema kuwa hawalazimishwi kuvinunua wakati ukweli tunaujua.

Lissu, usisahau kufukua makaburi yote ikiwa ni pamoja na uuzwaji wa nyumba za NHC, makinikia, Trilion 1.5 na mengine mengi.

KWELI TUNDU LISSU NI KIBOKO YAKE JIWE
Jiwe atakuwa anajiuliza huyu Lissu ni kiumbe wa namna gani maana hata nilipojaribu kumwua hakufa?
 
Anamsaidia Raisi kuongoza.....

Anatumua muda mwingi kumkosoa Raisi badala ya kujinadi....

Good for JPM....

Viva JPM 2020 to 2030
Tundu lissu alisema ajira za walimu hazipo. Magufuli akatoa tamko la kuajiri walimu 13,000.

Tundu Lissu alisema Magufuli anatoa pesa kwenye kampeni hivyo ni rushwa. Magufuli alipokuwa Kigoma akasema "Siwezi kutoa pesa sasa hivi, watasema ni rushwa".

Tundu Lissu alisema vitambulisho vya wamachinga ni wizi. Magufuli akasema kuwa hawalazimishwi kuvinunua wakati ukweli tunaujua.

Lissu, usisahau kufukua makaburi yote ikiwa ni pamoja na uuzwaji wa nyumba za NHC, makinikia, Trilion 1.5 na mengine mengi.

KWELI TUNDU LISSU NI KIBOKO YAKE JIWE
 


Hapa Kazi tu! Hatuwezi kulishwa majungu na vibaraka wa makuwadi.



 
1600803339686.png
 
Back
Top Bottom